Home
Unlabelled
latoya aongea leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mkuu wa nanihii sikuwezi! Huo mkono begani wako au wa Latoya mtoto wa kike?? Sijauelewa
ReplyDeleteMdau L
Latoya ni half caste au pure african breed? anafanya wapi kazi arusha?anaishi wapi?alisoma wapi?kalelewa na nani?
ReplyDeleteHa! kumbe huyu mtoto ni mrembo hivyo. Balozi jitazame mfungo huu!!!
ReplyDeleteBALOZI MITHUPU! SIJAUNGA MKONO STAILI YAKO HATA KIDOGO. UMEPIGA KONOZ NDANI YA MFUNGO VILEVILE HICHO KIDOLE SIJUI UMEKUSUDIA NINI?
ReplyDeleteI HOPE MAMOU HUWA ANATEMBELEA BLOG HII.
Picha nzuri sana michuzi,watu wamemponda sana huyu 'mdada'.Ila mimi napingana nao kidogo.Huyu binti yuko very strong kwenye kujieleza.Presenter maarufu wa Mnet KB juzi(wakati Latoya anatolewa nje ya jengo)alikuwa anamwuliza maswali magumu,na ya mitego sana.Latoya alikuwa makini kwenye kuyajibu kwa ufasaha na alikuwa anayagundua mapema maswali yale kabla ya kuyajibu.Huku akiwa amejifunika bendera yetu ya Taifa,ugenini Latoya alijibu maswali kwa confidence kama vile alikuwa mshindi!!(Sijui leo alipoongea na waandishi).Mambo ya sex affairs ni masuala binafsi,Latoya ni binadamu.Ana uchangamfu wa kuzaliwa nao.
ReplyDeleteMheshimiwa balozi naomba kuuliza hiyo sign yako ya kuonyesha kidole kidole kidogo cha mkononi una maanisha nini? kuna maana nyengine ambayo ni kuwa unamsema mwenzio kuwa una nanhii ya kiume ndogo!
ReplyDeleteKaka Michuzi hicho kidole vipi? Mwezi mtukufu huuu hahahah unakuwa kama unataka kuna nihii....
ReplyDeletekwa kweli huyu dada ametudhalilisha sana huko South,jamani siku ya kwanza tuu kanza kuparamia wanaume na kushikwa shikwa! mi sijapata kuona kwani huko big brother ukitaka kushinda ndo aliambiwa afanye aliyoyafanya? hilo ni fundisho kwa wengine wajao asisingizie kuwa ni mchezo kuna kushindwa na kushinda, alizidi kujilainisha. hakufundwa huyo
ReplyDeleteKaka Michuzi, hicho kidole cha mwisho kidogo, kina maana gani???? lazima utakuwa unajua maana yake kwenye picha ya mwisho,au ndio mbinuo huooo !!!
ReplyDeleteHuyo dada tumwache kasha likoroga basi basi akalinywee Arusha... MATONGEE au SOWETO GARDEN.
Mdau,
SWEDEN
Hayaa jamani kimwana chetu ndio hicho kimerudi na mkuwaa wa wilaya ya nanihaa na balozi wa zain kapiga nae picha.
ReplyDeleteKaka swaumu na hilo kumbatio kulikoni?! Au bi mdogo huyo?
ReplyDeleteBro Michuzi hicho kidole unacho kielekeza kwa huyo latoya una maanisha nini? je una maanisha %$#@!&^%%^$#%^(@#! BBA3 huyu hapaaa au?
ReplyDeleteMheshimiwa balozi....Huu ni mwezi mtukufu usisahau....
ReplyDeleteI am very proud as a Tanzanian kwa jinsi binti yetu alivyojiwakilisha na kutuwakilisha kwenye jumba la BB3. Kwa kweli alivyoipeperusha bendera ya Tanzania kila siku inatia moyo sana. I was also very happy with the way she presented her task in the dump. It was very educative na imeonyesha kwamba anaweza kwenda mbali in issues of presentation.
Kama alivyosema, ni bora kwamba ametoka ili awe na wigo mpana zaidi wa kuvua "samaki". Kwa kipindi alichokaa kwenye BB3 house kinatosha kabisa kumfanya afanikiwe katika malengo yake.
Namtakia kila la kheri dada yangu!
Balozi wa Zain wats wrong with your finger mwezi Mtukufiu huu.
ReplyDeleteIla mmependeza usijali najua My wife wako (Mamito) hatomind
Ebwanaeeeh! chuma kipo single?
