Ndugu wanachama wa jumuiya ya watanzania waishio japan.
kutakuwa na mkutano siku ya tar.30 nov siku ya jpili ktk ukumbi wa Odakyu sagamihara kuanzia saa 11 jioni.
Agenda za mkutano huu ni kama ifuatavyo
[1]kutoa taarifa ya maendeleo ya jumuiya tangu uongozi mpya ulipoingia madarakani
[2]kutoa taarifa ya mapato na matumizi
[3] kutoa taarifa za ufutiliaji wa fedha za iliyokuwa umoja wa watanzania waishio japan/tokyo
[4]mengineyo.
Kwa hiyo basi wote mnaombwa kuhudhuria kwa wingi bila kukosa ili kuweza kuijenga jumuiya yetu.
Ktb Mwenezi tanzanite society

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nawaoneeni huruma hamna mtu anaimaindi hio mikutano yenu, leo siku kibao bila ya mtu kukomenti. Watu tuko bizi, hatuna muda wa kupiga story na wachawi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...