mdau david kasembe aliyelazwa wodi moja na mpiganaji athumani hamisi muhimbili kitengo cha MOI anatabasamu kwa furaha akiwa na mai sista wake aliyekuja toka marekani kumuuguza baada ya kupata ajali ya gari siku moja na mpiganaji athumani. yeye alivunjika mkono wa shoto na mguu wa shoto na majeraha. mdau huyu anayefanya kazi bandari anawashukuru wote aliomtakia nafuu na kusema kwamba hali yake inaendelea vyema
mdau david kasembe aliyelazwa wodi moja na mpiganaji athumani hamisi muhimbili kitengo cha MOI anatabasamu kwa furaha akiwa na mai sista wake aliyekuja toka marekani kumuuguza baada ya kupata ajali ya gari siku moja na mpiganaji athumani. yeye alivunjika mkono wa shoto na mguu wa shoto na majeraha. mdau huyu anayefanya kazi bandari anawashukuru wote aliomtakia nafuu na kusema kwamba hali yake inaendelea vyema

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...