baada ya kuhitimu mafunzo ya kufundisha dansa la kisasa msanii mkongwe sammy cool amefungua darasa la dansa ambapo pamoja na mitindo mingine unapata fursa ya kujifunza kucheza kwa ustadi mitindo ya salsa, cha-cha-cha na hata samba la brazil.
darasa hilo lipo kila jumatatu na jumanne kuanzia saa kumi na moja jioni kwenye jumba la utamaduni la urusi, karibu na hospitali ya aga khan, dar.
Kwa kuanzia Sammy Cool mwezi huu wote anatoa mafunzo hayo bila malipo na anawakaribisha wote ambao wakienda kwenye kumbi za dansi wanaotaka wacheze mitindo hiyo vile inavyotakiwa.
Unaweza kuwasiliana na Sammy Cool kupitia namba +255 763 822 226


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. SHEMEJI
    dah za masiku najua hutanikumbuka bt ntakutafuta kupitia tht mobile uloibandika apo

    kip it up shem langu,wasalimu wanao na mkeo

    ReplyDelete
  2. shukrani bwana Cool kwa kuanzisha darasa la salsa. mimi ni mpenzi wa latino dance. naomba kuuliza je ni aina gani ya viatu tunatakiwa kuja navyo kwa ajili ya mafunzo (mazoezi) ya hiyo dance. kuuliza si ujinga na aulizae ataka kujua.

    ReplyDelete
  3. Na ni shilingi ngapi? Kwa mwezi au kwa darasa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...