nimetuma picha hizi kwenye hii blog ya jamii ili uone liverpool inavotesa kwa sasa na hii ni siku ambayo nilikuwa uwanjani live liverpool vs stoke,lakini refa alituangusha kwa goli ambalo alilikataa bila sababu yoyote.
ni mimi mpenzi wa liverpool chizmy salakana.
liverpool hureeeee.
hahaahah kweli kuwahi muhimu mwenzako kaupuwa nyuma huko ya picha naona. bwawa oyeeeeeeeeeeeeeeeee! safarihii hii hata auumie nani tutajikamuwa hivyohivyo. wambie hao nyuma inatosha tena blog ya michuzi ishawaona.
ReplyDeleteFelichismy Salakana, nnakuona kumbe na wewe mpenzi wa bwawa la maini? yuwapi simon T? mpe Hi ukiwasiliana nae!
ReplyDeleteur classmate s.r.s.s, salama.
T he t he ee na hao huko nyuma tena wanafanya nini!!!???
ReplyDeletewacha ushamba wewe mtu mzima
ReplyDeleteoya mwana aminia dah!liver ni noma, msimu huu lzm kieleweka.poa mwana endelea kuwakilisha!!!LIVERPOOL OYEEEEEEEEE!!!!!!!!!!U'LL NEVER WALK ALONE!!
ReplyDelete