The Vehicle is a 2002 MERCEDES CLK 55AMG (Muscle car), and very well taken care of . Since the owner has an alternative vehicle and also travels alot, he rarely use the car, and has decided to sell it at a throw away price of $22,000 or BEST offer. This is a must see Road Monster, that doesn't compromise comfort and sport

The vehicle is in Excellent condition as you can see in the pictures; it is clean inside out, however, it uses 12 High Powered Spark plugs, which makes her, a Road Intimidator. Thats sounds, like a V12, right, it is not. It is a sport a V8, which is rather very good on GAS unlike other AMG versions, with an Avarage of 31MPG/ Highway and 22MPG/City. Thus, should not be afraid of GAS.

The vehicle is fully DIGITAL from A-Z. (Even oil Dip-stick is digital) It is wired with teleaid and an at&t phone line, which can be transferred to the new buyer based on agreement. It was purchased with security in mind, It has high Voltage Security devise as well as Sonar sound meant to deter any kind of electrical temperment when locked.The sonar sound can also be used to disperse crowds incase sorrounded by rowdy crowds

The vehicle has a night vision camera inside the front grill that can help the driver see in the darkness through the windshield (caddilac type). This vehicle was custom made; meaning there are lot of other additional fuatures that were added prior to delivery to the current owner. The Owner is a Tanzanian, living in the US, and would be glad to get a US based buyer.


NOTE: Will not enteretain jokers, serious buyers only. Questions to

Mercedesclk2003@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 45 mpaka sasa

  1. Maelezo mengi mazuri lakini hujasema gari ina miles ngapi.

    ReplyDelete
  2. http://motors.shop.ebay.com/items/Cars-Trucks___W0QQMake247a0eZMercedesBenz455f39e6QQModel4710b09ZCLKClass74e288cdQQModelYearf0c65f14Z20021774c0QQ_flnZ1QQ_sopZQQ_ssovZ1QQ_trksidZp4506Q2ec0Q2em1QQ_madZ1?_trksid=p4506.c0.m1

    Hizo gari hapo juu zote ni CLK, na ni mwaka 2002. Na ni less milage kuliko yako na zinauzwa less than dolla 15,000. So plz hizo habari watishie walio Dar

    Mdau wa US

    ReplyDelete
  3. wewe ndio wale wale mnaotaka kuuzia watu mbuzi kwenye gunia, kama kweli unauza hiyo gari

    -WEKA PLATE NUMBER YA GARI IONEKANE

    Bongo wenzangu kuwe makini, kuna watu anaibia watu kwa kutumia huo mtindo, check kwenye Craiglists wapo wengi tu.

    ReplyDelete
  4. bei hiyo hailipi,kwanza ni too old model ya zamani.kauze tanzania sio hapa.

    ReplyDelete
  5. Oyaa mtaokajitosa kununua hiyo gari kama mkituma email akakuuliza information kama
    ACCOUNT NO, ADRESS akupe kwanza za kwake uende ukaone gari, vinginevyo ujue huyo ni mbuzi kwenye gunia

    ReplyDelete
  6. Kama lengo ni soko la Bongo pengine ni bora kununua gari la namna hiyo Uingereza ambako uendeshaji wake ni sawa na wa hapa kwetu Bongo. Vinginevyo, kama sehemu uliko usukani si hoja na kama soko ni Bongo bado - basi pengine bora kununua Hamburg au kwingineko Ujerumani. Naamini soko la huyu mheshimiwa ni huko huko Amerika maana toka mgogoro wa mikopo uanze ununuaji wa magari mapya umeshuka. Mimi nitakuwepo Seattle siku akija Professor Jei kufanya shoo yake - lakini naweza kulipa nusu tu ya bei hiyo ukiniletea gari.

    ReplyDelete
  7. Nyie watu wajinga sana. Hii gari ni AMG. unadhani unaweza kupata AMG kwa hiyo bei, thubutu. Mtu wa watu, weka gari lako wala usiuze, kwa maana watu wenyewe hata hawaelewi maana ya hiyo gari. Vimeo vichovu tu

    ReplyDelete
  8. benua nipande?

    ReplyDelete
  9. Benzi lenyewe mlango mmoja nlinaonekana limechoka sana. Halafu left hand na bei yenyewe halipi. Labda kwa wanaoishi Marekani wanaweza kulinunua. Hapa bongo gari kama hilo halilipi.
    Mdauzzzzzzz

    ReplyDelete
  10. Wabongi bwana. Vurugu tupu!

