As a closing argument following our series of economic discussions, that touched on several topics and case scenarios, as well as possible solutions to the coming economic turmoil, which I am sure our fellow readers and citizens read and digested, and now ready to face the fact of sailing through the turbulent economic waters.
In addition to the previous discussions, we have been assured by our economic captains such as the BOT governor that the Tanzania government is well prepared to incline the problem and nothing to worry about. We do hope this is the case!
The fact of the matter is that, the problem is REAL. The world is coming into a deep recession, which may end up into depression if matters not taken seriously. This can now be evidenced by the layoff trend across the globe. Even though the NAY Sayers will argue that Tanzania economy is immune and resilient to the global economic meltdown, I would like to advice such comrades to sit back, think and read the clear signs on the wall. It will be utter IGNORANCE to assume so, while signs on the wall spell clear DISASTER.
China has been regarded in the recent years as the sleeping giant that has woken up and now marching towards global economic domination, and could not see the wall made of steel that could not only have slowed the pace, but could as well bring to a stop the march all together. A recent trip to the Asia Pacific, revealed how dire and serious the situation is in China.
Massive factories producing consumer goods, which employed hundreds of thousands of people if not millions, have become ghost halls. Guangdong province, famously known for producing plastics and toys, is now deporting laid off workers back to their villages, while the authoritarian regime has literally shut (from the rest of the world) all the cameras from beaming the images of men and women demonstrating in the streets, demanding explanations from their government on what is happening. Factories have been closed and some are still closing; European and American markets have dried up, they cannot afford buying the cheap Chinese toys! And the story is almost the same in the entire country.
The pace at which this problem is spreading is very scary; countries like, Pakistan, Indonesia and India with explosive populations, are time bombs that could potentially twist things and explode the situation out of control, when economic difficulties of being unable to find jobs and failure to feed families lead to uprising. Does this sound like something that could happen in our country?
Mhhh……………Maybe NOT !
Tanzania, exports coffee and other agricultural commodities, she exports natural resources, finished industrial products. Tanzania has so many hotels which employs locals, and depends on tourists to operate. Our historical sites and national parks generate hundreds of millions of dollars needed to keep the government and her agencies running.
Service sector in Tanzania which employees hundreds of thousands of people also depends on clients with foreign ties to some extent, what will happen if the number of foreign clients decreases or stops completely?
Is it possible that all these sectors could witness their markets shrink? Agricultural products export coming to a halt, finished industrial products pilling in depots without buyers, tourism sector suffer revenue setback, hotels becoming empty halls without occupants and a massive layoff in the private sector due to massive operational losses?
Do we understand that Tanzania has hundreds of foreign based companies that are perhaps affected in their home countries?
Whether one is a “Muosha Vinywa, or Mbeba boxi” the fact is, we all contribute to the development of our nation in one way or the other, and whatever affects one, affects all of us. The Diaspora remits millions of dollars a year, which may also dry up if many of them get affected with the layoffs in the west, especially in America and Britain.
This is the real, main street talk, and not the wall-street talk of big numbers and Goldman Sachs Woes. Because main street companies big and small are suffering massive losses and are forced to streamline their work worse, possibilities of our brothers and sisters getting affected are real
I hope the argument above convinces the NAY Sayers that, we are living in a different age, where the world economies are intertwined, and no one country can function without the other.
I hope the argument above convinces the NAY Sayers that, we are living in a different age, where the world economies are intertwined, and no one country can function without the other.
The above scenarios are happening right now, and considering how the economic virus is spreading in the veins of world economies, we must think together to see how we can face the future.
No one has a clear and precise solution to tackle the dilemma, but rather, can, if we work collectively as a society to avert to some extent, some of the pain we may be forced to deal with on the face of roaring economic nightmare ahead of us.
We don’t expect our government to completely stem the problem, because rational and honest people can never and will never expect their government to solve all their problems, but may need truth and transparency from their government necessary to make adjustments based on the difficulties of the time.
Great thinkers, big brains and courageous men like Dr Hildebrand Shayo, who in the past, developed, discussed and suggested several solutions to different economics scenarios, must now brainstorm on how a common man in our country without massive savings can survive the onslaught of the encroaching global recession.
Now is the time to brain storm deeper for the best interest of the country and her people. “wachangiaji” this is your time to talk sense than writing anonymous hateful and ignorant comments, please step out in the open and give us your views.
There are simple things, yet of great significance we can do as citizens to stem if not to avert this problem. And one is abstaining from unnecessary spending while preparing for the inevitable. Even though we may differ in our physique, intellectual abilities, and even material prosperity as some are more blessed with riches; some with world class education while others can only afford to learn from their surroundings.
In spite of all the differences and inequalities we may have, we can all agree that we are one family. One society and children of one nation. We must also agree that the gloomy days ahead are not awaiting one man in our country, but Tanzania as a whole.
More than ever before, our country needs brains that will steer the boat to a safe shore. Tanzania needs leaders who can clearly and truthfully tell the people how doomed or how prepared we are. And my last word to all; please hold on to your savings, and tighten your seat belts.
Mungu Ibariki Tanzania.
John Mashaka,
The Writer is a US Based Investment Banker & Social Activist of Tanzania Origin
Mr. Mashaka, you made very good points here. http://jacobkashimba.blogspot.com/2008/10/is-tanzania-safe-will-global-economic.html
ReplyDeleteJonie Mashaka, here you go again my man. Mimi nakueshimu na kukuvulia kofia rafiki yangu.
ReplyDeleteThis guy is brilliant, I dont care what people say. He is one of the geniuses Tanzania is ever going to to produce.
Gongo Lamboto-Kibindoni
Waliokuwa wakibisha umahiri wa mashaka, nadhania hawatakuwa na mashaka tena na mashaka. Kwa kweli America haiwezi kuajiri mtu asiyena upeo mkubwa kama mashaka. Jana nimekusikia mtu wangu, unatisha bwana mdogo. WW ni rasilimali kubwa sana kwa tanzania. nadani hau watu wa EPA wanakunwa vichwa kuwanona watu kama wewe
ReplyDeleteMichuzi Pongezi kubwa tena za dhati kwa kutupa forum ya kuweza kujadili na kusikiliza maswala ya nyumbani Tanzania. Hawa vijana wanatushauri na hekima kubwa kuliko serikali yetu butu ya EPA? Heti wamepelkwa mahakamani, ma kamanda wa EPA wako wapi? Ufisadi unatuuwa jamani
ReplyDeleteKilichonipendeza ni kwamba umefungua ukurasa mpya wenye manufaa makubwa kwa ajili ya nchi yetu. Mijadala ya hivi karibuni, imetuletea matumaini makubwa, sio tu kwetu sisi wanamtandao, lakini taifa la Tanzania kwa ujumla.
Natumai viongozi wetu, wenye machungu na nchi yao, wamesoma umahiri wa vijana wetu walio ughaibuni hasa namaanisha Dr Shayo na Mwanaharakati John Mashaka. Vijana wawili ambao ni lazima warudi Tanzania. Sioni sababu ya Uingereza na Marekani kufaidi vichwa kama hivi huku sisi tunaangaika na vitoto vya mafisadi katika kila wizara nyeti na vyeti feki. Licha ya hayo, ma TX wamejaa Tanzania, wengine wasiokuwa na elimu huku wakilipwa mamia ya mamillioni kwa mwaka. Kwa nini hizi fedha zisilipwe wakina Dr. Shayo? Hawa vijana wamekubalika,
Shayo Apewe Uchumi au Urban planning, Mashaka Apewe Fedha au Sheria, ili vichwa vyao vigongane huko kwa ajili ya walalahoi waliochoshwa na maisha pamoja na Ufisadi.
Hawa vijana wawili wameonyesha umahiri mkubwa, na itakuwa vyema wao kurudi nyumbani kuchangia katika kujenga taifa letu. Hapa tu malumbano yao yametuacha hoi, itakuwaje wakiwa katika wizara tofauti?
Nadhani wengine wasema kwamba ni watoto wadogo, wengine watasema nao ni mafisadi, lakini tufahamu kwamba, Ingawa wote ni vijana wadogo hasa Mashaka amabye nadhania ana umri wa miaka 30, nadhani enzi za kuwatazama watu kutokana na umri umepita. Walio na umri mkubwa wamevunja rekodi kuwa mafisadi waliokubuu. EPA, RICHMOND, KIWIRA na mengine yametuchosha.
Sasa hivi muhimu ni uwezo. Wameonyesha uwezo wao, na pia wamehamasisha taifa kwa kiwango kikubwa. Hapa DAR jana jioni katika kukusanyika kwetu kuburudika, swala la hawa vijana ulizua mjadala mkubwa sana, uliochukua takribani masaa mawili. Dr Shayo & John Mashaka, msiogope, Rudini nyumbani muitumikie taifa lenu. Jamani, watanzania inabidi tuwape vijana wetu nafasi ya kuongoza nchi,
Wadau, Nanyi pia mtoeni maoni yenu kwa maana hawa vijana wawili wametu challenge sana, na waandika ushuzi hapa mmefika kigoma sidhani yupe mwenye akili timamu atayeandika ushuzi.
Mashaka, Hongera sana mdogo wangu
Hongera mdau , mimi namini huyu jamaa sio tajiri ila ni kijana anayeishi maisha mazuri,mpangilio,mwelekeo na anajua anapoelekewa, kwendana na maelezo yake ni mtu anayemwelekeo na anajua anachofanya.
ReplyDeleteMfano anapata $3000 kwa mwezi ni nyingi sana kama unampangilio na unajuwa unataka ku archive kitu gani, kumbuka ukiweza kujibana kwa mwaka moja au miwili ukaweza ku save kila mwezi $500 au $1000 sioni kwanini ashindwe kufanya vitu vikubwa ,
maana najua kunawatu wanasema bills ulaya huwezi ku save lakini inabidi ku sacrifise starehe , kinachotuangusha tanzania ni serikali unaweza ukawapa proposals nzuri na wasizifanyie kazi
wanawapa investors toka nje,wakati mwingine unakuta kama muheza tanga kuna machungwa 24/7 unahitaji loan hata million 10 ufunguwe kiwanda cha kutengeneza juice wakati huo huo umesaidia wakazi wa mji huo, basi hata serikali ifunguwe kiwanda kusaidia wakazi wa pale . any way ni mawazo tu wadau
William Uk
Mashaka, nana wewe ni mtu mwenye busara sana. hapa umwanyima waosha vinywa cha kusema. hapa watakachoanya ni kukupungeza kwa maana hii article yako imewagusa hata wao.
