
halloo brother michuzi,
kwanza nikupongeza kwa shughuli makini ya kutuhabarisha kwa habari za kitaifa na kimataifa.
Pili, kwa kupitia blog yako tukufu naomba unipeperushie blog yangu kwa wadau popote pale walipo, ili wapate vitu moto moto kwa kubonyeza
www.jbnetgrouptz.blogspot.com
www.jbnetgrouptz.blogspot.com


sasa wewe blog yako ni kwa ajili ya Obama tuu!!habari zote eleozimetawala Obama Obama!!!!nini wewe na blog yako ya upendeleo
ReplyDeletekumbe obama mfupi ee
ReplyDeletewewe unayesema obama ni mfupi unaona vizuri. for your information obama is six feet plus. obama is sleender tall and handsome. wengine mnapenda kupeleka comments za kufanya watu wabishane tu. i am sure unajua fika kuwa obama ni mrefu. wewe una urefu gani.
ReplyDeleteJAMANI JE KUNA MTU ANAYEJUA WHERE ABOUT YA RACHAEL TEMU
ReplyDeletemr bakunda, nakutafuta sana kumbe uko moscow! du mkuu nimekukubali, nakumbuka tumesota wote kuanzia katubuka shule ya msingi, kigoma sec school na baadae kwiro high school(morogoro) kabla ya kwenda UDSM.nadhani umenikumbuka!
ReplyDeletekimsingi nimefurahi sana, kwani kupitia Blogu ya kaka michuzi , nimeweza kujua uko wapi.
pili hongera sana kwa kutufungulia blog, ambayo ina kila kitu, breaking news za huko western and eastern europe, bila kusahau USA. na maswala yote ya schollarship ana vyuo pamoja na matukio ya moscow, kwani tunasikia tu kwenye habari kuhusu sakata la madent wa kibongo wanavyoendesha migomo dhidi ya ubalozi, nadhani sasa utatupa michapo tofauti kuhusu madenti na maisha ya kila siku huko moscow,
mwisho, Mr chriss BAKUNDA. nakutakia maisha mema na masomo , na mungu Akubaliki, kwani inavyoelekea utakuwa Mkombozi wa Watanzania. karibu sana Tanzania,
email yangu yohana@yahoo.co.uk
ni kweli kuna mijitu mishakunaku kweeeli kazi kuchokoa wadau tutukane humu bloguni afu michu abinye sms zetu,,,
ReplyDeleteduh uyo baby girl kadogo ako mboni keusi vile afu mafuta vipi???kweli ana watoto wajaluo aswaaaaaaaaa bt uyo binti mkubwa aonekana "juu"uzungu-uzungu ata katika newz za luninga she s treated differently n she is different,,,
obama is 6+tall,slender body,handsome?????umelala nae wee annon??
michu pliz just kufahamu tu
leo kaniacha HOIIII bin taabani
hata wewe unayejidai kumcheka mwenzio aliyesema kwamba obama ni mrefu mbona comments zako juu ya watoto wa obama ni very shallow. unaonekana elimu yako ni ya chini sana. pengine kazi za ABC zimekuzidi au mabox yamekwisha affect your brain.
ReplyDeletewatoto wa obama:
ReplyDeleteuyo binti mkubwa hafanani na wamatumbi,binti mdogo mmatumbi aswaaa
wewe sina kazi za mabox ntfute uone kazi yangu na skuli langu yan nakununua wewe na familia yako to the 2nd generation yako.
jaman obama asipotuinua wa-East africa tunae tuuu
I am surprised that someone say he/she can buy people. People who have a lot of money do not brag. People like Bill Gates who earn more money in a year than our entire nation do not brag instead they spend a lot of money helping disadvantaged people. You say that you attend very good school, sorry your good school does not do good to you otherwise you would not spend so much time on trivia things. Smart poeple have no time for petty things. Grow up. Get a life.
ReplyDelete