    ReplyDelete
  11. teh vehicle the vehicle the vehicle maelezo meeeeengi tooo much just give the facts out, jin aMercedes, mwaka, mileage, owners wangapi, auto-manual ? na kadhalika , toa details muhimu, customize si wewe je huyo mnunuzi kam na yeye ana cuztomize ki vyake ? it doent matter ...........me thinks the seller do protest too much...Let the buyer beware !!! "Caveat emptor"

    ReplyDelete
  12. hii gari haki ya mama najua mwenyewe, tena ni kijana mmoja mdogo sana anakaa huko marekani kusini, na anafanya kazi wall-street.
    nilimuona nayo atlanta, ni kali kinoma, nadhani hayo maelezo na hicho kizungu inajielezea mwenye gari ni nani.

    Economic USA
    Mungu Ibariki Tanzania

    ReplyDelete
  13. fanya ujinga uweke namba plate yako, haki ya mama wanaojikomba watakuzinga kama nini. hapa wanajifanya wanakutukana, subiri waone jina la na anwani yako, wote wataleta matatizo yao, sijui bibi mgonjwa, mjomba kalzwa.... pumba tupu

    ReplyDelete
  14. Wengine wanataka kuwaona kila wabongo wanopitia kwenye hii blog ni wajinga.

    Mtu anakaa marekani ya kusini na anafanya kazi wall street?
    Marekani ya kusini si Brazil na Chile?

    ReplyDelete
  15. Anon 5:31 watu wa wall street wanauza magari yao kipindi hiki hali ya uchumi kama unavyojua sio nzuri. Kwani hujasikia wasiwasi kwenye auto industry ambapo wanahitaji bail out otherwise wataanaguka. Ni kwamba watu wachache wananunua magari kipindi kama hiki. Hiyo bei iko juu kwani gari kama hiyo unaweza kuipata hata kwa $10,000.

    ReplyDelete
  16. "anakaa huko marekani kusini, na anafanya kazi wall-street" Mdau wa 5.31 kumradhi kuishi marekani kusini na kufanya kazi Wall street georgraphically haviwezekani...

    ReplyDelete
  17. Huyo muosha vinywa alimaanisha majimbo ya kusini. teteteteeehhhh

    hamna dogo jameni. hata mimi nadhani mwenye gari namjua, mjomba JM toka gizani, kwani tushakujua, hayo ma AMG hayaendeshwi na watu wa kawaida ni matajiri ndio waendesha AMG na BMW M-Series

    ReplyDelete
  18. Weka VIN # first before you all other nonsense. Watu wana access na carfax na autocheck daily. Tunahitaji additional pictures too. I cant make a serious decision to buy this car if what I see are two pictures and bunch of nonsense about how beautiful the car is. A serious buyer will get all that information online and dont need to be told what type or how many spark plugs your car uses.

    ReplyDelete
  19. Kweli maelezo mengi yasiyo na maana.

    Nahitaji VIN number na hiyo gari iko wapi? Warranty and term of payment niaje?

    ReplyDelete
  20. Inaelekea USA box linalipa sio mchezo wengine wanafungua restaurant, wengine wanamasaloon yao, wengine wanama nursing homes yao, wengine wanamigahawa, wengine wanamajumba ya kuongisha Mh hhhh Mhhhhh mhhhhhh naona na mabenzi mnauza. Hebu UK, Australia na India tuonyesheni mavitu yenu na nyie basi

    ReplyDelete
  21. Jamani Wabongo tuwe tunasoma maelezo kabla ya kukurupuka kujibu huyu mtu anatafuta mtu wa kununua hiyo AMG yake huku Marekani kwasababu bado inailipia wewe soma melezo yake yanajieleza yenyewe anatafuta mtu anyeishi US iliaweze kuwa financed na economy hii sijui ndugu yangu..........POLE ..!!!!

    ReplyDelete
  22. pole sana mwenye gari kwa kuwatangazia waswahili hao unauza gari,kwa kuwa ni mtanzania mnachonga midomo wengine hata details hamzielewi,huwezi kununua wacha na ufunge bakuli lako la kashfa.