ReplyDeleteKusema kweli, mimi mwenyewe nimekuwa mtu wa majungu sana na wivu kwa mashaka kutokana na mafanikio yake,bila kuficha, nimemtukana mara nyingi tu, lakini hii article kweli imenifanya nifikirie hali halisi tunakokwenda
Asante sana, naona umejenga kesi, na bila kukosea ww ni mwanasheria mchumi siyo? Bwana karibu Wichita tukuone angalau tukuchinjie mbuzi mtu wangu Asante sana mashaka
I am very touched with the guy and God bless him. Watu wenye moyo safi na wa huruma kwa wenzao wako wengi, lakini wanaokwenda mbele zaidi na kuamua kujitoa kusaidia jamii zao wako wachache.Mashaka unaisaidia sana tanzania na mchango wako na sita shangazwa ukiwa Obama wa Tanzania muda siyo mrefu
ReplyDeleteTubadilike na kufanya yale tunayoamini kwamba tunaweza kuyafanaya katika kubadili maisha yetu na ya jamii zetu.
Real tears are not those that fall from the eyes and cover the face, but are those that fall from the heart and cover the soul...Mashaka yours are real tears!
To worry about what you can influence is stupid, to worry about what you can’t influence is useless...You go Mashaka
Never deprive someone of hope; it might be all they have. A word of encouragement during a failure is worth more than an hour of praise after success....You are on the right truck Mashaka, yes you are!
And I love reading your commentaries. Good job with BBC on Friday
Mashaka umeniacha nje kitu kimoja, lugha. ningechangia
ReplyDeleteJamani wasomi toka UDSM wako wapi? mbona ni vijana wawili ndio wanaotukuna vichwa johni mashaka na Shayo tu?
ReplyDeleteHili tatizo la kiuchumi siyo ya wawili tu ni la taifa zima. na hawa wanamlimani wanalipwa hela nyingi mno, yaani sasa hivi wangejaa kwenye airwaves zetu na habari za kiuchumi.
Nadhani mazingira ya watu yanachangia sana watu wanavyofikiri . mashaka kazi zako wall-street nadhani ni ishra tosha kwamba umenza kufikiria kama wao, ila sante sana
Wabongo tunapigwa ngwala sana. Mashaka kawa mchumi lini, huyu jamaa alikuwa akisomea Sheria pale Durham, Duke University mwaka 2004 JD/MBA sasa kawa mchumi lini? Ndio very smart lakini siyo mchumi
ReplyDeleteKwenye benki atakuwa kwenye idara ya sheria na mikataba nashangaa amejaa tele na maswala ya kiuchumi Tettttteeeeeee......amkeni wabongo
for sure thing,,,nc report
ReplyDeletewaosha vinywa mboni mambo km aya uwa amtoi pints???jaman watu wamekalia ulimbwende,pombe,umbea nk
Huyu ni joni mashaka, waosha vinywa hawawezi kukosa cha kusema. hiyo nina uhakika lakini nami pia nimekubali Jon Mashaka is clever. The guy is brilliant. Waosha Tete, tete zimekwishaaaaaaaaaaaaaaaa
ReplyDeleteMashaka, subiri Shayo aamke ! Hilo hapa sina la kusema kwani mimi naweza poteza kazi yangu
ReplyDeleteMashaka, njoo hapa DAR, chuo baraza lote la mawaziri uwaweke chini upae darasa. Aisee unaniachaga hoi jinsi unavyofikiri na kukaa chini na kuandika, utadhani ni computer fulani ndiyo iliyokuwa inakusaidia kufikiri. Watu wengine wanazaliwa na vipaji, lakini hii ndio hali halisi ya mambo
ReplyDeleteMashaka's treatise is only a perspective. He makes valid observations that are a part of current analyis of the impact of the global financial crisis and its implications to the gobal south. However to suggest that this guy is the best genious that Tanzania has ever produced I believe says more about the persons making those exagerated claims than it is about Mr. Mashaka.
ReplyDeleteMimi hasira yangu ni kitu kimoja, siyo kwa mashaka ila kwa huyu mtu michuzi ambaye ni fisadi, yeye ni jeleaous kana kwamba anataka naye mashaka amuoe. Tunakuomba contacts zake miaka nenda rudi lakini anaibania. Je anataka naye amuuzie mdogo wake? kwa maana siku hizi ni mambo kujuana hata kwenye ndoa wenye hela wanaoana kwa wenye hela
ReplyDeleteJana nimesikia midundo yake akihojiwa na Charles Hillary
ReplyDeletehttp://www.bbc.co.uk/swahili/
kisha bonyeza dira ya dunia.
Kitu kimoja ni kwamba, mkewe atakufa na ugonjwa wa moyo. Presha atakayopata mumewe akifuatwa na ma teksi bubu itamshinda
Thubutu, waosha vinywa hawana la kusema kwa maana wameshikwa na baridi. mnadhania ni utani?
ReplyDeleteWamekufa ganzi hapa marekani, kwanza wengi hawataki kutizama TV sasa hivi ukweli unaingia na watakuja kumuona mashaka kama mtabiri
The theeeeeeeeeee the nini hiiiii. The waosha vinywa hawana cha kusema wanatetemekea baridi ya kupunguzwa ubebaji boxi kwa hiyo mashaka anazidisha kupuliza baridi na ukweli unaingia
ReplyDeletehivi unataka kumjua joni mashaka? ndiye huyu hapa. Mbona ni mnyenyekevu sana?
ReplyDeletehttp://dailynews.habarileo.co.tz/streaming/?vid=USbasedTanzanianSocialactivistJohnMashakatalksofhisexploits.flv&id=110
hapana, mashaka anauza kwenye kituo cha mafuta NY, mimi ni rafiki yangu sana. ni mimi nilimvuta kuja marekani, nikamlipia nauli na kila kitu sasa mbona mnazusha tena.
ReplyDeletemimi nachukia watu wanaopenda kusema leteni ....leteni...njooni ...njooo mlijenge taifa....kwanini wewe usilete huo ufumbusi....kwanini wewe usianze kujenga nchi.......kwanini unasubiri watu wengine?
ReplyDeleteGood for you kama umefanikiwa lakini kumbuka maisha ni popote......sasa destiny yako ilikua tanzania....hata huku kuna watu wamefanikiwa sana...inategemea ni wapi upo na goals zako ni nini? ...na kama mpaka wamekudeport basi life style yako ilikua sio ya mfano mwema wa kuigwa na thanks God walikurudisha kwa vile labda huku ungekua bado uko waste kishenzi.....
Goodluck with your life lakini usikandie sana kwa vile maisha ya huku ni tofauti sana na ya bongo na ugumu wa maisha ya huku ni tofauti sana na ugumu wa maisha ya bongo....sidhani kama wasingekuondoa ungeondoka mwenyewe kwa hiari yako.....na Bongo na huku ni kuzuri sana kwa wasomi lakini kwa mtu asiye na elimu, wala refariii wa kumsaidia huku ni kuzuri sana sana tu.....Ni heri watu waoshe vibibi na waweze kusaidia ndugu zao kuliko kukimbiza mkokoteni kariakooo au kufanya kazi za kupokea simu au kazi za mtu aliyemaliza form four tu tanzania...kama mtu hana ndugu wa kumwingiza mahali...ni bora wapande tipa waje huku wakiweza....wataweza kusaidia ndugu na jamaa....the truth must be told...
Mbona huwaelezi huko hilo????...Inamaana wewe ni mabaya tu uliyoyaona huku....hamna hata zuri uliloliona....???? Hukujifunza lolote....nzuri.....??????.
Mheshimiwa mashaka, hii ndo jina lako jipya. naomba unisikilize, mwaka wa 2008 umekuwa mwaka wako kwenye mablogu.
ReplyDeleteumeamsha jamii ya kitanzania ki aina haijawahi kutokea. umeleta mijadala mikali vijana hawana amani na wewe ila, hii article imetugusa wote ni imegusia ukweli mkubwa wa mambo. hali kusma kweli siyo nzuri tunaomba Mungu atusaidie tuepukani na hili janga lililoanzia marekani na sasa hivi linatapakaa dunia nzima
Mashaka, au wachangiaji allow me to ask. Is this guy a lawyer?
ReplyDeleteHe has presented his case very strongly and in a legal format, he brought forward his opening arguments, argued his case very well, and now brought the final (closing)argument.
You have convinced the jury, hence won the case!
All I can say, you have the brain of its own kind. You deserve praises, na ni kweli mashaka ni mfano wa kuigwa.
Thank you for keeping us informed on the economic front .It is an article worthy of reading, and will recommend it to my friends. I am a lwayer, and would be glad to welcome you in my law firm as a partner.
Michuzi when this is over, can you re-open (re-cycle) John Mashaka's Dr. Shayo articles once again?
Advocate Dar.
Jonie rafiki yangu. thamani yako kwa tanzania ni priceless. ila ogopa haya majitu ya EPA ni hatari, hayapendi vichwa kama wwe hasa ukianza kuwakuna vichwa jinsi unavyowa challenge sasa hivi.
ReplyDeleteyanaamini tanzania ni mali yao ndio maana wanawapandisha walalahohi kwenye makarandika huku wao wakipeta na AC kwenye magari yao na Benera kando. wanadahni hatuwajui? 2010, ni karibu mno, au 2015 watakuwa wamekwisha. njoo kura tutakupa
kwa jina la mama maria, padri karugendo na mtume yusufu, naapa kwamba sitaweza kukutukana tena. kumbe unatujali sisi wabeba boxi?
ReplyDeletenilidhania ww matawi ya juu hautujali sisi, kumbe unatukumbuka. na uzidishiwe mara dufu huko wall-street, chuma hadi senti kumi wanazotupa hayo mafisadi, rudi tanzania tutakufuata na kukuunga mkono kwa hali na mali.
