Mwanamziki ngwiji mpiga Gitaa la Solo wa ex-Maquis Original ya mjini Dar Kahanga Dekula"Maestro Vumbi"Anatarajia kuwasili Dar tarehe 02.Oktoba kwa mwaliko wa Kampuni Clouds Ent. ya mr.Joseph Kusaga kwa Show" Classic".

Maestro Vumbi ataungana na mangwiji wenzake akina Kanku Kelly,Tshimanga Assosa,Mafumu Bilali,Keppy Kiombile...nk na kutoa Burudani hiyo tarehe 10-11. Oktoba 2008 katika Ukumbi wa Police Officers Messe Osterbay.


aestro anatajia kufurahisha wapenzi wake na mitindo mipya na ya zamani; Kamanyola,Ogelea piga mbizi,Zembwela,Sendemaa,Washawasha,Sultan Qaboos na uzinduzi wa CD yake mpya"RUMALIZA".

kaa chonjo...
mcheza kwao utunzwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Big up Vumbi,ninakukumbuka sana enzi hizo pale Port Access Corner Bar Ubungo,ulikua unaturusha sana na kibao Ngalula,nina washkaji zangu wengi ambao sasa hivi hawapo tena Duniani tulikua nao tunakula raha nao wakati huo,Mungu awalaze mahali pema,I wish kama ningekua bongo hiyo october,lakini pouwa.Mdau UK.

    ReplyDelete
  2. wazee wazima na mtoe video/dvd ya zing-zong yenu, maana hakuna ukumbusho mzuri wa Maquis, Double O, Safari Sound na mitindo ya zembelwa,masantula na n.k ktk video au dvd.
    Vumbi Dekule washauri wenzio kuwa hiyo kazi ya DVD/Video ni ndogo waonyeshe kazi zako za YouTube.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...