Mama Salma Kikwete akiwahutubia wake wa mabalozi wa nchi za nje waliopo nchini Tanzania wakati wa sherehe ya mwaka mpya aliyowaandalia huko Ikulu, Dar.
Mama Salma Kikwete akigonganisha na baadaye kuinua glasi na Mama Celina Juma Mpango mke wa balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo nchini ambaye ni kiongozi wa wake wa mabalozi wa nchi za nje walioko hapa nchini wakitakiana heri ya mwaka mpya wakati wa sherehe iliyofanyika Ikulu, Dar

Mama Salma Kikwete katika picha ya pamoja na wageni wake



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Swali: Hivi mabalozi wote Tanzania ni wanaume ambao wake zao wapo hapa? Je, kwa wale mabalozi wanawake waume zao wangealikwa hapa???????

    ReplyDelete
  2. Great, Mama K.

    Mwakani kwenye uzima, idadi ya vitenge na malemba si ajabu ikaongezeka.
    Penyewe hapo kwenye glasi ni Coca au Pepsi?

    ReplyDelete
  3. halafu mbona wenyeji[mrs.sitta,mrs.nagu,mrs.pinda,mrs.shein,] ndiyo wametawala hiyo safu ya mbele ktk picha?

    ReplyDelete
  4. wake wa Mabalozi wazungu walisusia nini?

    ReplyDelete
  5. Wasioe angalia elimu za watoto wa tanzania wanakazi ya kutumia pesa ovyo. Watoto wanakaa chini shuleni hakuna madawati, mabasi ya wanafunzi mzozo...shida kila kona wao ndo kwanza wanandaa party.......

    Kaka Michuzi najua unaweza bana comment yangu lkn kaka ukweli ndo huu. JK itabidi aendeleze nchi, na ndio maana wazungu wanasema "Children Are The Future". But nchi yetu ndo kwanza rais azidi neemesha famly yake tuu la mzingi afanyalo sijaliona.

    ReplyDelete
  6. Brother Mithupu, tunafurahi kwa picha hii ya close up ya Mama Salma.Ukiitazama tu unafurahi na moyo unapoa.
    Si uongo Ikulu yetu imependezeshwa!

    ReplyDelete
  7. mwanamke lemba bibi!!!mwanamke almasi sijui,dhahabu,nakshi-nakshi
    mjijuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
    wee annon wa kwanza na swali lako vipiiiiiiiiiiiiii?tukueleweje?
    umebanwa na musuli nini???
    FAFANUA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...