Ukikosa usafiri, tutakubeba mabegani toka marekani hadi tanzania-Inshallah
Wautata
Hongera bwana mashaka. hi article yako imeandikwa kwa mpangilio, usafaha na upeo wa hali ya juu. Kazi safi, naona tena umetufikiria sisi walalahoi. ingawa nina dakika 30 kutoa comments zangu na kufunga share yangu ya internet kwa wiki, nadhani ujumbe wako utaingia kwenye vichwa vya vijana wetu wanaojishaua na hela za hepa kwenye mabaa na majumba ya starehe na jirani yetu kinje naye nadhani kapata ujumbe. Anita lakini uangalie asije kuwa ana muwania ndugu yetu maarfu mashaka. dawa ya dawa ni dawa
ReplyDeleterafiki yngu mshaka, sina lingine la kusema zaidi ya Mungu akubariki, unakuwa mtu mmoja muhimu sana katika jamii ya kitanzania. naona waosha vinywa sasa pia wanaanza kukuelewa malengo yako kwa nchi yetu. ila usivae tena bluetooth ukirudi tanzania, vaa kandambili na shati la kitenge, na pia mayenu
mbeba mchanga
Mimi kitu kimoja ninachokushangaa ni kwamba, mbona unasema hautaki ubunge? Nadhani vichwa kama mashaka vinahitajika sana dodoma kuwapa yale mafisadi ya CCM changamoto. mbunge wangu wa kibaha sijui hata anaitwa nani, kazi kulala tu. nadhani jinsi bongo fleva ulivyoutwaa ubingwa wa muziki nchini ndio vile kizazi kipya ya viongozi vijana kama mashaka itakavyotawala katika enzi yetu.ila cha kushangaza ni kwamba wengi wao kama zitto kabwe mara baada ya kufika bungeni wananunuliwa na kuwa vibaraka wa ccm. nadhani hii ni njaa ndio chanzo chake, ila mashaka nadhani hawataweza kukunua kutokana na ukweli kamba hela za wall street zitakuwa zimekutosha.
ReplyDeleteZaibuni Bakari
Kipawa DaR
Mashaka, Mashaka Mashaka!
ReplyDeleteHuyu mtoto nimemfahamu akisoma sekondari. alikuwa mdogo sana nadhani miaka 15 hapo 94 alipokuwa kirudi nyumbani DAR, alikuwa kazi yake kubwa ni kuwatunza ng'ombe wa wa baba yake. mara nyingi niligombana naye kuleta ngo'mbe wake kwenye shamba langu
Baba yake marehemu alikuwa rafiki yangu sana tukiwa Musoma Alliance enzi hizo, ila dalili za mashaka kuja kusimama katika majukwa kama haya yalianza kuonekana mapema niliposoma nakala moja aliyoandika.
Alikuwa mtaratibu sana, mwembamba mno tofauti na wadogo zake vichwa moto.ila kitu kimoja tofauti naye kabisa ni udadisi wake wa mambo, hekima na busara aliyokuwa nayo akiwa mtoto mdogo.
Wahenga walisema, kwamba mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, kwa kweli nampongeza aliyekulea na kukupa maadili na unyenyekevu ulionao. matunda yake tunayaona watanzania kwa ujumla. Baba yako marehemu ninaimani anajivunia kijana wake !
Baba Wazo
Kuwanyima waosha vinywa na wabeba boxi cha kusema ni noma. Hiyo haileti raha kwenye globu ya jamii, anagalau unaandika vitu tunavyoweza kuchambua na kukandia. hii umeandika mtindo mmoja, yaani kiutaalamu, either way, tumekubaliana na wewe na natumai Mungu atatulinda watanzania wote
ReplyDeleteZuhura. (London)
Mbona huyu mtu mnampapatikia kana kwamba ni mungu mtu? kama ana akili ni zake kwa nini tumsujudu.
ReplyDeleteNasma hivi kutokana na ukweli kwamba, akiwekwa sehemu, comments zinatiririka hata kuliko za EPA.
Mashaka ni mtu wa kawaida tu, sioni sababu ya watu kumuona kama Mungu mtu, get life people.Akiwa na mafanikio makubwa, hiyo ni yake siyo yetu. alicho sema kwenye hiyo article ni vitu vya kawaida mtu yeyote mwenye upeo na nafasi alio nao anaweza tu kuyasema.
Akiwa ameenda china kufanya utafiti, hiyo ni sehemu yake ya kazi kwa hiyo sioni cha ajabu.Watznania bwana, msishangae huyu alienda kusoma na hela za EPA huku nyinyi mnamsifia kiasi hicho. Ndio ni genius, kwani Tanzania kuna genius wangapi? Nendeni zenu na mshaka wenu
ACHA ROHO MBAYA ANON 8:28..WIVU KISA WEWE HUNA AKILI KAMA ZAKE.. NENDA KAJISOMESHE!ONE THING SO,EDUCATION CANT BUY CLASS
ReplyDeleteKitu kimoja ambacho namsifia mashaka ni ujasiri. Huyu kaka amezushiwa sana, lakini hadi sasa hajakata tamaa. ameamua kutoa mchango wake kwa Tanzania
ReplyDeletehii inaonysha ni jinsi gani anaweza kuwa kiongozi bora. He seems to he having his head on his shoulders besides being a thinker and extremely brilliant guy.
His analysis of issues reflects the actual global current affairs that our people needs to know. He is brilliant yet humble, which is a plus in order to prosper in this world.
The other credit I would love to pour on you john is the fact that, you are never intimidated by negative opinions, and this shows how much you love your country
Please continue the economic series, they are very stimulating....
Esther Mswalu ---- Rome
Kwani dunia inakwisha kesho? sisi tumechoka na misha hata kama jeanamu ya uchumi utaingia, sisi hatutakufa kwa maana maisha yametuchosha, tulishafika ahera ya shida na kurudi. Mashaka wape dara wana EPA ambao hela zao zitayeyuka siyo sisi
ReplyDeleteI am not a regular contributor, but has been forced to contribute because of the sensitivity of the article I came acroos in our “jamii blog”. This is the right time to address the issue because we are waking up and seeing that we can do it. Obama did it, yes Mashaka can too
ReplyDeleteMost of the time, people believe that country’s wealth lies on natural resources. This has proven not to be the case. The reason being that, you can have so much yet don’t know what to do with it, and other people ending up benefiting more than the country itself.
This is the case in Tanzania today. Many our riches (wealth) is being enjoyed by foreigners, and a few in the government (FISADI’S -in the ruling CCM). This is happening because we don’t have true wealth. We have poor brains.
John Mashaka, has proven to be a such a valuable ASSET, or other few of the brains we need to claim full riches. I am baffled by this Youngman’s excellent mind, no wonder he was tapped to Wall-Street. He has challenged the thinking among the Diaspora and has been lightning rod of envy.
I must admit, that this is a well written article, well thought, and timely delivered. These are very challenging times, which needed brains to counter the challenges. John Mashaka’s Ideas and thoughtfulness is superb; he has erased all the doubts we had about him, if at all he wrote the article
Mashaka, tumekusikia vizuri ujumbe umefika, I hope the governor, Hon: Mustafa Mkullo and the rest heard you too.
Ningependa ushirikiane na Dr. Hildebrand Shayo (kichwa kingine) ili mtoe mwanga zaidi kwa wenzenu ughaibuni.
Umetoa darasa bila kutegemea. Mimi pia nimetokea kuwa mwanafunzi wako bila kutegemea ingawa umri wako ni sawa na wa mwanangu wa tatu. Itakuwa vyema ukianzisha darasa la wanamtandao linaloitwa Finance -101. Bila shaka ninakuwa mwanafunzi wako
Wote mnaojifanya mashaka, alikuwa hivi na vile, mara ungesema hivi na vile, mimi mnamfahamu . Swala ni kwamba, kama mna hoja ya kusema, jitokezeni muandike hoja zenu alivyoandika hoja zake nasi pia tutachangia. Ukiandika ushuzi kama PW KUJA, tutakuchamba vile vile, ukiandika vya maana tutakupa ongera
ReplyDeletetumechoka na miharo yenu ya kila siku ya obeba boxi na usafishaji vinywa.... za kuwachafulia wenzenu wenye nia nzuri kwa taifa lao. Sina shaka kwamba baadhi yenu wana akili nzuri tu, ila akili zenu tutakubaliana nazo pale mtakapo toa challenge kwtu hapa nyumbani.
sasa hivi ni kama vile hakuna hata mmoja ambaye ana upinzani wa hoja zake isipokuwa shayo, il hali mmejaa teteteteteteee mingi bila hata kutaja majina yenu. tobaaaaaaaaa
mashaka ongeza mwendo
WATANZANIA AMKENI HACHENI UJINGA! KAMA MASHAKA ANAONA ANAKITU CHA KUIFANYIA TANZANIA KWANINI HASIRUDI HOME TANZANIA? Siyo LAZIMA AAAJILIWE NA SERIKALI YA TANZANIA ANAWEZA JIAJILI MWENYE AKABUNI KITU CHAKUFANYA AKIWA TANZANIA.Mie Siwezi kukufagilia hata kidogo Je unachukua Notes au Hints za watu nakujifanya wewe ndiyo mwandishi...Kama unaona unakitu cha kuifanyanyia Tanzania Rudi Home Jiajili ukiwa Home.Watanzania Tumechoka kuibiwa na Wajanja Wachache....Mungu Ibariki Tanzania
ReplyDeleteBwana mashaka, hapa siyo kukudhalilisha. Nadhani hapa ulipofikia ni kwamba hata ukiweka sura yako kwenye gazeti na mauzo ya salama condom, wanunuzi watadhania kwamba hiyo ndiyo condom nzuri kuliko zote duniani. Ushauri wangu binafsi ni kwamba chukua huu mwanya kufanya advertisement. Nadhani makampuni kama zein ingawa hayataweza kukulipa hela za wall-street, yatakulipa kiasi kwamba dhiki itakutoka na familia yako yote.. kila la kheri
ReplyDeleteMuosha choo toka kibosho
Mashaka asante sana kwa ushauri wako wa busara kwetu, hasa vijana tulio majuu. nadhani hii article itatufanya tujitafakari tunakotoka na tunakokwenda. ni nzuri sana, na hata gavana wetu ataisoma. ila sidhani kwamba wanaweza kukupa kazi kwa maana watahofia utawaumbua hasa ukienda na desturi za wazungu za utendaji kazi
ReplyDeleteWataalamu wa aina hii tunao wengi tu,mbona tusiwatumie? kwa nini tuwalete ma TX feki ilhali tanzania ina watu wenye akili zao namna hii. John Ongera sana babaa, ila usisubiri kulipwa na mtu yeyote, tenda wema na wala usisubiri shukrani hawa watuw etu hawanaga shukrani. unapojenga wanabomoa, na mara nyingi wanapenda vitu vya kijinga sana. Ukiweka picha ya party, utawaona wengi sana. Ila ukiweka mambo ya busara, watakumiminia matusi hadi utajificha. mola akuzidishie kutupa ushauri, uzidi kuishauri taifa letu. Akiba yangu sitaichezea. ( Rachel T- Leeds)
ReplyDeleteMithupu hacha zako babaaa, tutataka mchongo. tupe namba ya jamaa, sista zako wachumba hawapatikani unganisha basi
ReplyDeleteEsther Lubanda UDSM
Vitu alivyoandika hapa havihitaji msomi ni vya kawaida sana, kama unakaa WESTERN COUNTRIES habari hizi zote alizoziandika zitakuwa si ngeni kwako, zinatoka kwenye vyombo vya habari vya radio, television, internet na journals za banking, investment, security, finance and economics, hayo yote aliyaandika mimi binafsi nimeyasikia zamani sana kutoka vyomba vya habari na vyombo vya fedha. Kama jana tu kiwanda cha kutengeza china,(vyombo vya udongo)- vyombo vya udongo huku hitwa china- cha CHINA ambacho kina miaka zaidi ya mia tano kimefungwa kwa sababu hizi hizi, kimekosa masoko. Kuhusu Tanzania, nchi yetu toka uhuru himo kwenye CREDIT CRUNCH, watu hawana pesa toka uhuru, maisha yao ni utterly unbelievable ever since, sema serikali inayotegemea misaada toka nje ndo itakuwa matatani na kushindwa kutoa huduma za jamii kitu ambacho hatimae kitawaumiza wananchi wa kawaida, tuombe mungu wakubwa huku majuu wa-fix hii kitu kabla haijafika huko, as it spreads as a contegeous disease.
