Home
Unlabelled
hill park: kiota kipya cha maraha bagamoyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SASA MBONA HAMJATUWEKEA NA BEI BASI TUKAJUA KAMA TUTAMUDU KUJA AU LA
ReplyDeleteHapa si ndo kwa Bro Mafuru?? lkn kinachoniogopesha ni makaburini...isite tokea soo kama ile ya kinondoni, majambawazi yalijifanya wafu wamefufuka.
ReplyDeleteKaka Mafuru karibu kwenye ujasiliamali.
ndio mtumbwi meza na vigoda minazi, lakini mpangilio je?
ReplyDeleteHata kama makaburini jamani he has made a big step in opening a wonderful place,very gud location n food too,plz chk it out whenever ur in bgmoyo.congrats ephraim aka balozi
ReplyDeleteMie mlalahoi nikitaka kuchukua familia yangu hapo,bei nitaiweza?
ReplyDeleteanasa tu!
kazi nzuri sana!! ongeza ubunifu, kwenye hivyo vigoda vya minazi weka kitako kinachozunguka na kiwe na kajitu kadogo ka kuegemeza mgongo. utaona wateja wanapigana vikumbo!!!!!!
ReplyDeleteKaka Michuzi nina swali. Hivyo vigoda vya minazi haviumizi matako? Ujue wote hatuna sponge.
ReplyDeleteAsante.
Hill park inamilikiwa na mkurugenzi wa masoko wa vodacom tanzania ltd ndugu E.Mafuru.Mafuru ni mjasiriamali pia kwahiyo mnaweza kuona ni namna gani alivyobobea katika upande huu wa pili pia
ReplyDeleteOh ! Wonderful place! Can someone tell what me are the room rates and chakula? I would like to spend my few leave days there when I am in Dar for my leave in the coming few days.Will be flying to Dar on 22 Dec.Let me also know about the location.
ReplyDeleteMupozile
Barrick Gold Tanzania
non. Dec 12, 9:41, Kama unataka ingia google uandike hiyo hotel unayoitaka utapata majibu ya maswala yako yote uliyouliza. Mimi nina cont. za Hotel MELLENNIUM sea Breeze Resort huko huko Bwagamoyo ni:- Tel: 023 2440201/3 fax 023 2440204, web site www.millennium.co.tz. Acomodation fee inategemea na vyumba vyenyewe,na wana offer ya lunch au dinner(mlo mmoja na chai ya asubuhi bure)nilikuwa huko mwezi Ramadhani kwa ajili ya kuwapeleka watoto kujiunga na shule mji huo. tulifurahia sana hasa upishi wao wa ftari tuliyoagiza kuandaliwa ilikuwa safi nno, na sehemu yenyewe pia nzuri iko ufukweni.
ReplyDelete