
Kijana Muafrika kushoto akitoa maelezo kwa Polisi baada ya kuwakimbiza na kuwanasa na kuwapa kichapo kikali sana vijana wawili wa kimalay ambao walijaribu kumuipora wallet yake ya pesa alipokuwa akitoka ATM maeneo ya Puchong huko Kuala Lumpur Malaysia juzi jumapili 16 Nov 2008.
Kijana huyu mwafrika alikurupushana na vibaka hao ambao walikwisha mpora pochi yake na kudandia pikipiki lakini mwanaume alikimbia na kuwadaka. Ni jambo la kawaida kwa vijana hawa ambao hutumia pikipiku kuwapora watu na kukimbia tabia ambayo Polisi wamesema imekuwa ikiongezeka kila kukicha. Mshkaji huyu aligoma kusema anatokea nchi gani ila alikuwa na lafudhi ya ki nigeria.
Pius wa Spoti na Starehe
Na jamaa alivojazia,wangemtambua kudaadeki..he he he,cheki mkono Nondo!!duh
ReplyDeleteTayari polisi anataka passport ya mshikaji...angekuwa mzungu wala asingemuuliza hata jina!! huku ubaguzi kwa waafrika ni nje nje!!!
ReplyDeleteDu jamaa katoka nduki kuishinda motorbike na ana uchuchungu na uchache wake kesha wabana wamalei wanataka wamuibie tena lol may be wateja wake manake wapopo tena au kwa scam ndo wenye may be 411 kesha fanya hapo hizi malei kama scavenger hahah
ReplyDeletehahaha Jibaba limeshiba sijui Waghasusu huyu limeshiba linauchungu hapo kawatandika vibaya saaana mbona wezi wamewaficha uso? alafu kama police amemkasirikia jamaa kuliko wezi? piga hao mikono laiiiiiiini kama amenawaaaaaaa hahaha kudadadeki. jibaba linapiga chuma zile za cimenti. Oganigweeee upo?
ReplyDeleteNakuaminia mdau PUC aka Papaa Pius tuletee matukio mengi kama hayo kwani unao uzoefu na Malaysia kwa muda mrefu
ReplyDeleteKwa kweli hakuna vibaka kama huko! Wanakuja na pikipiki na ukizubaa wanakwapua kila kitu!
ReplyDeleteVIBAKA SIKUHIZI WANATUMIA VYOMBO VINAVYOELEWEKA BWANA WATU WAKO "HAI-TEKI" HATA HAPA BONGO MADAWA YA KULEVYA/MAJANI/WEZI WA SIMU/MIFUKONI, YANAFANYIWA MAMBO YA "HAI-TECH" NA "UNANDI" HAWAONI NDANI NA NDIO MAANA HAYATAISHA.
ReplyDeleteKwahiyo huko kwa "WACHING-CHANG" Wewe ukiona pikipiki anza....!! Kimbia kama unafukuzwa na simba..Lol..!!
ReplyDeleteKLS-USA
hahahaha,chakubanga kama vp chapa hadi hao mandata wasikuulize wakati umeshazinguliwa wasulubu tu
ReplyDeletewewe anonymous wa November 19, 2008 4:53 PM ulikuwepo hapo? ulijuaje kama polisi alitaka kuona passpoti, wacha uzushi.
ReplyDeleteMIMI NI DENT MALAYSIA! NIMEFURAHI SANA KUPATA HIYO PICHA,KUNA WAHINDI WEUSI HUKU NA VIPIKIPIKI VICHECHE MBAYA, JUZI WAMETUFANYIA, STYLE YAO YA SASA HIVI WANAKURUSHIA MAWE MPK UWAACHIE VYAO HLF HAWANA NGUVU HATA KIDOGO
ReplyDelete