ReplyDeleteTatizo ni kuwa Bwana Mashaka na Bwana Shayo ni watu wa porojo, maneno meeeeengi bila namba yeyote kuthibitisha wanayoyasema na viingereza vingi vya Kiokonkwo!!
ReplyDeleteKwamba Uchumi wa nchi utaathirika hilo wengi tunafahamu na wala huhitaji kwenda shule. Hata Rais Kikwete aliainisha kabisa jinsi ambavyo uchumi wetu utaweza kuathirika ( mfano kupungua misaada, mapato ya utalii, manunuzi ya mazao yetu, nk)tatizo lake hakusema sasa ni mikakati ipi anachukua kujiweka tayari na hali hizo zaidi kunyoosha mikono kuwasihi wahisani wasipunguze misaada!!!!)
Lakini ukishamsikia mtu anaongea maneno tuuuuuuuu ambayo hayana mchanganuo wa namba na vigezo vyake hawezi kuwa mchumi wa maana bali mtu wa porojo.
Tamko alilolitoa Gavana ni sahihi kabisa ukilisoma ingawa ni la kimachiaveli (Economical with the truth).
Sasa msomi serious angechambua basi pointi kwa pointi ni kwa nini Gavana aidha amekosea au hajasema ukweli na sio porojo.
Mimi nilimsoma huyo Dr Shayo na nikaisoma ya Gavana na kwa kweli Gavana au mtu mwingine wa chuo kikuu hawezi kuupa heshima upuuzi kwa kujibu porojo.
Wasomi hujibizana kwa DATA sio porojo. Ngoja nichote mfano kutoka hii porojo ya Mashaka halafu mniambie yeye na Daktari Shayo wameongea nini:
"...Great thinkers, big brains and courageous men like Dr Hildebrand Shayo, who in the past, developed, discussed and suggested several solutions to different economics scenarios, must now brainstorm on how a common man in our country without massive savings can survive the onslaught of the encroaching global recession...."
Jamani nini maana ya ..several solutions to different economics scenarios????!!
Hata kwenye essay pale jitegemee secondari mwalimu angekufundisha jinsi ya kuchora OOO .
Hivyo wandugu tuache kusifia vipande vya chupa huku tukitupa almasi sababu eti mtu kasema ni DR, Mchumi, Mzungu., tupime ukweli na umaana au kwa kizungu look for substance .
Wala msifikiri kuwa mimi ni mserikali wala msomi sana bali nimeboreka tu na porojo hizi zinazotufanya wote tulioko ulaya kusoma ni wababaishaji.
I’m now getting bored with ‘unnecessary over praises’ directed to Mr. Mashaka. ‘These’ things aren’t bad when they are justified! I mean ‘praising praising’ someone! …to be honest, in this case, I don’t think, it’s justifiable. I sometimes think, it could be the same person writing all of those praises for himself!
ReplyDeleteThe way it goes, I’m getting worried that Mr. Michuzi is using his blog to give some people ‘cheap publicity’!
Going back to what Mr. Mashaka has written recently, I can’t see anything new and news! As mentioned by previous commentators, all those ‘points’ “are things we hear everyday in the press” since credit crunch unfolded. It doesn’t need to be as ‘intellectual’/ ‘economist genius’/ or even’ investment banker’ as many people think to know all those things! It just needs someone to have a ‘Google website’ in his computer and read few articles on the subject matter with a little bit of understanding capacity!
Anyway, I’m not here to attack anyone personally as we need to engage our hearts and minds in this economic crisis but as a reader, I have got all rights in this world to post my concerns just like other people did!
I know, some people might be ‘Investment bankers’, unfortunately, I’m not! But tell me, do you think all people in Wall Street [US] or City Street [UK] are the most clever and educated people on the planet?...if you think so, think it twice my friend!!!...there are some ‘mediocre’ people there just like anywhere else!
Last but not least, people respect the owner of this blog not because he’s the most handsome guy ever to live on earth or he’s such clever man than any living creature in Tanzania! People respect him because of his 'services' to the society!...I do admire him for this! But sometimes, I’m bit disappointed when it comes to posting my ‘comments’! Not once or twice, he tends to keep his eye blind on my comments whenever I dare to go against his will! I hope this time around, he won’t show his biaseness!
Mzee
Da Wabongo wanaogopa kiwanja kinom a! Mashaka hana chochote zaidi ya kidhungu kwenye kitabu!!! Choka mbaya na kuwamaliza wabongo kwa kiswakinge hio mbinu ndio aliyotumia nyerere mpaka akapata madaraka kwa sababu sisi sote bado tuna infreolity complex only kwa sababu tumeenda shuleee weee tuna degree weee na masters lakini bado ni maskini kwisha kazi . mashaka sio watanzania wote wapumbavu Marekani imeshindwa biashara kwa sababbu kila mtu anategemea mkopo na biashara zote zinategemea makaratasi kwa hito ndio maana kila kitu kigumu ....muuza nyanya wa kariakoo ataathirika vipi hapo?? Acha kuwatisha waosha vinywa tuko chini mno hatuwezi kuguswa kwa chochote...Mdau kwa Bi Mkubwa!!
ReplyDeleteAnynymous November 09, 2008 3:58 you have to understand that, if you have something positive you should have contributed by revealing your identity. Mashaka raised a point for all of us to think about. Your criticism should be based on the contents of his work and not his character, and if you are knowledgeabe in the field, please let us hear what you have. You are some of the people pusing our country backwards, destroying that bulding. What is wrong with us Africans and Tanzanian's? Mashaka, I urge you my friend, dont despair, as you can see, majority of the people here agree with you with exception of ill minded like our fellow above. Help your country. I am sure one or two lives will be changed for the better with your inspirational work
ReplyDeleteMzee, you are hurting like many of us to see the name John Mashaka and Dr Shayo.
ReplyDeleteLets agree that they are pushing us to re-image our selves. Maybe in your uzee, you did not accomplish what they have, and see so much pain in living with that reality.
The truth remains that, the two young men are channgeing many of us. Please ecourage them to do more for their country than trying to discourage them if you are trully a mzee
Bahati Mzava (Tokyo JP)
Asante kwa article yako Mashaka. Kwa upeo wangu (as economist), level ya export TZ sio kubwa hivyo impact haitokuwa kubwa kama vile China, etc ambao walikuwa wana produce in large scale output for foreign markets na kupata supernormal profit which boost their economy. Upande wa tourism tutathirika ingawa pia sio sana kama jirani zetu Kenya, au kufananisha na Egypt, South Africa, Ghana, etc.
ReplyDeleteWestern countries tumeathirika sana na global financial crisis and this has been caused with free market theology which I BELIEVE is a sort of blind faith in capitalism. And I welcomed state intervention as a return to common sense, as Mwalimu Nyerere once said. Now UK government has already nationalise one bank (Northern Rock), and many more to come. Privatization is the evil of economy. And I'm so glad Barack Obama stated that he will start to deal with Wall Street.
TZ watu wakikaza buti mambo hayatokuwa mabaya kama huku tuliko majuu. Global financial crisis itachukua muda mrefu majuu lakini itategemeana na viongozi wa dunia jinsi watavyo intervene to sort things out.
Cha msingi ni kwamba serikali ya JK huko bongo iwe na good fiscal policy (to attract local & foreign investors) to increase aggregate demand and hence output but the government must take the value of multiplier effect into account. Also government should control inflation caused by rising oil and energy prices.
We have to accept that global financial crisis is the end of the era for capitalism.
Energy crisis is almost over especially oil,because countries producing it intervened and pushed the prices to a point people could not hold. In other words it teachers the breaking point.
ReplyDeletePeople have no cash to spend on gas this prices will continue to fall until Iran, Venezuela Saudis come to their knees.it is a mistake they made on their own
Thank you our economist, we like people like u who are trying to enlighten us along with ourbfamous dr shayo and john mashaka.
Mdau johanesnurg
Mr. Mashaka, you have displayed a rhetorical flair of different magnitude with cursory eye for what you set out to address. I'll join a few wananchi to congratulate you in what you are doing and urge you not to be deterred by few haters. You go Mashaka.....
ReplyDeleteIndeed Mashaka's rhetoric is remnicent to Obama's and we can only wait to see Mashaka in 10 year from today. I guess he is in either late 20's or early 30's. Either way, we are on the sidelines, and the country seems to be welcoming his briliance and contribution. His counterpart, Dr. Shayo is also another one whose progress will be interesting
ReplyDeleteWhere are the facts? I need to see facts and not assumptions. Hili ndilo ninalobishana na wewe JOHN.
ReplyDeleteTanzania is not immune from this finance fiasco. However, we're not connected to it at all. DSE doesn't have correlation with WST or Nikkei.
You argued about how this mess will melt to our hospitality industry, however you couldn't show any factor to prove. Again, article yako ni nzuri kusoma, lakini it can be used kwa only one purpose nalo ni school essay.
Again i welcome more arguments, but with more facts.
Economist from Texas
Big up Anon wa 3:58 na 8:44,ni kweli Mashaka is all rhetoric and no substance,no data,no facts,well umeamua in particular kuongelea credit crunch in TZ lakini mbona hakuna hata data moja inayo suggest na uliyoandika,sio kwa sababu Chinese wana suffer na sisi tutaishia in the same fate,pls stop spreading unnecessary fear,kama una data present maana hatujaona chochote(hard numbers) from export,employment,income,GDP,trade balance,production etc,huwezi kuongea economy ya nchi bila statistics zozote la sivyo uataoekana mwanasiasa tuu.
