Mwanamuziki Alikiba anaendelea kufanya MAAJABU kwenye tour yake ya Marekani. Na baada ya kufanya miujiza huko Baltimore jumamosi iliyopita, Alikiba atakuwa Mjini Kansas City Jumamosi hii kwenye show iliyoandaliwa vilivyo na vijana wa WAZIMU ENT.

Wakazi wote wa KC na maeneo ya jirani mnakaribishwa mje kuselebuka na "CINDERELLA" "MAC MUGA" "NAKSHI MREMBO" na vibao vingine murua alivyovitoa jikoni hivi karibuni.
kwa maelezo zaidi fika
ama nenda

ama check flier hapo juu..
Aksanteni
PAF PRODUCTIONS.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. KUNA MSIBA DETROIT, HEBU SIMAMISHENI RAHA KWA MUDA TUCHANGIE KUSAFIRISHA MWILI WA MWENZETU KWENDA KUPUMZIKA NYUMBANI...

    ReplyDelete
  2. Too much of everything is harmful.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...