pamoja na wadau wengine hapo juu pana wastaafu kibao. mdau unaweza kututajia unayemkumbuka?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 33 mpaka sasa

  1. Hapo namuona Afande Mahita
    Omar Mahita ni IGP mstaafu
    IGP = Inspector General of Police

    ReplyDelete
  2. Heh, hi picha safi kweli. Nawaona ma,Jenareli Robert Mboma, David Msuguli, Mrisho Sarakikya. IGP Omar Mahita namwona Mzee Mangula. Wengine daaah,siwajui

    ReplyDelete
  3. kaka mi namkumbuka IGP tu Omary Mahita, huyu mwingine sio Generali Mboma? wa pili kushoto?

    ReplyDelete
  4. Nawajuwa takriban wengi tu hapo na wote wanajulikana kwa jina moja maarufu MAFISADI

    ReplyDelete
  5. Hahahahahhhhh My Dad is there...hahah..Thanks Michuzi...

    ReplyDelete
  6. Anonym wa 1.43 PM, kichwa mbovu sana. Any way!! hakuna mzazi anayekwenda msikitini au akapanda madhabahuni akiomba azae taahira. Zote ni karama za mwenyezi mungu, bora ametujaalia basi hatuna budi kumshukuru. Ila upunguwani.

    Hapo katika picha yupo IGP mstaafu Omar Mahita (Baba Omari-sijui kesi ya huyu mwanae imeishia wapi), Katibu mkuu wa zamani wa CCM Filip Mangula na wengine siwajui.

    Mpiga Box

    ReplyDelete
  7. Namuona juu wa 3 kushoto, Professor Shayo. Aliwahi kuwa muhadhiri UDSM. Na pia aliwahi kuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini (Serious Democracy).

    ReplyDelete
  8. Hapo namuona Babu yangu Mirisho Sarakikya, Mzee Peter Kisumo,Omar Mahita na wengine
    Mdau Moshi.
    Papaa Stan (mirisho)

    ReplyDelete
  9. SASA SUBIRI NIKUPE LIST
    ANAYEZUNGUMZA NA MAHITA NI MTOTO WA MAREHEMU BOMANI ANAITWA SMURT BOMANI(NDIO YULE ALIOA POMBE YOTE YA SHEREHEIKATOKA ULAYA)
    CHINI KULIA MWENYE NGUO ZA JESHI NYEUPE NI MKUU WA WILAYA YA KINONDONI KWA SASA FABIEN MASSAWE,
    KUTOKA KULIA KWENDA KUSHOTO MSTARI WA PILI TOKEA JUU NI DAVID MUSUGURI,MBOMA,BUKUKU. NIMEISHIA HAPO KAMA UTATAKA NITAENDELEA UKINIOMBA

    ReplyDelete
  10. Nimeweza kuwatambua wengi:

    Juu mweupe Prof: Shao, Mangula, General Marwa, Mahita, Peter Kisumo, Mwanguku ( Commissioner wa Magereza Mstaafu) na chini yao mzee masifa Richard Kasesera

    ReplyDelete
  11. Hivi hawa nao ipo siku wataandamana kudai mafao yao?

    Kau Moses

    ReplyDelete
  12. Alhaji IGP Omari Mahita tu

    ReplyDelete
  13. Ohhh sasa na wewe mkuu wa wilaya, yaani hao wastaafu si kila mtu anawafahamu. Uzuri wote baada ya kuifanyia serikali ya TZ wana jina moja, MAFISADI.
    Kuna watu wasiopenda hilo jina mtanisamehe, hata ndugu zangu wanaofanyia serikali nawaita mafisadi vilevile. Do I like to say that? NO. I am fed up

    ReplyDelete
  14. namkumbuka IGP Omari Mahita aka
    Baba ashibae asiyeshiba mapenzi.

    ReplyDelete
  15. hahahahaha! Annon 1;43 umnifurahisha sana wewe! Na wewe annon 2:11 una nini!!? Na wewe mmoja wao nini?

    Unaweza ukawa wewe taahira bila kujijua! Unadhani mataahira wanajijua? kama wewe hivi.

    ReplyDelete
  16. Namuona mshkaji wa karibu wa JK Richard Kasesela aka BIBO. Ila yeye si mstaafu, samahani ndo nayemjua pekee

    ReplyDelete
  17. Huyo aliyevaa "white za kijeshi" siyo Masawe aliyekuwa mkuu wa shule ya Jitegemee-Mgulani kweli? naona katulia tuliiii akiwa na wakubwa zake.