    ReplyDelete
  23. Hacheni kutupiga changa la macho. AMG haiendeswhi na masikini

    Hii gari inaendeshwa na matajiri siyo kawaida eti. Huyu mtu wa wallstreet mnayemsema ni nani kama si joni mashaka?

    wabongo wengi hawawezi bei ya AMG waache ukumbafu, kwanza hii ni gari ya mamia ya mamilioni. kila la heri muuzaji

    ReplyDelete
  24. Mwenye hii gari tunamfahamu, ni mtoto mchanga sana. miaka 31, inakuwaje aendeshe AMG? Alafu sasa siyo Moja, anazo mbili, pamoja na Porsche. anauza hii kwa sababu kwake ni ya zamani, asitudanganye na kutokuitumia

    Hizo hela ametoa wapi. tukimalizana na EPA turudie hawa watoto wenye vijisenti.

    Mjomba JM, wallstreet haiwezi kukulipa kiasi cha kununua AMG yenye sonar system na night vision system EBOOOOOOOOOOOO!!

    ReplyDelete
  25. hii gari kwa tanzania, baada ya ushuri kila kitu, ni
    Tsh millioni 250,000,000.00 au zaidi. Huyu mtoto kaimudu vipi, kwa maana hii gari hakuna Tanzania.

    Mniamini, hakuna Mercedes Benz AMG au BMW M-series. Hata JK mwenyewe anatumia S-500 pamoja na BMW-5series. Serikali haiwezi kumnunulia Benz S55AMG au BMW M5 au M7
    waosha vinywa wanaopiga kelele humu ndani mara $10,000 hawajui maana hii ni AMG pamoja na features zake. Huyu mtoto lazima tumuweke kiti moto
    Alafu amejileta mwenyewe kuwauzia wabongo?????????????????

    ReplyDelete
  26. wabongo tunaongoza kwa upelelezi. mmepiga maneno hadi mkampata mwenye gari. thamani ya gari mmeangalia kwa undani, wenye uwezo wa kununua gari ya ina hiyo mmewaweka bayana, maelezo mmechambua na kujua hiyo chilnglishi utumiwa na nani. fisadi wa EPA kapatikana ! ila sidhani mwanaharakati ana huo uwezo

    ReplyDelete
  27. Mimi sitaki kuosha kinywa ila nataka kuuliza kwanini anaiuza? si ilikua yake? tunataka kujua pia matatizo yake.

    ReplyDelete
  28. hiyo gari kwa uku UK unapata kwa £7000 na low mileage, one owner, Hiyo gari kama mwenyewe alivyoandika anasafiri sana kwa hiyo ni high mileage na inakunywa sana mafuta ndio maana ana achana nayo, magari uk ni bei rahisi sana. Uk watu wana magari mazuri na siyo yazamani na hawauzi ndio maana huwezi kuyaona kwenye michuzi. Kwa hiyo nyinyi mliokua bongo na US wacheni ushamba na kufikiria watu uk hawana magari. AGM siyo gari ya mamillione wacheni wenda wazimu, mtu anyeendesha amg sio millionea. Na huyo JM anafanya kazi Wichovia north Carolina, in america any one who works in financial sector is been refered to as working in wall street regardless of his/her location. The wall street itself is in new york, due to its popularity all financial sector in america are known as wall street. JOHN MASHAKA ACHA KU EXPLOIT WATANZANIA AMBAO HAWAELEWI MAMBO YA FINANCE. YOU WORK IN WICHOVIA NORTH CAROLINA NOT NEW YORK WALL STREET AS YOU WANT PEOPLE TO BELIEVE. SINCE YOU WORK FOR WICHOVIA BANK, YOU CAN CALL YOURSELF YOU WORK IN WALL STREET. SIKU NYINGINE UKIPIGA PICHA WALL STREET USIPIGE WAKATI HAMNA WATU, INAONYESHA JINSI GANI ULIVYOKUWA MUONGO, NDIO UNAKAELIMU KADOGO BUT DONT EXPLOIT THOSE WHO HAVENT BEEN TO SCHOOL WHO READ MICHUZI. I HAVE BEEN TO SCHOOL AND AM ASHAMED THE WAY YOU LIE TO MY FELLOW TZNIANS, THEY BELIEVE YOU ARE A MILLIONEAR. HEY MY FELLOW TZNIANS WAKE UP AND GO TO SCHOOL

    ReplyDelete
  29. KWENU NYINYI WATANZANIA MSIOKUA NA UFAHAMU WA MAGARI ninamaanisha mnaokaa tz NENDENI www.autotrader.co.uk or com kama unataka ya marekani

    HUKU UK WATU WANAMAGARI MAZURI SANA NA WALA HAWAYAUZI NDIO MAANA HUWEZI KUYAONA KWENYE MICHUZI....

