Home
Unlabelled
JK atembelea MOI, apokea vifaa kibao vya upasuaji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
JK hili zengwe la walimu limekaa vibaya mwanangu wiki ijayo. Hebu Mkuu wape chao wanyamaze. Hata ukipunguza zile za EPA zinazorudishwa poa, au unasemaje mtu wangu?
ReplyDeleteMpendwa JK,
ReplyDeleteNakuarifu kuwa nchi yetu hadi sasa haina mashine ya MRI hata hapo kwenye hospitali kuu ya rufaa Muhimbili. Hivi tatizo ni nini? Watu waendelee kuteseka kufuata kipimo hicho Nairobi hadi lini? Je, wale wasio na uwezo si ndio serikali imesha -sign death certificate yao? Jamani, mambo ya afya tuyape kipaumbele kuliko marupurupu na mashangingi ya wabunge! Naamini ujumbe huu utakufikia! We need the MRI machine ASAP! Ni aibu kwa nchi yenye wabunge wanaotembelea ma VX na ma LEXUS!
weill cornell??????????????????????
ReplyDeleteMuhimbili-MOI????VIFAA VYA UTABIBU???
SIAMINI ATA KIDOGO,,,duh awa jamaa siwawezi hahahaaaaaaaaaaaa
wanablogu hii kali ya w.cornell
MRI inapatika Agha Khan Hospital. Japokuwa nakkunga mkono kwamba MNH inahitaji kuwa na hiyo mashine.
ReplyDeleteTanzania kwa misaada hatujambo. hela walizorudisha za epa zingenunua vitu kibao bila masharti. Misaada haiji bure jamani
ReplyDeleteHaya mliokuwa mnakejeli safari za Rais nje ya nchi. Haya ndiyo matunda yenyewe. Acheni hizo aagh!!
ReplyDeletehongera sana muheshimiwa raisi na wote walio fanikisha kupatikana kwa mashine hiyo,polepole ndio mwendo tutafika tu,matatizo yako mengi na serikali makini aiwezi kukurupuka ita yapangua moja baada ya lingine tusiwe na mawazo kama ya simba kocha akija jumatano jumamosi manazi wa simba wanataka icheze kama Arsenal.
ReplyDeleteHongera JK!! kwanza nilipoona lile vazi juu ya mwili wake nikafikiria JK kavamia fani ya watu!!! (dRU)
ReplyDeleteınapatıkana agakhan alokuwa hana uwezo wa kwenda aghakahan afe?
ReplyDeletejk naomba ulıpe kipao mbele hili suala la afya kama alivyosema mdau wa 4:58pm.
MRI ni kifaa muhimu ktk kila hospitali ya rufaa
HİVYO VİFAA VİTATUMİKA WAPİ?MBONA KAMA NMESİKİA HAKUNA BRANCH YA BRAİN SURGERY BONGO?
ReplyDeleteAU NDO İTAANZİSHWA?
Annon mmoja apo juu anasifia safari za JK majuu kwamba ndizo zinaleta hizi mashine za MOI.... Hivi waTZ tutakuwa mbumbumbu mpaka lini? Tujiulize; kwa nchi kama Malaysia, je Rais wao alifanya u-vasco da gama kwa saaaana ndipo nchi yao ikaendelea? Tufungukeni macho waTZ.
ReplyDeletewe michuzi umeibania comment yangu unamuogopa sana jk unaogopa kufungiwa hii blog nini?
ReplyDelete