ReplyDeleteNajua wengi mtapinga hichi ninachoandika sasa hivi:
ReplyDeleteHuyu binti alitaka kuleta zile za kibongo bongo za kutoka kwa kuigiza alichofanya mwenzako bila kujua muanzilishi alijipanga vipi kukabiliana na changamoto. Huyu mtoto alidhani kwa kuwa Rich alifanya sex mle ndani akashinda basi na yeye anaweza kuwa hivo. AU alidhani kwa kuwa Gaetano alifanya same thing na kupata umaarufu basi na yeye aige..
Hii iwe fundisho kwa girls wote wa kiafrica, this is men's world! Like it or Not..angekuwa mwanaume ndo kafanya aliyofanya Latoya angeonekana dume la mbegu na watu wange vote ili abaki waone picha za bure. Lakini alivyofanya Latoya kaonekana kicheche, nilikuwa Rose garden ile wiki ya kupiga kura na siku hiyo tulikuwa kama na debate dizain kuhusuiana na Latoya na watu kibao waliomba tu atoke coz waliona kama anatuaibisha na mimi ni mmoja kati ya waliovote yule mwingine abaki.
Ni wakati wa Multi choice kuwaiga Wenzetu ambao wawakilishi wao wa BBA kabla ya kuondoka kwenda kuwakilisha nchi wanawapa nafasi watu kuwashauri, kama walivyofanya Botswana.
All in All karibu nyumbani mama, jiandae sasa kuanza kutongozwa na mijibaba yenye uchu na totoz kali kama wewe. Usipokuwa mjanja huchelewi kupata skendo kwenye magazeti ya udaku au watu hawachelewi kukupa kigari chekundu.
huyu dada bomba ila huo mkono wake unatisha inaelekea anapiga sana push up maana kono limekomaa kwa style :-)
ReplyDeletemdau sweden
Namtakia kila la kheri Latoya. Sijali tabia wanayomsema aliiionyesha hiyo anajua yeye na Mungu wake. Mwanzo sikufurahishwa na tabia ya kugive up task mapema sana kila task alionyesha kukata tamaa haraka lakini nilifurahi alivyogunduwa na kujirekebisha mwishoni na kumaliza a very challenging task. LATOYA IF YOU HAVE LEARNED ANYTHING FROM BB IS DO NOT GIVE UP ALWAYS GO ALL THE WAY LIFE WILL COME WITH CHALLENGES BUT DON'T GIVE UP...i KNOW YOU WILL MAKE IN LIFE YOU SEEM TO BE A BEAUTIFUL PERSON IN AND OUT...SO DO NOT LET THIS FAILURE DISSAPOINT YOU
ReplyDeleteteh teh namie swali kama la anon wa kwanza, huo mkono begani kwa kaka Michu, ni mkono wa Michu au wa nani, PLEASE do not tell me ni wa huyu binti, mmh mkono mbona wa kiume, jamani hamfanyagi hand treatments...
ReplyDeletepia napenda kujua huyu mtoto ni mtz pure au mzungu wa kuchovya, uzuri anao ila mmh kama ni wa kuchanganya, basi bongo tumezidi kupapatikia watoto wa kuchanganya.
BARAKA SHELUKINDO MAMBO YAKO MSWANO!
ReplyDeleteMheshimiwa balozi na mkuu wa wilaya, hebu jilie mikonoz kiulaini, baada ya kazi ngumu. Mmependeza sana hapo, na mnatukonga nyoyo wadau. Wadau mnaonaje haka kashati ka mheshimiwa balozi na mkuu wa wilaya tukikapandisha cheo kawe kanatumika badala ya fulanazz?
ReplyDeleteMtaani unasemwa KISONOKO!,
ReplyDeleteredioni wametangaza HABARI zako,
magazetini imeandikwa KASHFA yako,
bloguni yametandazwa mapicha yako,
televisheni zimeonyesha SAKATA lako!!
SAKATA LAKO, SAKATA LAKO!
Mkuu wa wilaya mfungo vipi hapo? au tutalimaliza mambo yote kwenye zile saba za extension? hahahaaaa mambo ya Balozi wa Zain
ReplyDeleteKumbe Mkuu Na Balozi Wa Naniliu Bitozi Nyangema????? Angalia Pozi Lako Na Hiko Kidole Kimekosa Pete La Diamond Gram Kama 50 Hivi
ReplyDeletenanyie kutwa mmedhalilishwa mmedhalilishwa wakati nyie wenyewe mabingwa wakunanihiii ebu muacheni dada wa watu nyie wenyewe waswafiiiiii ebu angalia maisha mengine dada yaliyopita yamepita
ReplyDeleteMimi ninavyoona huyu msambaa Shelukindo angemuoa Latoya.
ReplyDeleteSijui kwanini lakini naona wana match sana
Mdau
UK