    AMG SIYO GARI YA MAMILLIONEAR, NA HUYO MUUZAJI SIO MILIONEAR.
    LA HASHA KAMA NI TSH KILA MTU NI MILLIONEA

    ReplyDelete
  30. nyie watu, mbona chuki binafsi? jamaa kaweka gari lake, wala jina hajataja, sasa haya mambo yote ni nini? kama hauna ubavu wa kununua gari, shika taimu walivyo watu wengine.Jamani wa Bongo, mwenyewe pengine anawacheka nyie kwa malumbano yenu ya kijinga

    ReplyDelete
  31. Sasa mmeongea pumba yooooooooooote,

    mununuzi sasa ni nani?

    ReplyDelete
  32. **H A C H E N I U T A H I I R A**
    xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

    KAMA WOTE SIYO WAZUSHI NA MATAAHIRA, IWEJE HII GARI MSEME NI YA JM WAKATI GARI LENYEWE NI LA

    "MALYA"

    MALYA ANA MILIKI NURSING HOMES HAPA BALTIMORE NI MTU MWENYE HELA ZAKE TU.

    HILI GARI NI LA MALYA TENA AANAZO MBILI PIA NIMESHAWAHI KUIPANDA INA HIVYO FUTURES ZOTE.

    WATU WENGINE WANAOSHA MAKALIO HADI WANACHANGANYIKIWA.

    MJOONI BALTIMORE MLIONE GARI

    ***H A C H E N I U Z U S H I*****
    xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

    ReplyDelete
  33. Some Clarifications
    the CLK 55 AMG posted above DOES NOT give you 31 MPG on Highway for more clarification you may check this website; http://www.fueleconomy.gov/feg/findacar.htm

    Resale Price: $9,969 - $20,981
    Source
    http://www.automotive.com/2002/99/mercedes-benz/clk-class/clk55-amg-coupe/469/index.html

    Merry Christmas Everyone.

    ReplyDelete
  34. ww anonymous December 21, 2008 2:18 AM, Mtoa Maoni

    baada ya ushuzi woooote ulioandika, kwa hiyo uko tayari kununua gari?

    ww una elimu, basi elimu yako ungeitumia vizuri kujifutia makamasi na ushuzi

    kwanza mwenye gari haumjui, huku unabwabwaja, mara AGM, siyo AGM ni AMG mbuzi wa kizaramu wewe. hacha majungu na chuki za binafsi TOBA

    Wivu gani unaokusumbua, basi ukizidi kavae kitanzi. Mwana haramu, shetani, ushindwe kwa jina la bwana. Mtume !

    ReplyDelete
  35. Jamani mbona watu mmepata homa ya mchana kwa hili gari? I guess ni watu walionje ya USA ndio wanachemsha hivyo. Lakini kwa taarifa yenu kuwa na gari USA ni uamuzi wako na malengo yako.

    Bora una kazi na credit yako ni nzuri gari unapata la hela yeyote.

    Wanafunzi hata hawajamaliza shule wengine wako radhi waishi 7 kwenye apartment moja ili wasave kwenye rent na waendeshe magari mazuri na mtu mwingine anaona ni heri aishi mwenyewe bila bugudha ya maroommate na aendeshe gari simple tu. Huo mfano ni kwa mtu aliye bado shuleni na anapiga double part time jobs. kwa mtu aliyemaliza shule na kufanya kazi full time kuwa na gari ya aina yeyote ni uamuzi wako tu.

    Na anayeuza gari yake huyo hajajitambulisha nyie mmeshaanza kusema ni ya JM, sijui Malya....hivi kwani hiyo gari ilitengenezwa moja tu? Au ni mtanzania mmoja tu ndio anaown hiyo gari au kwa vile umeshaipanda basi una uhakika ni hiyo ya huyo mtu?

    Acheni maneno...

    contact info hizo hapo kama unataka hiyo gari wasilianeni naye.

    Na mlio USA manajua nini maana ya OBO. Mlio nje ya nchi hii gari haliwahusu

    ReplyDelete
  36. Anonymous:
    December 21, 2008 6:11 PM
    December 21, 2008 11:14 PM
    Jamaa wawili hapo juu Kudo ! Naona mnatafakari sana, na mmeonyesha ubingwa wenu wa kufikiri kuliko wengi humu wanaoongea pumba.

    Hawa wanaifanya hii blogu ya jamii kama the utamu.Hata wapumbavu naona wanakuja kuchangia.Gari limebandikwa kwenye site, Hakuna jina, mwenye gari kaweka gari lake na bei anayotaka, pamoja na maelezo yake.