ReplyDeleteEconomist from Texas, I think I can response to your rotten English with one simple fact that, atleast you should hae used sense to argue Mashaka, that simply writing thinking we are damn idiots in here. U can make substance by writing something worthy like Dr. shayo did with all the facts to oppose his opinion. I guess his was simply a perspectie, which may differ with yours if you had FACTS. Watanzania hacheni majungu !
ReplyDeleteObovu na upumbavu wetu, ni kwamba sisi siku zote ni watu wasiopenda mema ya wenzao.
ReplyDeleteBwana mdogo ametoa case scenario's na mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza kutafakari. Kumbuka mamillioni ya watu duniani hawatakuwa na vipato kutokana na kupoteza kazi zao. hebu niambie, watalii hawatapungua, hau mnataka mashaka awaambi ni watalii wangapi watakuja???? Jama naona tumechoka siyo tu kimawazo, nadhani hata miili yetu imechoka na ufisadi tunahindwa hata kufikiri
Mashaka endelea kuwakuna vichwa tunahitaji vijana kama wewe siyo wala wa kutumia picha za kujirusha au ya magari wanayokodisha ilhali bibi zao na vitoto vyao vinakufa na ufukara Tanzania. Huyo mchumi wa Texas, sidhani kama anaweza kusoma, kwa sababu amegusia Dar Stock Exchange, na wala sikuona hata laini moja Mashaka alimozungumzia Stock Exchange. Huo ndio maana ya umbumbumbu na uzushi
Out of sorts, out of facts
Mzee wa Kibindoni. Temeke
Mkuu argument yangu ni simple too. Kwamba Mortgage meltdown ya Wall Street, Asia na EU haina correlation na Tanzania Financial System.
ReplyDeleteReason nimeziweka wazi kabisa, Tanzania system haitegemei kwa asilimia kubwa credit system ukifananisha na US, EU and Asia. Vile vile DSE is solid, with less volatility.
Umezungumzia Export kutoka Tanzania, dollar is all the time low na currency nyingine lakini sio Shilling. Leo hii $1 =1228 Tsh. Ukilinganisha na three month ago utaona hapo kuna jump ya shilling 75. Sasa nani ana benefit kwenye swala zima la trade hapo?
Umezungumzia hii meltdown italower revenue kwenye tourism industry, kwanza kabisa nataka unaangalia jee revenue kwenye sector ya utalii imepungua kwa asilimia ngapi tangu mwaka jana muda kama huu?
China wana kila haki ya kuwa slap sababu uchumi wao unategemea sana export kwenda US. Lakini sio kwa Tanzania.
Nataka uende kwenye website ya Bank Kuu, kisha tazama export ya Tanzania. Agalia kitu gani tunacho export sana, nacho ni dhahabu. Na kisha nenda kwenye westernunion.com kisha tazama fedha ambayo watanzania tunatuma Tanzania, kisha compare na export ya Gold ya mwaka utaona ni more than 100%. Sasa unapoleta hadithi za export kwa Tanzania nio maana nakwambia unaleta story za Abunuasi. Hapa Texas tunasema BIG HAT WITH NO CATTLE.
Mimi nimeweka simple and clear arguments zangu kwa nini hatuwezi kuwa affected na hii turmoil. Sababu hatupo conected na hii system.
Poteza muda tazama stock exchange kama JSE, kisha angalia portfolio zao.
Kama unaweza weka substance na sio emotion factors. Nakubaliana na wewe kuhusu China lakini sio Tanzania.
Economist from Texas
Mr. john, rembember, millions are appreciating your work. do not be dettered by these shallow minded few individuals. They have no focus, they have no direction
ReplyDeleteI hve taken notes on your advice, and God willing our country will just be fine. We have been bathing in poverty for centuries, and now realizing how free market economy (capitalism) can be detrimental to our nation.
I commend you for your bravery, and concern over your effort to educate your country men. Your contribution to Tanzania is great, help your people, and God is going to reward you my young brother.You are one of a kind.
Anonymous 8:52 nakubaliana na wewe kwamba Obama naye alianza hivi hivi alivyoanza mashaka, nasita shangaa miaka kumi kuanza sasa kumuona mashaka katika sura tofauti na alivyo sasa. Umahiri wake ni wa ajabu sana. ujasiri wake ni jamba la kuvutia wanachukia mafanikio yake. Bw. Mashaka usichukulie sifa unazopewa kama utani, ila tafakari sana umaarufu wako unaweza kumwagika ukiteleza kidogo tu
ReplyDeleteof the greatest thinkers I ever came across, mashaka ur standing tall amongst them. You are a clever and brilliantly thinking young man. Now ur the talk of the day, how are you going to maintain It?
ReplyDeleteIt is always very easy to be identified as an exceptional at the same time, you must understand that the society will be holding you in that high regard, therefore you must step up your game. All I can tell u, keep up the good work and dont let ur celebrity status get on your head
Mjusi kafiri
jamani napenda kuuliza swali moja tu. Ni kwa mini tunamjadili huyu kijana kuliko tunavyojadili maswala ya kitaifa? Kila sehemu jina jon mashaka linapowekwantunakuwa wenda wazimu?
ReplyDeleteThis guy is just an ordinary person he is not michael jackson or Barack obama we should stop warshiping him like a little god. These are nyerere products who may end up sending our country back to ujamaa
We have matters of national importance to focus on than being obsessed with jon mashaka. We must stop this mashakamania developing amongst us.some crazy fanatics may start worhipping him. Yes he is clever, but that does mean everything he say is right? stop making him a messiah
Anonymous minister (tz)
Jamani, nimepnda staili yako ya kuandika na mpangilio kwa ujumla.
ReplyDeletenikirudi kwenye pointi yangu, asante sana kutujalia, ila sisi tulishakata tamaa na maisha. hatuna tena cha kuofia kwa sababu serikali nayo ilishatutupa.
Kama ni kufa sidhani ili tatizo la kifedha litatumaliza ila litawamaliza waliozoea maisha ya kifahari. sisi ni wafu walio hai
tunaoandika against mashaka sio kwamba tunamchukia,simply hatukubaliani na anachoandika na sioni kama kina faida yeyote kwa uchumi wa Tanzania,ila kwa mnaopenda story za credit crunch endeleeni kumuona mashaka ni Obama,hakuna njia ya mikato kwa uchumi wa TZ bila watu kufanya kazi kwa bidii na kuzuia rushwa,hizo credit crunch haziwahusu kwa asilimia kubwa maana TZ markets haina attachment yeyote na hizo credit market...kwanza seems credit crunch ni kwa maskini kama TZ maana waarabu soon wataanza kuuza mafuta kwa bei ya kutupa maana hakuna pesa,watanzania hamna mortgage,car note au credit card sasa sijui hizo credit crunch zinasumbua vipi? endeleeni kulima kahawa,mihogo na viazi for export maana watu watakula tuu siku zote na msisahau kupigana na rushwa maana ndio poverty root...mashaka kama unataka kusaidia home acha kuwaletea story za credit crunch nenda home uwe foot soldier ukapigane in banking fairness system ambayo ina rip off watu nyumbani kwa mikopo ya 200% na uwaelimishe watu namna ya kutumia limited resorces ili kujiondolea umaskini,story za Wall street is far away na home na hazita change anything,mnaomsifia mashaka mna haki hiyo ila na nyinyi seems hamuelewi kitu!
ReplyDeleteMashaka, Mashaka, Mashaka, Mashaka.
ReplyDeleteMashaka, Mashaka, Mashaka, Mashaka.
Mashaka, Mashaka, Mashaka, Mashaka.
Mashaka, Mashaka, Mashaka, Mashaka.
Mashaka, Mashaka, Mashaka, Mashaka.
Obama, Obama, Obama, Obama, Obama,
Obama, Obama, Obama, Obama, Obama,
Obama, Obama, Obama, Obama, Obama,
Obama, Obama, Obama, Obama, Obama, Obama, Obama, Obama, Obama, Obama,
Yes,We can, Yes We can. Yes We can
Yes,We can, Yes We can. Yes We can
Yes,We can, Yes We can. Yes We can
Yes,We can, Yes We can. Yes We can
Yes,We can, Yes We can. Yes We can
Yes we can !!!!!!!!!!!!
Ikibidi tuuze hadi mbuzi wetu tutauza ili tukupigie kampeni muda wako ukifika.Mashaka, tunakupa kura asilimia 100% bila kupingwa.
Hakuna mwingine anayetetea walalahoi isipokuwa wewe tu huku majuu. Mengine yote mitoto ya MIFISADI inapiga party tu.
Wabeba boxi na waosha vinywa tumepata sauti yetu. Dr Shayo na wewe pia ukitaka kura njoo ugombee tumekukubali!
Yes we can !!!!!!!!!!!!
(Muosha Vinywa Wichita Kansas)
Mashaka, nina sista watatu hakuna meni, mbona usiwe shemeji?
ReplyDeletenaona humu wanakufagilia kishenzi baba. kazi kwako sasa. ila bomba sana shemeji yangu mambo yako imetulia. Hacha kubeba boxi kwa mjomba njoo homu utupige wadogo zako tafu !
Mimi ndie anonymous wa tarehe 9/11 3.58, sasa naitwa Mzawa!
ReplyDeleteNapenda nikubaliane na wachache kwamba Mashaka anatajwa sana kwenye hii mada kwa kuwa hakuna data wala substance kwenye article yake kwa Tanzania.
Kama angeandika kwa data na akafanya juhudi kidogo tu ya kutembelea tovuti ya BOT then akajenga hoja kwa data then watu tusingehangaika nae bali tungejibu hoja. Hivyo kwa kuwa hamna hoja ya kujibu sisi imebidi tumjibu yeye kama changamoto ili afanye homework yake vizuri.
Mwingine niliyemgusia ni Dr Shayo kwa kuwa nae anaandikaga maneno tu bila data na bila reference ya hali halisi ya Tanzania.
Kwa mfano katika hoja yake juu ya tamko la Gavana alishauri eti nanukuu....."he should advise Tanzania Companies to balance their portifolios...."
Sasa mimi nikajiuliza huyu bwana ameona kampuni gani ambayo portifolio yake haijabalance?? na hizo portifolio ni za nini. Sababu ni rahisi kutamka masentensi makubwa makubwa lakini usipoweza kuyaoanisha basi inakuwa ni hewa.
Hivyo ushauri wangu kwa wanaomshabikia Mashaka na Dr Shayo basi waainishe yale waliyoongea.
