Salaam mkuu wa wilaya ya nanihii na balozi wa Zain.
Tunakushukuru kwa kutuhabarisha yanayoendelea huko nyumbani kwetu maana watufanya tusiwe mbali na matukio muhimu ya nchini kwetu.Wanasema MZALENDO HATUPI NCHI YAKE,na kama haitupi nadhani pia na habari zake hazitupi,so tunakushukuru kwa kutupa habari ili kutusaidia kuendeleza uzalendo

Katika upekuzi upekuzi wangu,nikakutana na huyu mnyama anaitwa ZORSE.

Ni mnyama mpya huyu ameanza kutengenezwa huku kwa wenzetu.wataalamu waliamua kumpandikiza pundamilia kwa farasi ali wapate half cast-ndio wakatoka na huyu mnyama.nadhani ukiamuanglia utaweza kumuona kwa jinsi alivyo na mvuto.
Nilivutiwa sana nikona si vibaya kama utaiweka katika blog yetu ya jamii ili wadau huko kwetu na duniani kwa ujumla wakapata kujua yanayoendelea hata kwa wanyama.
Mdau USA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. So gorgeous

    ReplyDelete
  2. haya mambo ya kuclone wasije wakatuclone wengine tujawa nguva kikwelikweli

    Nakumbuka ile movie sijui ilikua inaitwaje chimp...au yule mtu waliyemclone na chimpazee ndio lilikua jina lake...long time but it was a very sad story

    ReplyDelete
  3. aaah,huyu si kama mheshimiwa fulani tu aliembwaga mc cain nae kachanganya kama hivi tu

    ReplyDelete
  4. hii inawezekana kwa sababu punda, pundamilia na farasi wanatoka kwenye order inayojulikana kitaalam kama EQUINE/EQUIDAE na huyu mnyama Anajulikana kitaalam kama MULE madume yanauwezo wa kupanda kama kawaida ila huwa yako strile yaani hayawezi kuzalisha

    Ng'ombe na Nyati ndio ambao huwezi kuwa cross breed kwa sababu ng'ombe ki taalam anatoka kwenye specie BOS TAURUS/INDICUS wakati Nyati ni CYNCERUS CAFFER

    ReplyDelete
  5. PHOTOSHOP!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. uyu ni yule mnyama alipostiwa apa na michu
    ni afkasti bomba sana,,,
    sera za kuclone ndo ziko DEMOCRAT PARTY YA OBAMA,,,WAIT AND SEE VITUKO VITAKAVYOTOKEA SASA,,,kazzzi kwel kweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...