    Ndio gari ni zuri, tena ni gari la bei, ingawa mimi sina uwezo wa kulinunua, lakini ningependa kuchangia hoja zangu na kero linalonisumbua.

    Ninafanya kazi na mzungu(bosi) tena rafiki anayemiliki AMG gari yake ilikuwa ni BENZ S55 AMG alilonunua kwa $134,000.Ameinunua 2007

    kwa mwezi alikuwa analipia $3,400, kwa miaka minne. Kubadilisha oil ni $175 kwenye delearship. Service mara nyingi alikuwa akienda anaacha $1400- $2500 inategemea ni nini ametengeneza. lakini kwa vile ndiye mwenye kampuni,hizo hela kwake siyo tatizo

    Ndio ni gari la matajiri lakini sijui kuhusu umilionea. Kwa hiyo kwa ujumla haya magari ya AMG yana gharama sana kutunza ukilinganisha na benzi ya za kawaida, lazima huwe na kipato kizuri ili kuimudu.

    Ukienda gereji za kawaida hawawezi hata kuigusa hasa marekani watakwambia we don’t work on those wakiofia kuharibu kitu kisha kushtakiwa

    Nikirudi kwenye swala la wachangiaji, kama nilivyosema hapo mwanzoni, Gari halina jina la mwenyewe.

    Mwenyewe hajajitambulisha, lakini wajuaji kama kichwa mbuzi anonymous, mwenye wivu za kufa mtu December 21, 2008 2:18AM,anyejiita alinenda shule, ikiwa kweli alienda shule, basi alienda kuacha mdomo wazi NZI waogelee; kamshambulia Jon Mashaka bila ya kutoa sababu maalum.Mashaka yeye hapo kadanganya nini wakati hajasema chochote wala jina lake alipo? Wachivao anakofanya kazi kunahusiana na nini na hili gari? Hii nitaichukulia kama wivu majungu na chuki Binafsi.

    Mchangiaji wa pili naye kaja na majina ya Malya, ambaye anamiliki Group Homes. Wabongo hacheni ujinga, kazi za group homes ni kazi za watu wasio na elimu ya ina yoyote na haiwezi kuwa kigezo kwa mtu yeyote kununua gari ya aina hiyo. Hiyo Benzi haikutengenezwa moja, zipo nyingi tu, kwa hiyo sioni sababu ya jina la Joni Mashaka au Malya kutajwa kwenye hili gari.

    Mara tulimuona na hilo gari Atlanta, kwani kama ni lake shida ni nini akija nalo Atlanta au kuamua kuliuza? Ikiwa hauna uwezo wa kununua hiyo gari, fyata mkia au kanywe mbege. Kunguru wee

    Kila mtu ana uhuru wa kutaka bei yake, ila kutokana na futures alizozisema, mwenyewe ana haki ya kutaka bei yake kwa maana kuna vifaa vya ziada alivyoongezea.

    Huu ujinga mkubwa ku-google sijui links gani ni ushuzi mtupu.Wengine wameleta ma EPA. Sasa kama ni ya Malya au Mashaka, tatizo liko wapi?

    Sasa nyinyi na akili yenu, hasa wanaohishi Marekani, u-EPA unaingiaje kwenye hii gari ambalo mwenyewe jina lake halifhamiki? Tukizidi na hizi tabia za kipumbavu za kukurupuka, tutazidi kuwa masikini.

    Hawa walemavu wa akili inabidi muache chuki na wivu. Wenzenu wakiwashinda, inabidi mkubali na muendelee na maisha yenu.

    Kila la Heri gari lisilokuwa na mwenyewe

    ReplyDelete
  37. JAMANI TUMESHABISHANA KWELI, NA HATA WENYE GARI TUMEWAPATA!

    SASA MNUNUZI NDIYE NANI?

    ReplyDelete
  38. hivi nyie hamna cha kufanya eeh!hapo ni mawili kama unataka kununua mtafute jamaa huwezi kaa kimya kelele za nini sasa?naona mpk mnaleta vitu vingine.

