Mhandisi Omari Nundu (pichani akipokea zawadi toka kwa mwenyekiti wa bodi ya TCAA Mh. Mwantumu Malale baada ya kuteuliwa mara ya kwanza) amechaguliwa kwa mara ya pili kuwa Rais wa Tume ya ufundi ya Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga Duniani.

Mara ya kwanza Mhandisi Nundu alichaguliwa katika nafasi hiyo Desemba mwaka jana, akiwa ni mwafrika wa kwanza kupata nafasi hiyo katika kipindi cha miaka 29 iliyopita.

Kwa kuchaguliwa kwa mara ya pili kwa nafasi hiyo, Mhandisi Nundu anavunja kawaida ya miaka mingi kwamba nafasi hiyo inashikwa kwa kipindi kimoja tu. Mhandisi Nundu pia ni Mkurugunzi wa Uhusiano wa Kimataifa katika Tanzania Civil Aviation Agency (TCAA).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Mwantumu Malale au Dr.Asha-Rose Migiro? naona sasa nahitaji miwani.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana ndugu Nundu..
    Hizo ndo articles zinazopaswa kujadiliwa na wengi..utashangaa wageni wa hii blog wanadakia mambo ya kinyaiya tu ..! Big up ..bendera yetu yanafana!

    ReplyDelete
  3. Huitaji miwani kwaani Bi. Mwantumu Malale ni dada yake Dr. Asha-Rose Migiro.

    ReplyDelete
  4. Congratulation Mr.O.Nundu for being re-elected. It is such an historic event for Tanzania and Africa in general. I am truly proud of you, and thank you for being a positive role model to all of us.



    Mdau- Abittibi.

    ReplyDelete
  5. SAAAAAAAAAFI SANA EE MTANZANIA MWEZETU AYA NDO MAMBO TUNAYOTAKA TUYASIKIE ,,,big up msomi wetu kwa raha zako,,
    afu wewe annon na kinya------ usitichafulie hewa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...