Home
Unlabelled
elyson angai ateka waandishi msasani beach
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi, Asante sana kwa kutueleza kinachoendelea hapa, na hasa sisi wana habari ambao tupo ofisini kwa sasa tukiandaa magazeti ya kesho. hebu tueleze nini hasa kinaendelea hapo? Picha ya majura nzuri. Hebu tupe picha ya vigogo wengine wana habari waliopo hapo. Najua makanjanja ni kibao. Hatuwataki hao. vipi kina Theo Mushi, Rioba etc? unywaji ukoje hapo? Tupe habari Mkuu!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteKaka Michuzi hizo picha zimetulia si mchezo..yaani ukisikia timing ya picha ndio hiyo...Bongo kweli tambarare...raha kwenda mbele.
ReplyDeleteMimi namkubali elyson angai kuwa pengine ni namba wani afrika kwa kucharaza solo kwa watu wanaojua muziki watakuambia hivyo.
ReplyDelete