    ReplyDelete
  39. hivi wababeba boxi na waosha vinywa, kinachowauma ni nini? Maelezo kushusu gari au majina ya malya na mashaka? ni kama vile mashaka akitajwa tu kila mtu anakuwa na haki ya kuchangia. mimi swali ninalotaka lijibiwe ni kwamba hayo majina yameingia ingiaje hapa. sioni majina ya malywa na mashaka kwenye tangazo.mnaanzisha tabia moja mbaya za ajabu sana, mashakamania tanzania kwa sababu mkiona tu jina lake sehemeu wote mnapagawa. akiwa anabeba boxi vizuri, basi nanyi pia mbebe boxi vizuri badala ya kutangaza chuki.Sisi jua linatupiga masaa 12 ka siku wala hatuna chuki na mtu yeyote. mkija tanzania bado tunawakaribisha na vizungu vyenu vya kuokota washamba, someni mambo vizuri kabla ya kukukurupa

    ReplyDelete
  40. HIZO BENZI ZINAUZWA UK FOR LESS THAT 5,000 POUNDS, WADAU MSIIBIWE, $22,000 NI WIZI MKUBWA, THAT CAR IS NOT WORTH A DOLLAR MORE THAN $7,000

    ReplyDelete
  41. mm sioni cua ajabu. Shida ni kwanba mashaka pengine anabeba boxi visivyo kawauda kwa hiyo yy kumudu gari Kama Hilo ni swala ambalo wengi hawaamini ndo maana uchungu inawaingia .hadi mbongo akubali ameshindwa na kumpongeza mwenzie ni siku yesu anarudi.ila kusema kweli sioni jina lake linatokea wapi

    ReplyDelete
  42. CHUKI,CHUKI,CHUKI,CHUKI!!!!!!!,WABONGO TUPUNGUZE CHUKI,LET STAY POSITIVE!!,KAMA MDAUALIVYOSEMA JUU!,JAMAA ANA HAKI YA KUHUZA GARI KWA BEI YOYOTE ANAYOTAKA,ITS ALL UP TO BUYER,IF HE/SHE SEES ITS FAIR PRICE OR NOT,!,NO BODY STEALS MONEY KWA KUHUZA KITU KWA BEI ANAYOTAKA,SO IF WE CANT AFFORD JUST CHILL OUT,LAY BACK WAACHE WAZEE WA VIJISENTI WAONGEE BUSINESS!,SISI TUSIOWEZA KU AFFORD AU TUKAE KIMYA!,KUTAJKANA MAJINA HAISAIDII CHOCHOTE ZAIDI YA KU PROVE WIVU!,CHUKI NA ROHO YA KOROSHO!!.WEWE KAMA UMEONA GARI KAMA HIYO KWA BEI POA ITS GOOD KANUNUE MWACHIE JAMAA AFANYE BUSINESS

    ReplyDelete
  43. Anony: December 22, 2008 9:42 PM,
    nakubaliana na ww kabisa hii ni chuki. kama michuzi ataniruhusu mimi nataka kuanzisha mjadala ili wadau wote wachangi kuhusu ili swala la WIVU, WIVU, WIVU. ambao unatuua. Ni wivu usio na mpaka, wivu wetu umezidi kusema kweli.

    ReplyDelete
  44. wewe anony wa
    December 22, 2008 4:31 AM

    Ulaya magari ni bei rahisi sana na watu wanapokuandikia website za ulaya za magari ujaribu kuziangalia ili ufungue macho kidogo, kwa ajili hujui hata kulinganisha(compare).
    Vitu vya kuangalia ukiwa una compare au unataka kununua gari in kama vifuatavyo:
    1. mwaka wagari, wewe unalingani gari la mwaka 2007 na 2002, unamatatizo makubwa.
    2. miles au km gari lilovyotembea
    3 model, tofauti ya herufi moja katika model ni tofauti ya pesa
    4. engine size mafuta yamepanda
    5. vitu vingine kama petrol/disel, gear/manual na vikorokoro vingine ni mapendo yako.
    wewe umeng'ang'ania tu "futures" kwanza sio "futures" ni features. Hivyo ni vitu vidogo sana kwa huku uk ama US, ukitaka parking sensor, tv every where sio vitu vya maana sana kwenye gari.
    mimi nipo uk ni mwanafunzi lakini siwezi kumtukana mtu ambaye anabeba box kwa ajili hilo mimi ninalibeba sasa hivi na ndio linanilipia elimu yangu, naenda tz kuwatembelea wazazi wangu.
    Huyo jamaa ambae ana care home yake marekani watu wanasema hajaenda shule anaakili za biashara na ameamua kufungua ya kwake kwa hiyo msimtukane.
    wewe niliyokutaja hapo ukitaka kulinganisha vitu linganisha vitu vinavyofanana "like for like"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...