Picha ya juu ni Mwenyekiti wa umoja wa wanawake Tanzania ( U W T) Mhe. Anna Abdalla, akifungua kikao cha Baraza kuu la umoja wa wanawake wa C C M kwenye ukumbi wa halimashauri kuu ya taifa mjini dodoma leo. Kulia ni Kaimu katibu mkuu wa U W T Taifa, Ndugu Domina Mgwada, na shoto ni makamu mwenyekiti wa U W T Taifa Ndugu Asha Bakari.
Chini ni baadhi ya wajumbe wa kikao cha Baraza kuu la umoja wa wanawake wa C C M. Picha na mdau Jonas Marios

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...