Kutokana na sababu ambazo zipo nje ya uwezo wetu imetubidi kuhamisha ‘VENUE’ YA reunion yetu kutoka ‘Cine Club’ Mikocheni na kuipeleka OG OB’s ROOSTERS’ GARDEN – Msasani Mwisho Zinapogeuzia ‘daladala’ upande wa kushoto karibu na Msasani Primary School.
Start Time: Saturday, August 30 at 11:00am
End Time: Saturday, August 30 at 6:00pm
Where: OG OB’s ROOSTERS’ GARDEN – MSASANI MWISHO
Dress code: Casual White
Contribution: Tshs. 20,000/-
Kwa lolote la ziada tunaomba tuwasiliane kwa barua pepe ifuatayo weruweru08@yahoo.com
PLEASE INFORM OTHERS OF THE CHANGES!!!
kaka michuzi,
ReplyDeletenaomba nisaidie kuniunganisha na mtanzania/watanzania wanaoishi Netherlands. kaka yangu amefungwa huko na kwa sasa hakuna mawasiliano alikuwa mgonjwa alilazwa huko. Nikapa watanzania waishio huko nitatoa anuani yake watapata habari za ndugu yetu huo.
Asante kaka,
Anna