TAIFA STARS 1 NA BLACK STARS YA GHANA 1 HAPA NESHNO BAADA YA KIPA WA GHANA RICHARD KINGSTON KUJA MBELE KUSHMBULIA MPIRA WA FREE KICK NA AKAWEZA KUMFUNGA IVO MAPUNDA KILAINI...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Taifa stars ni timu ya kijinga sana hakuna msukumo kwa wachezaji binafsi ni hivihivi hata Olympic tunatia aibu taifa la watu mio. 38 tunakosa hata medali ya shaba hii ni aibu, Kenya hawana tofauti nasi kiuchumi lakini wanajituma hiki ni kitu muhimu ka wanamichezo la sivyo tutaendelea kupoteza hela nyingi bila ya matokeo mazuri, hata tuletewe kocha wa aina gani ni bure kama wachezaji wenyewe hawajitumi

    ReplyDelete
  2. Tusibweteke na hii draw. Appiah, Essien, Muntari na Mensah, hawakuwepo kwenye hii mechi. Kama wangekuwepo tungelambwa bao mingi tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...