mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. jamani hasheem thabeet anaitangaza vilivyo bongo huko ughaibuni. sidhani kama asingekuwa supa staa japo bado yuko chuo angegusa kava ya magazeti mbalimbali makubwa ya mpira wa kikapu. Mungu atupe nini tena....
Bofya hapo chini upate mwandani wake
11/11/hasheem.the.dream/index.html

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Hongera wee unayetoka kwenye magazetu ya ukweli na ya maana sio wale wanaoenda CVS na kuprint ya kwao na kutuma picha humu

    Kweli tumwombee Mungu huyu kijana one day yes

    ReplyDelete
  2. Michuzi angalia hii link, wananukuu globu ya jamii - yenye highest traffic in the land.Michuzi blog siyo mchezo, traditional media zimekosa mwelekeo.

    ReplyDelete
  3. Mimi ni mdau nili comment kuhusu hili gazeti hapo chini. Naomba nifute kauli yangu ya wivu tu.

    ReplyDelete
  4. Kwa kweli Hasheem ni mzalendo halisi, anawaacha wasichana wazuri kama huyu kwenye picha anakuja kufanya urafiki na warembo wa nyumbani lazima tumpongeze kwa hilo. Ninaungana na mwanakijiji alivyosema kwenye shairi lake kwamba kitumbua cha nyumbani ni kitamu.

    ReplyDelete
  5. Globu ya jamii haingopi. Big up wadau.

    ReplyDelete
  6. Thabeet, umefanya bidii kijana..ongeza juhudi, maarifa na umtangulize Mungu. Ndoto zako zitatimia. Unaonyesha njia kwa watoto wa Tanzania na Afrika popote walipo. Nakutakia kila la kheri.

    ReplyDelete
  7. Inaleta raha! Hasheem inabidi bado atengeneze zaidi (low post moves), baada ya hapo package itakuwa imekamilika. Tunakutakia kila la kheri, maana hii inaonyesha kweli "Nyota njema huonekana mapeeeema".
    Babao

    ReplyDelete
  8. such inspiring piece of article. thx for sharing. we need to support this kid thru thick and thin, keep him on his toes for the better.

    Balozi wa Z,kudos kwa kupewa pande.

    Mdau NY.

    ReplyDelete
  9. heeeeeeeeeeeeee yan uyo dada apo ni mrembo?? kwa lipi
    avokomaa km mbeba vyuma dumeeeeee
    duh
    congrats hashimu thabiti kwa hatua zuri,,,keep it up baby

    ReplyDelete
  10. HAYA NYIE WABONGO MNAOSEMA WA ULAYA WABEBA MABOKSI ONGEENI SASA NA MIDOMO YENU MIREEEEEEEEEEFUUUUUUU !! !

    ReplyDelete
  11. HUU NDIO UKWELI, NOT HATING

    Hata kama Hasheem ataenda NBA, Wamarekani walivyo wapumbavu watajua kuwa ametoka Afrika sio Tanzania.

    Ni wamarekani wachache sana wanajua Dikembe Mutombo ametoka nchi gani. Wao hujua Afrika ni moja

    ReplyDelete
  12. Wewe mdau hapo juu huyu dama ambaye unashangaa unapoambiwa huyu dada ni mrefu sijui kama unajua urembo wa marekani ni upi. Angalia hiyo smile, mikono ilivyojengeka vizuri, mrefu, hana manyama uzembe etc. Usishangae sana ndiyo maana US haiwezi kuja kutoa Miss World mtazamo wa urembo ni tofauti kidogo.

    ReplyDelete
  13. We unayesema huyo mdada sio mrembo kisa kakomaa uliambiwa urembo ni kukomaa au kuwa soft?

    ReplyDelete
  14. it's sad that he had to 'americanize' his name. is it neo-colonialism, inferiority complex, or just a coolness factor? why can't we just keep our names in our original spelling? - Naomba mnijibu wadau

    ReplyDelete
  15. Wewe mdau unayetaka jibu ni kwa nini he had to 'americanize' his name. Jibu ni very simple. Obama alibadilisha jina lake toka Baraka kuwa Barack na kwa melezo yake maana ya Barack ni sawa na baraka. Obama ilibidi aikane dini ya baba yake mzazi ndiyo maana sasa hivi ni rais wa Marekani. Kama vile aitoshi alilazimishwa kusema kuwa yuko upande mmoja na wayahudi ingawa moyoni mwake siyo hivi.
    Alinifuraisha sana dada Palin aliposema mlango ukifunguka mbele yako utumie na usisubiri ufungwe. Hivi wachina wanavyobadili majina yao huko Marekani na kujiita William au John ni neo-colonialism? Hayo maneno yanu neo-colonialism, inferiority complex, or a coolness factor mtumie kwenye mitihani tu, in real life kila mtu kivyake.

    ReplyDelete
  16. duh we annoy wa apo juu 4.47 umenifurahisha sana yani huwaga sitoagi comments lkn imebidi nitoe ni kweli kbs watu wanataka walinganishe kila kitu duh vitu vingine mkisoma madarasi uko viacheni uko uko kwenye real life mambo ni tofauti!!

    kila mtu na maisha yake haswaaaa!lazima uwe opportunist bwana!big up

    ReplyDelete
  17. hivi wewe mdau fulani hapo juu ulieanza sentensi yako kwa kudai hasheem ni mzalendo kisa anawatongozeni waswahili wenzie uko timamu lkn kweli wewe?eti ukadai pia kuwa ona kawaacha warembo wazuri kama hao anakuja kwa waswahili wenzie hehehe,dah ama kweli mnawaza ngono tu wabongo,mie umeniboa sio kwavile wamepiga picha tu ndio akimtaka atamchukua kama ww hapo unavyoonyesha akikufata huyo KINGKONG HUMAN BORN hasheem utamkimbia hadi bwanaako,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...