Home
Unlabelled
ze marco polo ndani ya nyumba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
aaah why so quite? miss u .Sharon-Houston,Tx.USA
ReplyDeleteze marco polo uko Uturuki hatuambiani hehehe.
ReplyDeleteMdau
oyaa balozi michuzi naomba urekebishe kidogo hiyo caption, mkuu zemarcopolo sio mdau wa uturuki...huyo ni mzee wa mtoni hapa EU. Nadhani mwenyewe alikueleza kwa usahihi(...nadhani ulichanganya tu baada ya ngwasuma kukolea...huyo ndo mzee wa mtoni original...yeye ndo aloanzisha "kayetanka"...si unajua tena...
ReplyDeletemzee wa mtoni endelea ku-make sure...
"emergencypoison".
mbona hafanani na marco polo?
ReplyDeletemichuzi, je ni kweli prof leonard shayo amefariki? kama ni kweli mbona hakuna habari juu ya kifo chake kwenye vyombo vingine vya habari zaidi ya jamiiforum na blog chache?
ReplyDeleteMzee wa Mtoni,zemarcopolo,naona umeona mara mbaya kwa mwaka si moja kujirusha ndani ya bongo.Jitahidi "kushea" na wabongo habari za hapa mtoni ili nao wajue yanayojiri ughaibuni.
ReplyDeletethe son of Africa.
kaka zemarcopolo....pitia leicester ukirudi..nadhani ushanijua ni nani...hahaha mzee wa mzee wa leicester niliyetoswa viza ya US..HAHAHAHA..mpe hi baraka na wote huko
ReplyDeletesemeni tui ni czech republic.tetete sio kuzunguka
ReplyDeleteHa ha hah aaaaaaaaaa! kumbe Imani Kondo ndo Ze Marcopolo! Aisee... I didn't know kabisa! Karibu bongo mazee!(tulikamua wote Ilboru huyo)
ReplyDeleteMdau
huyo ze marco Pole...BONGE LA MSHENZIIII HAFAI KABISAAAAAA
ReplyDeleteZE MARCO UPOOOOO...UMEPOTEA KABISA... HUJATULIAA WEEEEE MTOTO WA KUWADANGANYA MABINTI NA KUWACHEZEA...DAR IPO HATARINI SASA
ReplyDeleteZE MARCO UPOOOOO...UMEPOTEA KABISA... HUJATULIAA WEEEEE MTOTO WA KUWADANGANYA MABINTI NA KUWACHEZEA...DAR IPO HATARINI SASA
ReplyDelete