ras tom nyigullah ndiye mpapasa kinanda mpya wa bendi ya vibration sound iliyo chini ya elyson angai. huyu bwana anatisha na hicho chombo amekichezea toka yuko kinda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Kumradhi michuzi japo niko nje ya mada; ni kwa nini wanawake wa kizungu wanawapenda sana rastamen au pengine kwa nini rastamen wanapenda wanawake wa kizungu?

    ReplyDelete
  2. Jamani huyu Tom anakaa au alikuwa anakaa Seaview, Upanga. Hongera sana.

    Jibu kwa Anon hapo juu juu : Wanawake wa kizungu wanapenda marasta kiasi kwamba vijana kibao wa Bagamoyo wanafuga rasta ili kupata wazungu wanaokwenda kusona pale chuo cha Sanaa. Wanadai Rasta dili..Mmh.

    ReplyDelete
  3. Samahani kaka michu! jina la pili limekosewa
    NHIGULA
    Mdau FK

    ReplyDelete
  4. Lol uncle Tom!, Michuzi ni Nhigula mzee, siyo jina uliyoweka hapo juu.

    Mdau toka Helsinki

    ReplyDelete
  5. Tom Nhigula! kijana alikuwa mpapasa
    Kinanda mzuri wa Roots and Culture band ya jah Kimbute!!!kazi yake inakubalika

    ReplyDelete
  6. nami, kunradhi kwa kwenda nje ya mada: swala la Rasta na wanawake wa kizungu haliishi hapo liko sawia na uhusiano wa wanawake wa kibongo wanosuka dreads na wanaume wa kizungu. Nilipouliza, nimetonywa kwamba ni suala la identification kwa makusudi. Vijana wanaume au wanawake waliosokota nywele 'wanakonyeza' au 'kupiga mayowe' kwamba wako 'available' kwa wazungu. Ndo kusema, uwe mwangalifu na mtindo wako wa nywele kwenye kadamnasi, hasa fukweni mwa bahari. Labda ka umekusudia hayo... UZENGERE

    ReplyDelete
  7. halafu tom sio jah! anapenda tu kufuga rasta hivyo kumwita ras tom mmmh!! haikuji, but the guy is a piece work man kwenye keyboard nashangaa hata kwenye kili awards hawi nominated watuwekea wapiga brass za keyboard wa twanga pepeta ana wengineo,jamaa yuko fiti kwenye jazz,blues ndo usiseme duh!!

    ReplyDelete
  8. Tom is a classic piece!

    Kazi anaijua sana ......nakubaliana na mdau hapo juu ...kwanini hayupo kwenye kili awards......

    Labda watamwona sasa ....maana yeye hapendi kujitangaza kama bendi zingine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...