Kwa picha zaidi na habari
BOFYA HAPA
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
mkuu wa wilaya nanihii, globu inabia kidogo, hebu let's Yale mijadala mashaka kwa maana yanatia fora kweli. Yaanatutoa uchovu baada ya boxi ngumu mtu wangu
ReplyDeleteHivi haya mashindano ... mara malkia wa Sebene, malkia wa ngwasuma nk ... mbona hakuna mashindano ya kina baba? Kwani wakina baba hawajui kukata nyonga? Mimi nataka kushauri hawa wadhamini waache kuwa wabaguzi, muda sasa umefika kwa wakina baba nao kushindanishwa kujua ni yupi anaweza kata nyonga zaidi au kutikisa makalio.
ReplyDeleteMheshimiwa Balozi wa nanii naomba uwafikishie ujumbe huu wahusika wa mashindano hayo!
nendeni shule..ngwasuma ngwasuma mwisho wake nini haswa...sasa 1.6M then what's next??
ReplyDelete