mwanadada muasisi wa kinamama kushiriki kwenye muziki wa dansi tabia mwanjelwa akiwa na kundi la double 'o' la kivumbi mwanza mpango king kikii, baada ya kuhama maquis du zaire alikotamba na kibao chake cha 'safari sio kifo'. nilibahatika kumvumbua akiwa huko ujerumani ambako anaendeleza libeneke na ana singo moja mpya kali sana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 05, 2008

    Michuzi! huo ndo umbuzi tusioutaka, ulisema blog mpya itakuwa na video na wadau wataweza kusikiliza muziki...wakati unasema Tabia yupo ujerumani na ana singo yake kali sana ulitakiwa uiweke tuisikilize harafu tutoe maoni.
    Anyway waTz huwa inatuchukuwa muda kucop na v2 vipya...nakutakia kila la kheri unc mithupu mzee wa bwawa la maini

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...