Hapa hakuna mapenzi ya sura wala majina bali ni hoja yenye msingi na ushahidi kama huna wewe kaa kimya hatutaki viingereza vingi.
Hata kama lugha ni mbovu cha msingi ni ... Is there any substance??? kama ipo tutaiona.
Kuna mtu kasema ni essay lakini hata essay inabidi iwe substantiated!!
Kwa mfano nikisema bwana Mtungi ni mchawi, inabidi sio tu niwezekuthibitisha kuwa ni mchawi ila niweze pia kuainisha nini maana ya uchawi huo ili ninaowaambia waweze kunielewa la sivyo mimi ndio nitaonekana mtambo!! Pengine ni mchawi wa soka wao wakaelewa anaua. Na kuua inaweza kuwa kuua kisiasa, kuaribu jina au kuondoa uhai(Kutoa roho, n.k.
Sema kweli daima, Porojo iwe mwiko.
Mzawa
Mashaka , I have rest my case today - of blaming you, as you have now shifted to the center and somehow addressed this issue with a logic centered oriented closing. I also applaud your cry for the need to many of us who were in the center to come with the ideas and solutions zeroing this finacial crisis with regard to TZ case study.
ReplyDeleteToday, I will stand with you and help my fellow Tanzanian in brainstorming, as the request that was pictured in your article.So as to find some real and quantitified solutions, with the regards to this global financial crisis.
Earlier on my writings I blamed you on siding with Prof Ndullu, and taking it to simple his political words while spreading the tactics used by him of not telling us openly what we will face as a nation on this said global financial crisis. I cited my doubts on your understandings(which I went to far of not believing you) of what realy will be our own problems. And if we (or prof Benno Ndullu )really did come with any solutions ready as a nation to sail on this economic clobal crisis turbulent waters.
I also, cited the case of China ( which I saw you ,this time addressing too) and as of today we have seen that it has injected $580 billion as a stimulus package to stimulate/revamp its economy.
I believe you now - and will rest my doubts and aknowledge that you and me as well as many of us who have been working with financial institutions abroad, do understand that its our time now to come together regardless of our ideas and provide some constructive solutions. Solutions which are not sugar coted but ones which will help stimulate our economy.
To be honest, I don’t think there is anything new from Mr. Mashaka’s lines. In fact, what he wrote is ‘too general’ under prevailing circumstance. I just wonder where all these praises came from! I think some people jump in the band wagon and here we go!
ReplyDeleteSomething I have noticed here is that many people who claimed ‘Mr. Mashaka is genius [genius?! what genius?!]’, they don’t open their eyes and ears with press and economics literatures! They simply don’t know what is going on in the world at the moment. Of course, our culture [Tanzania] is the one to blame, we like ‘spoon –feeding’! Don't we?! ‘Or may be Mashaka knows better than anyone.’
From many economics literatures, they clearly underpin 'cutting costs' [‘tightening seat belts’; if you like] as one of the ways to reduce the impact of recession. I wonder if this is something to ‘praise’ Mr. Mashaka? In academic writings, you are not going to be praised for coping someone’s material(s)/idea(s) as your own without acknowledging the author and that’s why you have to reference them to show that isn’t your work! So why people are praising him for something which is not his?!!
This is just an example, but I believe many of Mr. Mashaka’s so called points are not his points but are simply ‘general panaceas’ to this credit crunch which many economists and political leaders put forward. Again, something he [Mr. Mashaka] forgets is; ‘not always so called [global] solutions for this economic crisis are going to do trick everywhere;i.e ‘one size fits all’ solution doesn’t exist!! And for that matter what is implemented in Wall Street [US] wouldn't solve City Street [UK] or Samora Street [Dar] challenges. These three countries have different economic environments to each other so they need different solutions; which unfortunately he [Mashaka] didn’t specifically give us!
Other thing, which has nothing to do with ‘credit crisis story’ but just a wise word to Mr. Mashaka is, ‘you don’t need to put “The Writer is a US Based Investment Banker & Social Activist of Tanzania Origin” when you write to your fellow countrymen/women, I mean us. May be, it could be sensible and meaningful to use all these ‘credentials’ when you write to people who don’t know you. You don’t need to write to us ‘of Tanzania Origin’ while we know where are you from [Magu] and we are all ‘of Tanzania origin’ in this blog [‘blog ya jamii’]. Unless you want to show us how egoistic you are! I have heard lots of people saying, you are ‘down to earth’ character but on this, you need a change!
Let's discuss Tanzanian solutions with Tanzanian perspectives!
Iwbe.
Bado nasubiria majibu yangu kuhusu factor nilizo weka hapo... Mh. Mashaka, nataka ufanye more studies kuhusu hizo factor ulizo anika hapo juu.
ReplyDeleteKukuonyesha kwamba Western Financial system haijatushika sisi tazama swala hili. During this financial metldown you will agree that commodities price has soared big time. Price ya dhahabu imepanda for more than 30% ukilinganisha na summer mwaka jana; however, Tanzania haijafaidika hata chembe. Bado serikali ya Tanzania inapokea the same revenue iliyokuwa ikipokea mwaka mmoja uliopita.
Kwa hapa US nakubaliana na wewe kuhusu watanzania kufunga mkanda. Lakini no one should worry kuhusu kupoteza saving yake sababu ni less than 1% ya watanzania wenye more than 250,000USD kwenye banks.
Mchumi wa Texas
Nadhani nakubaliana kwa asilimia kubwa na waandishi watatu wa hapo juu. Muandishi wa hii article amebase sana kwenye emmotion na sio substance.
ReplyDeleteWanao fahamu mifumo ya fedha kati ya Tanzania na western countries watakubali kabisa kwamba hii Tsunami ya recession sisi haito tugusa. Tanzania tupo kwenye recession tangu 1961 and that is a fact.
China and many other emerging market countries lazima ziwe na wasi wasi, kwani simba mwenye killo 1000 yupo ndani ya nyumba.
Nangoja majibu ya factor za hapoo juu....
Mchumi wa Texas
Yaani hata ukuweka comment moja y kumtukana mashaka (kwetu sis wenye majungu) Kaka mithupu anakurushia credit ya VODA elfu tano.
ReplyDeleteUkimsifia, unacheza na Elfu ishirini. Lakini kusema kweli na kajungu yangu yote, mwaka huu umenizima, hii article babu kubwa tuseme tu ukweli. Matumbo yasituume kwa akili za mtu. nimekubali
Haya Mithupu, Credit yangu ya Tsh 20,000. nimeshammsifia mashaka
kaka yetu maarufu.... kama mwanaharakati. mwanaharakati kweli
ReplyDeletemwanaharakati noo basi uwafukuze askari city wanaotunyanyasa hapa kariakoo. wakupige fimbo mara mbili mara tatu ndo tutajua kweli wewe ni mwanaharakati
Karibu sana kaka maarufu a.k.a mwanaharakati
Walahi haki ya mama, huyu mtoto anachaji. Hivi kwa nini msimmpe hata kazi ya kusimamia idara ya fedha manispaa ya Ilala?
ReplyDeletenamkumbuka jamaa toka safari yetu ya morogoro ya "tuwajali wenzetu" 2008. kusema kweli, roho ya huyu jamaa ni ya aina yake.Kwa wale wasiomjua, jamaa ukimuona sidhani unaweza kusema chochote kibovu kumhusu kama siyo wivu. ni kijana mataratibu mno na mwenye hekima katika maongezi yake
ReplyDeletehakumbagua mtu kwa kuwa ni msomi, hakuwa na maringo kwa kuwa ana hela. ni mnyenyekevu sana na mtu mwenye huruma mno. he is down to earth, lakini sikujua kwamba ana nafasi nzuri tu huko nje. mimi nilidhania ni kabeba boxi ambaye ametokea katika familia yenye uwezo. Saafi kijana
There is doubt, this young man is a sensation. I dont see any reason why he should get 73 comments and 16,000 video watchers. or maybe we are the one who have made him a big name, we have to be careful. when you are jelous of someone too much, you make him get more attention that he deserves.
ReplyDeletenaona kuna upinzani kidogo, lakini ukisoma article nzima, hizi upinzan ni irrelevant kwa maana hakuna hata kimoja mashaka allichokizungumzia kwa hiyo ingawa nina upinzani kwenye roho yangu kutokana na mafanikio yako, nakupa asilimia 95% kwenye article yako. nadhani hiyo ni passing grade yenye A
Akrrrrrrrrrr. mr. you have been advised to use your celebrity status to sell salama condoms
Mr. Obama Jr.
ReplyDeleteYes, we can.
KEEP UP THE GOOD WORK. WE NEED TO BE INFORMED, AND HOPE SOMEONE SOMEWHERE WITHIN OUR COUNTRY HAS LEARNT SOMETHING
Fanuel Kasege
Jamaa unayejiita "Mchumi wa Texas", endelea kusoma vitabu vyako vya uchumi na malizia degree yako ya kwanza, hapo Texas.
ReplyDeleteMaana unaonekana unapoteza muda mwingi kunywa bia moja au mbili then unasoma comment ya Mashaka na kujibu ujinga wako. Soma article zote nne halafu ona amesema nini na amefunga kwa tamko gani sasa hivi.
Ameomba kila mtu msomi na asiye msomi aje na mawazo anayofikiri yatakuwa sahihi katika kusaidia hili tatizo. Sasa wewe mlevi mchumi wa Texas unatafuta yeye akupe majibu, yeye Mashaka ni mchangiaji tu kama wewe na mimi.
Sasa nakuomba wewe Mchumi wa Texas utoe sababu nne ambazo zitasaidia TZ kuondokana na hili janga, pia utueleze sababu nne ambazo TZ imezipata(facts) kutokana na hili tatizo. Then ukujibu yote hayo umuandikie Michuzi katika mail yake straight na sisi tutachangia "straight talk".
Kama huna point basi endelea kunywa Budweiser zako zingine mbili halafu kapumzike, kesho uwahi kazini halafu darasani ukamalizie degree yako ya biashara.
Anony: November 11, 2008 10:02 PM nakubaliana na wewe 100%
ReplyDeleteJamaa Mchumi kutoka Texas kusema kweli amechanganyikiwa kwanza hakijui anachokizungumzia. kwa hiyo kubishana naye tutaonekana wajinga
Pili kwa yeyote aliyesoma articles za mashaka, sidhani kuna hata mmoja anayeweza kubishia umahiri wake au uwezo wake katika kutafakari, kujenga hoja na kujielezea.
Ameandika jumla ya articles nne. ameleta tatizo, akajadili na kutoa mifano kadhaa na hitimisho lake ndiyo hiyo hapo juu.
