Home
Unlabelled
choggy sly
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Unless I toss a coin I won't be able to tell Abdul Shalamar ni yupi kati ya hao wawili. Waandishi mnaweza kuwasaidia zaidi wasomaji wenu kwa kutanguliza mambo ya msingi...
ReplyDeleteHii!kaka MÃchuzi umenikumbusha mbali! kwanza huyu mkongwe Hamisi Chogeza aka Dj Choggy Sly(mzee wa kizaramo) bado yupo hai?!
ReplyDeleteKatika Madj wakongwe na waliolipagia libeneke la Dico liendelee ! Choggy Sly ni msingi wa madj na ni DJ anayeweza kuilezea historia na mhundo wa mwenendo wa Madisco nchini!
DJ huyu kama angelikuwa USA,Ughaibuni basi angemiliki chuo cha kuwafundisha maDj au Studio zinazo zalisha mdundo wa Disco Beat! Lakini sitoshangaa nikisikia kuwa ananyanyaswa na jamii ya kizazi kipya cha wasio mjua!
Hivi kishawahi kupewa hata TUNZO kutokana na juhudi zake?
Sidhani kama baraza la sanaa linaweza kufanya hivyo!
Pamoja na kuwa baadhi ya vigogo wa sasa ndio waliokuwa wateja wake au wacheza Disco wakati huo!!!lakini
bado hawautambui mchango wa DJ Choggy Sly! ndivyo Bongo yetu hilivyo! kama alivyoimba Dk.Remmy
Kilio Cha Samakani baharini!Machoza
huenda na maji!
we Al unapendaga kudandia treni kwa mbele. We unaona kabisa imandikwa Sly yuko kati, na Abdul Kulia
ReplyDeletennachokumbuka hilo disco lilikuwa linaitwa k.t.u king transimision unit au kunywa tumia usiogope, sidhani kama enzi hizo titarudi tena, mungu amlaze chggy sly mahala pema peponi
ReplyDeleteAnon wa 16:18, sidandii kokote. Kati na Kulia vimewekwa baada ya kuombwa - havikuwepo. Sina wazimu.
ReplyDeleteannon 1.32am
ReplyDeleteumemuua wewe au??una uhakika gani mana cjaona mahali huu ujumbe wasema ni marehemu
Aisee umenikumbusha mbali sana. Silversand kilikuwa kijiwe kikubwa cha watoto wa chuo, na disco lingine lilikuwa karibu yake liliitwa Rungwe Oceanic halafu tulikiwa tunatembea ufukweni tukiboreka na moja wapo. Bahari beach, na Africana ya watoto wa geti kali...
ReplyDeleteSoda ilikuwa sh 20/=, nadhani kiingili ni sh 30/= (sikimbuki vizuri, mambo ya ofa tena) wakati huo nilikuwa mtu wa soda tu.
Palikuwa na dala dala likiitwa Scaba Scuba la watoto wa mjini lilikuwa la mwisho kuondoka lakini la kwanza kufika mjini, waliniangusha mara nyingi sana magoti yana alama mpaka leo wakati wakinidrop maana kituo cha kwanza kilikuwa Kariakoo na mimi nilikuwa nashukia Victoria. Nilikuwa na siti yangu pale nyuma!!!
Tukumbushie basi mambo ya Toto disco (Msasani na kukimbilia basi la mwisho pale kawe)..., Mbowe Club, YMCA, Chezimba, Mawingu club, picnic za ngazi moja... Jamani wakati ndo ulikuwa huo!!!!
ELEN
Rest in Peace Choggy Sly. Nakumbuka discko zake zilikuwa zenyewe! Those were the days!
ReplyDeleteAnnon 4:48 pm
ReplyDeleteJitahidi urudi darasani. Kama hujui hata maana ya RIP..... mambo ya hatari kweli kweli. Halafu unajifanya kumkosoa mwenzio kwa ujinga wako. Uliza uelimishwe kabla ya kuweka utumbo wako hapa..... Nyambafu.
sly rest in peace ulisha nichekesha saaaaaana hamna komedian kama wewe TZ (ulikuwa) kila napo muona steve harvey uwa nakukumbuka.mwenyezi aweke roho yako peponi.
ReplyDeleteamina
R.I.P Salum mrisho(DJ CHOGGY SLY)
ReplyDelete