hadi sasa taifa stars 1 na ghana 0 baada ya henry joseph kufunga kifundi bao la kwanza hapa neshno sasa hivi!

na kipindi kirefu stars wako nusu ya ghana toka mpira uanze dakika 40 zilizopita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. vijana kazeni buti tuko nyuma yenu watanzania wote,

    michuzi tuhabarishe mpaka sasa ghana hawajarudisha tu?

    maana wengine tuko maofisini habari tunazipata kwenye hii blog ya jamii

    ReplyDelete
  2. tupe listi ya timu mkuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...