Nimeshindwa ni nini hasa kinachoendelea, wengine wababaishaji wanaojiita wasomi wa kuchambua mambo, kwa bahati mbaya au nzuri wameingia katika jamii forum (makao makuu ya umbea na usengenyaji) kuanza kujifanya kukosoa article ya mashaka .
Cha kusikitisha ni kwamba, wao walianza na gia ya kukosoa lugha yake badala ya kukosoa "contents" wakaanza na miwani yake ilhali lugha yake ni bomba kinoma. Mbona humu hakuna mkosoaji? Mnachokifanya ni kumjenga huyu kijana na kumzidishia umaarufu
Nadhani hawa walevi wanatishwa na kasi za hawa jamaa (Shayo na Mashaka) kwa sababu wengine wamemfananisha na Obama, kwa hiyo huo ufananisho umewafanya wengine ambao wameota mvi wa kutu kuanza kujitafakari walivyochezea maisha yao na karibia mwisho wa maisha yao bila ya mafanikio yoyote maishani isipokuwa Umbea na Safari Larger kila jioni.
Ikiwa una swala au hoja ni vyema utumie hoja zinazoeleweka kuzima hoja za mtu. Siyo kujifanya gwiji na kuanza mambo na wivu za kike kuanza kumjadili mtu.
Wenzangu wana Jamii forum pamoja na limbukeni lao "Pundit" wakaanza sijui mashaka kavaa miwani, sijui, sijui kavaa kofia, sijui self proclaimed crap kibao. Lakini wakashindwa kuchambua mambo muhimu aliyoyazungumzia katika articles zake zote nne.
Kwa kifupi ni kwamba, hawa watu hawana upeo huo. Mwenye upeo, anachukua muda wake, anajenga hoja kisha anatupa nafasi wana jamii kuchambua. Kadhalika anaweka jina lake bayana jinsi Dr. Shayo na john Mashaka walivyofanya.
ukitoa pointi tunakusapoti, ukikoroga tunakupaka vile vile. Baadhi ya waliotoa negative comments humu, wamezungumzia mambo ambayo hata mimi nisiyekuwa mtaalam nitayaita irrelentant and out of scope!
Fala fulani (WP KUJA) lilipoandika matapishi wiki iliyopita alitemwa chapuchapu,na hakurudia tena. Mashaka ameandika, kaandika na tazama leo, inaonekana wengi wamemkubali.
Kwa hiyo wanajamii forum ambao hawana cha kufanya kazi ni wivu za kike, inabidi wajifunze kwamba ujenzi wa taifa ni kuwapa sapoti vijana wenzetu hasa wadogo wanaoonyesha uzalendo na pia tayari kuchangia kwenye ujenzi wa taifa lao. hasa nikimaanisha Dr. Shayo na mashaka.
Wivu za kike, zikiongozwa na ulevi wa mataputapu, na kuongea matapishi siyo suluhisho ya matatizo ya taifa letu.
Nadhani nyie kuchukizwa na mafanikio yake ndio chimbuko kubwa ya umaarufu wake na kukubalika kwake na umma wa kitanzania. Na kusema kweli, nyie ndio mnaomjenga kuwa Obama wa Tanzania
Jenga hoja kisha iweke bayana na jina lako, baadae tutalijadili. Mimi nimeshindwa ku chambua article yake kwa sababu sina uwezo huo na pili mimi siyo mtaalamu lakini ukweli unabaki kwamba alichokielezea nimekipata na nitakishugulikia. Nitaacha matumizi yasiyo ya lazima !
Elia Lubeyda, Stockholm
ni kweli tumejaa majungu ya kufa mtu hata pale inapoonekana mwenzetu anajitahidi kusaidia. hawa wenye majungu kwanza hawana lolote la kuchangia. nadhani ili swala tungelizungumzia wote. mchumi wa texas amechemka. kavuta fegi kubwa huyo
ReplyDeleteOyaa, usisikilize haya mijitu michovu, hayana sera yanababaisha tu. unafanya kazi nzuri sana ya kuielemisha na kusaidia jamii. wao wamefanya nini. ukiwa genius hiyo ni mibaraka yako, kwa hiyo waishie au wakajinyonge
ReplyDeletebila unafiki kwa wale ambao wameishi marekani. Wengi wetu hata walioenda shule hawawezi au wachache sana wanapata nafasi kufanya kazi sehemu nyeti hapa marekani, Hasa katika inestment banks. Hizi kazi ni za wazingu kwa hiyo yyte anayepata nafasi kuingia lazima wanakubalika sana. Kwa maana hiyo namanisha kwanba mashaka lazima ana uwezo Mkubwa sana. Kwa wasio jua huu ukweli, inabidi mfahamu hii
ReplyDeleteNaona kinachoendelea ni personal attack za idea zangu. Nimeweka bayana kwa nini naamini Tanzania tuko immune na hii Financial Meltdown. Nimechangua kuanzia kwa nini Tanzania iko mbali na slap ya mikopo ya nyumba mpaka kwanini hii masive layoff inayoendelea haitaigusa Tanzania.
ReplyDeleteNimeanza kwa kuangalia DSE (Dar Stock Exchange). Nikaelezea ya kwamba DSE iko solid, yaani hakuna volatility. Nikaelezea kwa nini haina correlation na majority of other index. Nimeweka bayana kwamba majority ya Investor wa Western country ndio walio wekeza kwenye Emerging Market(China, India, UAE) vile vile hao investor ndio waliowekeza kwenye main index duniani kama NYSE, NIkkei LSE na n.k. Nikasema kwa nini tunaona big volatility kwenye hizi index, kwanza kabisa fund kubwa zina move overnight kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine. Hapa kuna factor nyingi sana zinazo weza kutumika katika swala zima la either kuhold asset au kuuza which is the main source of volatility. Na katika fund zote hizi zinazo move hakuna hata mmoja inayochannel kwenye soko letu la Tanzania. Hivyo basi hii BEAR MARKET inayoendelea hukuu western na far east haituhusu sisi.
Nikaelezea kwa nini world recession haiwezi kutuathiri. Nikasema Tanzania economy kwenye swala zima la export ilibidi ipate high return muda huu. Nikasema about 40% ya Tanzania export ni dhahabu, nikakwambia kwamba sababu ya fear kwenye market then commodities kama dhahabu au kahawa na nyinginezo bei yake impenda mara dufu from (2.5-30%). Lakini kutokana na Tanzania kuwa mbali na mfumo mzima wa kufaidika then kupanda kwa bei ya dhahabu kwenye soko la dunia hakujatunufaishi watanzania. Unaweza kuangalia revenue http://www.bot-tz.org/Publications/MonthlyEconomicReviews/MER_Aug_2008.pdf
Sasa wengi wenu mkaleta jazaba, nikasema kutokana na data za BANK KUU kwenye kijalada chao cha mwezi wa 8, tourism service ilishuka kwa 9%, ukilinganisha na mwezi July, lakini kwa msomi yoyote unatazama trend nzima, jeee mwezi kabla ya huu ilishuka au kupanda? Nikaona kwamba ilikuwa approx the same. Jee end of the year kwenye swala zima la utalii tutakuwa tumepunguza revenue, nikaona noo tutakuwa tuna about 2-15% gain.
Sasa hii ni final argument yangu. World recession haiwezi kutuumiza vichwa watanzania. Sababu ya kwanza,
Tanzania ipo kwenye recession kwa miaka mingi tuu, with inflation of 20.%. Pili uchumi wetu unakuwa kwenye vitabu lakini watu wa chini hawajawai kuuona tofauti yake. Utaona kwenye vitabu vya BoT kwamba uchumi unakuwa kwa 7%, lakini wanakijiji wa Mkata au Chamazi bado wanataabika na bei ya vyakula inayo shoot kwenye roof.Au nauli zinazo panda kwa 100% every few years.
What can be done? Kuiondoa Tanzania kwenye hii mes ya miaka 40
Hatuwezi kuchukua action wanazochukua Marekani au EU then kuimpliment kwenye nchi yetu.We can't pumb $600 Million au kutua stimullus check kwa wananchi. Huo utakuwa wenda wazimu, sababu system zetu hazifanani. So, ninaandaa kijalinda cha kusema nini kifanyike ili kuiondoa Tanzania kwenye hili ditch, kisha nitaweka hapa. Lakini kwanza kwa kuanzia haya machache yanaweza kufanyika with in certain period of time.
Kwanza serikali ya JK lazima iangalie ustarabu mzima wa kupunguza government spending kwenye mambo yasio na kichwa wa miguu.
Pili, serikali ya JK inabidi izibe loop hole zilizopo kwenye taxation system. Moja wapo ni kuangalia mfumo mzima wa kuyapa makampuni makubwa loyal time. Vile vile serikali ya JK inabidi ipate Auditors walio bobea kwenye mfumo mzima wa accounting katika madini.
Serikali ya JK iandae stimulus plan kwa small business zilizoanzishwa na wazawa, hii ni pamoja na kuwapa tax relief wafanya biashara wadogo wanao toa ajira.
Kodi kwa wafanyakazi lazima itazamwe upya sababu inapunguza mfumo mzima wa spending. Mfano, kodi ya waajiriwa Tanzania ni karibu 30% hii inasababisha wafanyabiasha wa dogodogo kutafuta mbinu mbadala ya kukimbia hii kodi kwa kuajili watu kichini chini matokeo yake serikali inakosa revunue.
Mwisho, serikali ya JK inabidi ianze kufikiria ni njia gani mbadala zitatumika kubalance budget yetu by 2025 kwa kutumia our own revenue. Mwalim aslisema "shona suti kutokana na ukubwa wa kitambaa". Over spending inatokana na kwamba tunaamini sana tutapata misaada.
Hizo ni idea chache ambazo nimeweka hapo. However, niko katika hatua za mwisho za kuandaa kijalida ambacho nitakiweka hapa kwa michuzi kuelezea kwa nini hii recession sisi haituhusu kwani TANZANIA IPO KWENYE RECESSION TANGU 1961.
I have nothing personal against JOHN Mashaka, Lakini i don't agree na idea zake. Same kama Prof. Shayo, kwani naamini approch yake haiwezi kuiondoa Tanzania kwenye ditch. However, i respect hawa wote wawili kwani idea zao ndio zinazoleta changamoto kwenye mfumo mzima.
Nataka kwa wale walio na Time nenda katafute data za 1987 when S&L collapse, kisha collapse of Japan Economy, kisha collapse of Thailand Baht, then compare na Tanzania kama tuliadhirika hata chembe. Then Decide on your own. Usilete hadithi za kutoka kwenye Wall Street Journal au The Economist.
