kocha wa yanga enzi hizo victor stancelus akiwapiga tizi yanga kids ambao walipokua wakubwa aliibuka kuwa nyota katika medani za soka nchini. hata sijui bongo ikaja kupatwa na nini kwa kusahau zoezi hili muhimu kiasi cha kuja kuwa kichwa cha mwendawazimu. ukiangalia kwa makini unaweza kutambua sura za akina adolph, pondamali, china, mapango, mkweche nk.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Duuh Michu umechemsha wakati huu China nafikiri bado ananyonya James. Holland

    ReplyDelete
  2. mdau james wewe ndio umechemsha,naamini michuzi akukusudia athumani china wa manzese,kulikuwa na china mwingine wakati huo,kina sululu,jazari,sharifu nawengine wengi,kitendo cha kufukuzwa nchini tambwe leya na nabi kamara ndio kilichofikisha hapa tulipo leo
    mdau Cardiff.

    ReplyDelete
  3. Hi!! kaka Misupu uménikumbusha mbali huyu kocha alitoka Romania!
    Victor ! ndiye kwa kiasi kikubwa aliyepanda mbegu ambazo zimezaa matunda kama wachezaji akina Kassim Manara,Juma Pondamali,Aldof Richard!!! wakati hule kulikuwa kweli Yanga Imara

    ReplyDelete
  4. Acha kuchemsha, kasim manara, adolf na pondamali walicheza pani, walikua yanga wakiwa wadogo bado.

    ReplyDelete
  5. sasa kama kaka michu hakuchemsha weye mdau wa kadifu twambie huyo ni china gani vinginevyo usichanganye khabari bwana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...