Home
Unlabelled
bao tabora
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii inanihudhunisha sana, kuona watoto wanakosa sehemu nzuri na safi za kuchezea hata bao jamani!
ReplyDeleteHivi rais na viongozi wanaohusika hawazioni picha kama hizi kama walikuwa hawana taarifa ya tatizo hili. Imefika wakati janga la tabora liwe fundisho na changamoto kwa serekali kugeukia upande wa mahitaji ya watoto kama elimu bora, afya bora na vitu kama hivi ni muhimu na si luxury!
Serikali na mashirika kama N.S.S.F na mengine yashirikiane kujenga sehemu za michezo mbali mbali kama viwanja vya mipira aina tofauti, games, pembea n.k, sioni sababu ya viwanja vya mnazi mmoja kufungwa kwanini visijengwe pembea simple kama za slide na kawaida week end waruhusiwe watoto kwenda kuinjoy!
Ni ufisadi uliokithiri tu!
Wasijekuwa wanachezea alimasi nyeusi kama vile ndugu zao wa Shinyanga walivokuwa wakifanya
ReplyDeleteThis watoto ni wabunifu, i like the idea. They take lack of sports supports from elders kama challenge sio problems.
ReplyDeleteBy Belas