Mdau wa Texas,
independent Economics, Mchangiaji kwenye Dallas Morning Business section.
Kwa wale mlio kuwa mkitaka substance, nimeweka bayana case yangu.
ReplyDeleteKama una bisha zaidi ill be more than happy kwenda na wewe hoja kwa hoja.
Mchumi wa Texas
Independent Economist, Mchangiaji Kwenye Dallas Morning Business section
Athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa Tanzania.Ninaupongeza ushauri wa Mashaka na Dr.Shayo
ReplyDeleteNachangia mjadala huu ktk lugha rahisi, ili watazania wengi waweze kunielewa. hali hii ikiikumba Tanzania, yafuatayo yatatokea:
1.Ni kweli uchumi wa dunia umeyumba, kwa hapa Tanzania wataoathirika sana ni wananchi ktk sekta binafsi, waliojiari au kuajiriwa na makampuni binafsi.
2.Wafanyakazi ktk mashirika ya kimataifa kama UN,EU,Balozi mbalimbali na baadhi ya makampuni wataheshimika. Hawa jamaa wana uhakika na mishahara yao, na ipo pale pale siku zote.
3.Wamiliki wa makampuni baadhi yao ambao ni matapeli watakwepa kulipa kodi kwa kisingizio uchumi umeyumba.
4.Hela zitaadimika, hivyo kuwafanya wafanyakazi maofisini kupiga dili nyingi za uwizi ktk kukabiliana na hali ngumu ya maisha.
5.Kasi ya maambukizi ya ukimwi itaongezeka
6.Wagonjwa wengi watakufa kwa kukosa hela za matibabu.
7.Chuki za wananchi zitazidi sana dhidi ya viongozi wanaokula raha waliopo first class walio nufaika ama wanauendeleza ufisadi.
8.Ujambazi na uhalifu utaongezeka
9.Rushwa itaongezeka
10. Wafanyakazi wa kima cha chini na wa serikali hasa sehemu zisizo na marupurupu na dili za ulaji watakosa hamu ya kazi.
11. Ajira zitapungua hivyo wivu na mambo ya kichawi chawi yataongezeka.nk
SULUHISHO:
Hii ni mitazamo yangu, kwa hali itakavyokuwa, Kama kuna mwenye mchango wowote au hoja zitakazotusaidia au kutuokoa hapa bongo aziwakilishe, sio mambo ya kulumbana, ambayo hayajengi na wala hayatatui tatizo:
Mdau
Nimeamini kweli kama jamaa wanavyosema huyo mchumi wa Texas ndo mlevi kweli.
ReplyDeleteAlichokiandika hapo juu kweli ndo pumba za baa,watu wakishalewa kujifanya wanajua uchumi. Haaaahaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaa hakuna hata cha maana.
Maneno mengi kuuliza Mashaka hajasema hiki mara kile, yeye amesema eti ataleta kijarida baadaye. Sasa ku-mbishia Mashaka kote, hicho kijarida chako ulikuwa hujaakiandika tu. Pole sana kweli wewe mlevi sana wa budweiser.
Ulichoandika ni mambo ya mtu aliyesoma ECA bongo. Eti uchumi tu-budget, thubutu? Africa yote ni nchi saba tu ndo zinazweza kuweka budget yake sawa isiyo tegemezi bila kumtegemea mhisani kabisa kwa asilimia 100. Nchi zingine 10 zinaweza pia kufanya hivyo kama hawaitaji miradi ya maendeleo, kwa maana ya kwamba watajiendesha kulipa mishara, mafuta, magari,chakula kwa wanachi na gharama zinginezo rahisi. Hapo ni kwamba miradi ya maendeleo hakuna kabisa kama kujenga Shule, chuo, vyuo vikuu , hospitali,wizra vipya, barabara mpya, kiwanda kipya, kuajiri kupya, kununua magari mapya, mitambo, madawa,fedha kuchapisha mpya, mabenki, kila kitu kipya cha maendeleo ya kupitia kwa serikali hakuna kabisa..
Nchi zilizobaki takribani 40 zote katika africa na Tanzania ikiwemo yaani zote hizo 40 zinategemea wahisani kwa ku-run budget zao zote za maendeleo na matumizi ya kawaida. Maana TZ inaweza 40% ya budget yake na 60 inategemea wahisani kuihudumia.
Mara eti tax loyale kwa firms kubwa ,ushuzi mtupu,wameshatoa TZ kwa makampuni makubwa yote na bado hatuoni mafanikio wewe unataka wazidi kuwapa tu. Kwanza makampuni makubwa local ni ya viwanda vya nguo, chai na mbao. Pia makampuni ya NSSG, PPF na mabenki. Na zaidi ya hapo kama nchi na serkali hatuna tena makampuni yaliyobaki yote ni ya wageni au yanamilikiwa na wageni kwa hisa zaidi ya asilimia 50.
Mara eti kodi (Stimulus package)kwa wafanyabiashara wadogo wapi hao TZ? wa kuuza njugu na karanga, chapati na mayai, nguo na vibatari au wepi hao unaowasema wewe. Maduka ya wahindi au wenye Gesti na baa na madalaladala na teksi au mahoteli ya kula chakula jioni na mama ntirie usiku au wafanyabiashara gani hao wadogo wadogo unaosema wewe. Tanzania hakuna watu wenye viwanda vidogo wa kuwapa mitaji ya kufanya wapate tax ndogo.
mara ushuzi mwingine eti kodi , loopholes zifungwe. sasa loopholes gani hizo ambazo wewe unaona zifungwe wakati huna hata dafatri kamili la walipa kodi, Kodi Tz inakusanywa kwa asilimia 80 sasa kupita hapo nyuma. hivyo kiasi tunachokusanya sasa ndicho kinacholingana na vyanzo tulivyonavyo sisi. zaidi ya hapo utatoza kodi ambazo hata nchi nyingine huwa hazitozi kwa kuzingatia kwamba huna mishahara wala viwanda vya kutoza kodi.
kazi unavizia nani umdai nini na na nani alipe nini. Maana hakuna cha kupata pale kwa sayansi ya kodi, bali fikra tu za nani ameleta nini au kuingiza nini na nani anauza nini au anazalisha nini.
hujui umeme au maji kama huwa yanakatika na hivyo mzalishaji anatakiwa miezi mingine alipe kodi ndogo,au asilipe kabisa pia hujui atauzaje bidha zake alizoleta hivyo kupata faida gani ili akupe kodi kamili. Hakina register link ya muuzaji, mletaji na mpokeaji katika kodi za TZ. na hiyo TZ , tu nchi Afrika ziko hivyo kwa kuwa hakuna mfumo kamili wa uwazi katika suala zima la ukusanyaji kodi.
Wewe naona umeona kodi za halmashauri za wilaya na kodi za kichwa ambazo watu hukimbia kulipa na kusema eti ndio mianya ,hizo hazina uhusiano kabisa na kodi za serikali kuu au za mamalaka ya TRA.
Pia kwa ujinga wako hayo uliyosema ya kupunguza kodi, katika vyanzo vyote serikali itapata wapi fedha sasa za kujiendesha.
maneno mengi kumbe ujinga wa bia ulizokunywa usiokuwa na maana.
Halafu , mwisho yote uliyosema hayana maana, maana mambo ya kodi unayozungumza hayana uhusiano mkubwa vile kwa sana na global financial crisis. Hayo ni matatizo ya ndani ya nchi katika kuangalia vyanzo vyake vya fedha. Mambo ya DSE , kila mara unaandika , pia hayana maana sana , maana hayo ni mambo ya ndani ya fedha za nchi ili zibaki katika mzunguko, maana watu wengi hawataki kuweka fedha nyingi katika mabenki hivyo kuhodhi fedha kila mara na njia nyepesi ya kuwafanya watoe hizo fedha walizoficha ni kuwauzia hisa. wakinunua hisa watu hufikiri hakuna atakayejua fedha zao. Hivyo kufanya mabenki hasa BOT isiwe na kazi ya kuchapisha fedha kila mara , maana zinarudi kwao watu wakishanunua hisa na sio kuzificha chini ya mvungu.Ndo maana DSE yetu haina kiunganishi na NYSE.
Kusema eti Tanzania haitaadhirika ni ujinga mkubwa tena wa kilevi kabisa hasa wa bia za Budweiser zisizo na alcohol content kubwa. Tanzania ingekuwa haitumii fedha , nikiwa na maana local au USD basi isingeathirika. Kama ingekuwa inatumia chumvi katika kulipa watu mishahara na ingekuwa inatumia mafuta ya nazi kukimbizia magari yake basi sawa. Tunahitaji fedha za kigeni kuendesha mifumo ya fedha pale Tanzani. Mabenki asilimia 90 yaliyopo TZ ni ya kigeni na hayo ndiyo yanaendesha nchi pale TZ, na wala sio benki zako zile za ndani ya nchi unazozijua wewe.
Kusema eti sisi TZ hatuna foreclosure kama US , pia ni ujinga, House foreclosure ya US ni mwanzo wa bubbles tu, wala sio sababu kubwa sana vile. Ndio maana US imeamua kutokuishugulikia katika bail out plan yake. Maana hiyo ni kwamba watu wameshindwa kulipa hizo nyumba na athari ikaonekana mapema. sasa ni kwa nini walishindwa kulipa hizo nyumba ndio jambo la msingi.
Athari kwa hapo US zipo katika kazi, ajira, na mishahara. Kwa maana hiyo makampuni makubwa yameshindwa kujiendesha kwa faida na yamebidi kupunguza wafanyakazi na expenses zisizokuwa na maana. Viwanda vya magari, viwada vya vyuma, viwanda vya ndege, mashirika mengi yanayouhusu sekta hizo yamekwama na ndio vyanzo vya ajira na yakikwama ina maana viwanda vidogo na miji midogo na mkubwa inayotegemea viwanda hivyo pia huathirika tebna sana na tena kabla .
Tutakuja katika kuathirika kwa stocks na fedha za mabenki makubwa na ajira zake pia kuathirika na baadaye tutakuja katika sekta za biashara za nje na ndani na ajira zake kwa US .
hivyo swala ni TZ itadhirika vipi na imepanga Bail out kwa mabenki gani na mashirika gani kabla hatujakwama kuishia fedha za kigeni katika mabenki na mapato kutoka kwa wahisani.
Wewe mchumi a Texas huna cha kuongea kunywa Bud na ulale zaidi.
Hovyo tupu huji kitu , soma halafu kafanye kazi katika mashirika ya fedha ujue zaidi.