ndani ya bunge mchana huu ambapo rais wa comoros amehutubia wah.
libeneke nikiwa na wadau sehemu za wami- sokoine, maeneo ya dakawa, sehemu ambayo waziri mkuu wa zamani marehemu edward moringe sokoine alipofariki katika ajali ya gari. kwa video ya sehemu hiyo nenda www.dailynews-tsn.com

Bro michu nakupa tano kwa ubunifu. sehemu kama hizo ni rahisi sana kushaulika. Huyo jamaa mwenye shati la pink nafikiri ni Mtita, huyu bwana nilisoma nae ni mtu mmoja mstaarabu sana. Mpe salamu zake.
ReplyDeleteMdau, Ughaibuni
Michuzi,
ReplyDeleteTuletee snepu zaidi za mandhari ya huko Washington zaidi ya picha za hao waheshimiwa ambao tumezizoea.
Jaribu kuwahoji baadhi ya waheshimiwa kuhusu mkwara aliopiga Spika 6 kuhusu watoro wa vikao vya bunge?
Usisahau lile eneo la pandambili ambapo Wangwe alipata Ajali na kufariki.
Nakuaminia mkuu yani ile kisela maana ulibeba suti tu kwenye begi kwa ajiri ya kuingilia bungeni ulipotoka ni mwendo wa pamba zilezile za jana!si unaona
ReplyDeleteSASA UMEPATA SHATI LINGINE WATAKUKOMA MICHUZI..NANI KATOA MSAADA WA SHATI JAMANI??
ReplyDelete