    ReplyDelete
  18. mpiga box naona umeji define mwenyewe vizuri sana. pole sana endelea na kupiga box lakini hala hala uwe unapata nafasi kwenda kuwaona wataalamu wa watu wenye taahira kama wewe

    ReplyDelete
  19. ann. wa 1:43pm that was funny eti wanajulikana kama-------lol

    ReplyDelete
  20. Jamani mimi naomba sana mwenzenu mnitajie jina la huyo mzee wa kwanza kulia, mstari wa tatu kutoka mbele.Yaani huyo mzee aliyevaa kofia kama ya Jaramongi Odinga, hiyo sura sio ngeni kabisa lakini jina silikumbuki tena. Sijui ndiye Jeneral Msuguli?Mwingine mie ninayemjua hapo ni Mahita tu.Na mtu wa katikati (wa pili kushoto kwa Mahita) nahisi ni Joseph Butiku huyo.Nao hao akina mama Mbona hamuwataji? Je hawapo kwenye chati au hakuna anayewajua?.Haaaahaaaa!!!
    Mdau Cardiff

    ReplyDelete
  21. Nadhani anayemfuatia IGP Mahita ni IGP wa zamani, Philemon Mgaya. Afande Mboma ni wa pili kutokea kulia, kwenye safu hiyo hiyo, nafikiri yupo katikati ya Gens. Msuguri na Sarakikya.

    ReplyDelete
  22. ngoja nimrushe my fellow mathematician - Prof. Leonard K. Shayo. (mstari wa nyuma - pembeni ya kina mama).

    ReplyDelete
  23. MBONA WENGI WAO NI WASHKAJI WANGU!

    WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO JUU NI WASTARA BALIBALI,SAID SWED SCUD, KIKUPILIKA NKOBA, UBWA MAKAME MZUNGU,KUSHUKA CHINI NI PETER OTIENO BASANGA ALIKUWA BALOZI WA KENYA TANZANIA PIA WAPO MAWAZIRI WA UGANDA KINA GEORGE SEMUGERERE, NA PAUL HASULE.KATIKATI WAPO KINA RASHID MANDANJE,ERIC SAGARA,NA CHARLES MGODO KIJIKO. WA PEMBENI KABISA NI KINA ITUTU KIGI,EPHRAIM KAYETA MBUNGE WA MBEYA NA PIA NAMWONA KIKUPILIKA NKOBA NA MKUU WA MKOA WA TABORA ENZI HIZO CHECHE KAIGIRE MAREHEMU SASA HIVI.PIA NAMWONA MKUU WA MKOA WA TANGA YASIN ABUU NAPILI NA MAYOR GODIAN MAPANGO, HUKO KULIA YUPO MUHIDINI CHEUPE NA GEORGE KULAGWA WAKINONG`ONEZANA NA SUNDAY JUMA PIKIPIKI! DOOH SIKU NYINGI WAMEBADILIKA KWELI LO! KWELI TUMEZEEKA!

    ReplyDelete
  24. hapo namkumbuka mstaafu richard kasesera. ha-hahaa!

    ReplyDelete
  25. Anayeongea na waya hapo ni IGP Mstaafu Mgaya...Mzee Kyato mwisho kushoto mwenye kapelo...na mheshimiwa raisi wa TBF ingawa bado hajaastaafu Bibo

    ReplyDelete
  26. wa pili baada ya Mahita ni Major Jeneral Maneno...anakaa Tegeta

    ReplyDelete
  27. Hapo kuna
    Omar Mahita, Dr.Gama, Mangula, Gen Mboma, Gen Mwita Marwa, Kamishna Mwanguku, na mwingine ni mdau Kasesera

    ReplyDelete
  28. Duh!! Mangula anaonekana kachoka kabisa!yaani kukosa kibarua ameathirika kisaikolojia.JK mkumbuke hata ukuu wa wilaya.Mshiko upo ila kukosa kazi tu ndio kunako mwadhibu!!Ila MAKAMBA anachemsha sana.

    ReplyDelete
  29. hii nchi na uungu-mtu???acha tu yan nikiwaona apo acha tuuu,watu wameshika nchi hii nobody dare to touch them,,,
    ubabe-ubabe
    na ivi ni wajeshi basi ndo kaaaazi kweli

    ReplyDelete
  30. Sijui ni uzee wangu... namuona mzee wa jimbo la Ubungo hapo, Keenja, wa tatu toka kushoto. Kama ni wewe mzee jiandae vizuri mambo yasiwe magumu kama last time. Otherwise ...akina nanihii wanapiga jaramba hawako mbali.

    ReplyDelete
  31. Mstari wa juu kabisa watatu kutoka kushoto ni Freeman Mbowe, anafuatiwa na Prof. Shayo
    Mstari wa pili kutoka juu, kutoka kushoto wa kwanza ni Mahita, wa nne ni mboma, na watano ni Msuguri
    Mstari wa pili kutoka chini wa kwanza kulia ni Mangula

    Waliobaki sina uhakika nao

    (Mswahili mie)

    ReplyDelete
  32. ivi mangula kaoa???
    afu uyo BIBO ndo wapi apoo mtuonyeshe mshkaji wa JK
    teh teh teh

    ReplyDelete
  33. Peter Nalitolela umenikumbusha mbali sana kwa hayo majina.Hao walikua nguli halisi wa soka miaka hiyo.waliujua mpira kweli tatizo hapakua na kina manji wa kutosha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...