
Kwa wabongo mliopo huko msikose kuhudhuria onyesho hilo la mwaka ambapo Ras Nas ametayarisha kikosi kikali chenye wanamuziki toka Congo Brazzaville, Ivory Coast na Sweden.
Kwa tahadhari, asiye na mwana itabidi abebe 'fatuma.' Shoo itaanza saa nne na nusu usiku. Kabla ya hapo ma-DJ Roar Lund na Kristin Kjervold watakuwepo kufyeka nyasi ukumbini.
Kwa maelezo zaidi
www.rasnas.kongoi.com (kwa kiinglishi)
Karibu kaka tuko wa tz kukuunga mkono.Hongera sana kwa juhudi zako.Karibu sana.
ReplyDelete