msanii francia chengula akitoa burudani kwenye hafla hiyo ya uzinduzi
mwansilishi wa ATWID akitoa zawadi kwa mmoja wadau waliofanikisha shughuli hiyo
Balozi wetu Uingereza Mh. Mwanaidi Sinare Maajar akizindua rasmi Association of Tanzania Women in Diaspora (ATWID) tarehe 01/11/2008, katika ukumbi wa 79 London Road, Reading.
Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akikaribishwa kwenye sherehe na mama Kalinga




Mhe Balozi akikabidhiwa nakala ya risala ya ATWID na Susan Mzee, mwanzilishi wa chama hicho. Kati ni Mwenyekiti wa CCM Tawi la London (UK), Mhe. Maina Owino

wanachama na wageni waalikwa kwenye hafla hiyo
ukumbi ulijaa wageni waalikwa na wanachama


baadhi ya wageni waalikwa
Balozi Maajar akiwa na fulanazzz ya ATWID
baadhi ya wanachama wa ATWID wakila pozi

baadhi ya wanachama wa ATWID kwenye ngoma za asili
Mariam Kilumanga , Mwenyekiti wa Tanzania Women Association (TAWA), akiwa katika Picha ya Pamoja na Wanachama wa ATWID pamoja na Mhe Balozi na Mwenyekiti wa CCM London (UK)
Wanachama wa ATWID pamoja na Dada Francia wakiimba na kucheza pamoja kusherehekea uzinduzi wa ATWID

























Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hivi kumbe watu bado wanakumbatia CCM eh...! Huyo mh. sana msimtambulishe kwa cheo cha chama kwani ATWID ni moja ya jumuiya za sisiM wao...? maana pengine hajitambui kuwa anapakwa matope mbele ya wapenda maendeleo. Au mh. umeomba pengine au ndiye mwenyewe umepost photos hizi, kuwa tutakutambuaje?
    Nakusihi usome alama za nyakati hasa katika kipindi hiki cha mageuzi makubwa!! Ukizingatia kuna operation Sangara huko nyumbani.
    Nanyi diaspora wanawake, nawasifu sana kwa kampeni zenu, japo nanyi mpate kuambulia hizo za EPA. Fungueni Account ya association yenu basi!.
    Pengine niulize nini hatma ya Diaspora kubwa, na mara ya mwisho mmekutana na kuweka mikakati kibao, na kabla hata hatujaanza kuona utekelezaji wa mikakati hiyo mnaibuka na ya wanawake!!! mna agenda gani? OK, aah...ni kama nilivyodokeza hapo juu!.Kitaeleweka tu, ni suala la wakati.
    Ahsanteni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...