inasomeka hapa ndipo padri horner alipopandisha msalaba mnamo mwaka 1868 toka hapa ukristu ulienea bara la afrika mashariki
msalabani ni mojawapo ya maeneo lenye mandhari nzuri sana bagamoyo
ishukuriwe kwamba sehemu ya msalabani pameanza kujengwa ili kupahifadhi



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Sasa hizo gharama za ujenzi analipia nani???manaake hiyo misalaba tena sementi babu kubwa halafu,je hii fitna na chokochoko za kidini zitakwisha lini?ya kizungu si zibaki kule kule kwa wabeba maboksi!!

    ReplyDelete
  2. wee apo juu.....tutalipa sisi....kama dini si yako au wewe ni atheist kaaa kimya usianze mambo ya kitoto

    ReplyDelete
  3. ndo zenu msiokua na dini,unaona uchungu cement hiyo,nyi ndo mnatumalizia ma albino wetu kwa kupeleka vichwa kwa waganga.

    ReplyDelete
  4. Kuuliikoni??? Ayu mambo ya ten mirambo hayoooo??? ah! sisi yetu macho na upande wa sikio.

    ReplyDelete
  5. inajengwa na wakatoliki na wakristo
    sasa nini???
    kazi kukalia udini tuuu,,subiri waganda,wakenya,rwanda,burundi wajiunge ndo mtaelewa hasara za matabaka!!!
    shindwaaa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...