kausafiri ka azam fc kakiwa nje ya nesho kusubiri vijana wamalize kazi
wachezaji wa azam fc wakitoka uwanjani wakati wa mechi yao dhidi ya toto africa ya mwanza neshno jana ambapo walishinda bao 2-0
ukuta wa berlin wa azam fc hauna simile golini pake
beki mkali wa azam fc boniface pawasa akitolewa nje baada ya kuumia
mahabiki wa azam fc wakishangilia na kufuatilia mtanange wao na toto africa ya mwanza



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Mzee Bakhresa hayo mahela kheri ungejenga misikiti na vituo vya watoto yatima...najua wadau mtataka kunimeza kwa kauli hii. Kuweni wapole kwani ni mtizamo tu.

    ReplyDelete
  2. Hawa jamaa nawakubali sana, mimposi nasema tena, waangalieni hawa jamaa next season watafanya kufuru, kwanini kina MO na Manji wasizinunue simba na yanga respectivly. Tuone maendeleo ya kweli?

    Hapa maamuzi yote ni ya Tajiri, ukileta fyoko ambazo hajileti faida kwa timu unatimuliwa, sasa wenzetu mwenye sauti katika timu ni mwananachama mwenye kadi ya 1000/= unategemea nini? Madon chukueni timu hizo.

    ReplyDelete
  3. Huwa sipendi tabia ya hawa wananihii...angalia mtu na mdogo wake walivyokanyaga viti. Uchafu na kutofata taratibu ni tabia yao ya asili

    ReplyDelete
  4. Kweli Simchezo Picha Ya Chini Nawaona Juma Ping Pong,Jafari Fusso,Samiri Muchacho ,Eddi Na Tajiri Wao Yusuf. Yusuf Naona Open roof Inakua Tu Uzee nini Au Mifezaa..

    ReplyDelete
  5. Hii timu itakuwa kali sana, je hawana Tovuti hawa jamaa?

    ReplyDelete
  6. simba nimesikia wamesoma albadr ili wanaoihujumu timu waangamie!!!! kwa mtaji huo watafika???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...