diabate akicharaza nyuzi bin nyuzi usiku wa kuamkia leo katika tamasha la ziff, ngome kongwe
diabate akibembeya na bendi ya wazee sugu inayoongozwa na king kikii
bahati ilioje kula mikonozzz na gwiji la gitaa toka guinea sekou diabate. shoto ni kikumbi mwanza mpango a.k.a king kikii na kulia ni mratibu wa tanzania house of talent (tht) edward. usiku wa leo diabate atapanda tena jukwaani na wazee sugu kubembeya zaidi na zaidi. wadau, sitanii. huyu bwana anakung'uta mpini si kawaida. bofya hapa umjue zaidi

Sumaye?
ReplyDeleteHao mayakhe wamezeeka...lakini ujana hawataki kuuachia!!!hebo nyie 'act your age'!
ReplyDelete