Kaka misupu!!!
tazama timu ya mpira hapo inayoundwa na watu kutoka afrika mashariki lakini wengi wao wakiwa watanzania, pia kuna watani wa jadi kutoka kwa kibaki (kenya) na mashemeji wa kule kwa museven (uganda) na wengine kutoka somalia. timu hiyo ya mpira imeundwa pamoja na club ya michezo ijulikanayo kama african sports network.
Mdau,
Leicester-uk.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...