Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akifungua Mkutano wa Mawaziri wa Masuala ya Umeme wa Nchi zilizo chini ya Bonde la Mto Nile kwenye hoteli ya Movenpick jijini Dar leo Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngereja na katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mh. A. Mwakapugi.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akifungua Mkutano wa Mawaziri wa Masuala ya Umeme wa Nchi zilizo chini ya Bonde la Mto Nile kwenye hoteli ya Movenpick jijini Dar leo Kulia ni Waziri wa Nishati na Madini na Mbunge wa Sengerema Mh. William Ngereja na katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mh. A. Mwakapugi. 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...