Home
Unlabelled
mdau wa ilala flats ala nondozzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sana mdau kwa kumaliza chuo. Asante kwa picha nzuri ya familia
ReplyDeleteBrother Michuzi huyu jamaa (Mdau aliyekula nondozz) mbona anaonekana kachoka sana pamoja na wapambe wake. Hizo nondozz ndiyo zimemchosha kiasi kile?? Je hawa wapambe nao kilichowachosha ni nini? Jamani kweli wanahitaji concelling vinginevyo naona kama hali sio nzuri.
ReplyDeleteMdauzzzzz
Hii ndio NONDOZZZ ya kihalali haswa...sio zile za kununua ughaibuni na pesa za ufisadi!!!
ReplyDeleteHongera ndugu yetu,
ReplyDeleteMdau,
Gothenburg, Sweden
A WAY TO GO. Congaratulation
ReplyDeleteWANAFUNZI WAHUNI WANAOFANYA UUAJI WA RAIA WANAOISHI KARIBU NA BAADHI YA VYUO VIKUU TANZANIA!
ReplyDeleteMwenyekiti nimepokea kwa masikitiko uhuni wa wanafunzi wa Chuo KIkuu cha Waislamu MOrogoro kwa kuwapiga na dhahiri kuwataka kuwaua vijana wawili ambao hawana hatia,kwa kuwazushia ni wezi.Kama wengine miongoni wa wanafunzi,raia wa Morogoro na wapenda haki tumeshikitishwa sana na kitendo hiki.Na Tunalaani kwa nguvu zote.Inasikitisha sana kuona chuo kikuu cha Waislamu Morogoro kinasomesha wahuni.
Kijana mmoja wao aliyepigwa yuko katika hali mahututi sana,na wanafunzi walioshikwa wameshindwa kuonyesha ushahidi wa huo wizi.
Hii sio mara ya kwanza hapa Morogoro imewahi kutokea Chuo cha Mzumbe kwa wanafunzi kujichukulia sheria mkononi na kuwasingia na kuwaona vijana wote wanaoishi maeneo ya karibu na Chuo ni wezi.
Daima sheria itachukua mkondo wake na hamna mtu aliye juu ya sheria,ni matarajia hao Wanafunzi waliofanya kitendo hicho cha kikatili watashughulikiwa kisawasa
Anony 2:10 AM umesema kweli wote waliozaidi ya umri wa miaka 12 wanaonekana kuchoka sana ktk picha hiyo.
ReplyDeleteWatoto hawaelewi umasikini wa nchi na wa kifamilia lakini wakifika umri wa miaka 12 vichwa vyao huanza kujiuliza maswali na majibu huyajua kuwa ni umasikini, hivyo huanza kunyong'oyea kwa msongo wa mawazo.
Na ndio maana vijana wote ktk hiyo picha wamechoka kwa kuwaza wafanye nini ilikujinasua na hali ya umasikini. Je wasome sana, Je wafanye kazi kwa bidii, Je wazamie meli maana hao ni watoto wa Ilala Kota~Flati
Kweli Tanzania ni pagumu sana.
We anon wa January 03, 2009 6:46 AM
ReplyDeleteinaonekana si msomi au hujawahi kukaa kampasi au wewe ni mdini. Walichofanya wanafunzi hao kiko vyuo vyoote na hata mitaani.
Wanafunzi wa vyuo vikuu ni watu wanajijali ki mavazi na chakula. Vijana wengi jirani ya vyuo hasa kwenye vigenge vya madrafti nk. huwa wanavizia weak point ili waibe. Wanafunzi wa vyuo huibiwa simu, computa, nguo, hata fedha wakienda hata kujisaidia. Vijana wengine huenda kubaka mademu wasomi.
Kibaya ni kujichukulia sheria mkononi na siyo eti wanawasingizia. Kwa nini mtu usome kwa hofu? eti vibaka wengi, tia kiberiti kwa sababu sheria/polisi wameshindwa!
huyo mjomba mweupe mweupe hapo katikati leo atakunywa sana dengelua na chimpumu, inavyoelekea leo kilabuni watamkoma huyo, wakimchekea wanaweza kuyakuta kayatinga hayo majoho ya mjomba aliokula nondo huku anayakata mandomboloyasolo utadhani nondo kaila yeye vile
ReplyDeleteSwali huyo mjomba wetu mweupe mweupe aliyetajwa na anony wa 04,2009 12:48AM mbona mie si muoni?? ama nikabadilishe tena mawani yangu??
ReplyDeleteHata mimi nimejaribu kuosha matongo nimuone huyo mjomba mweupe mweupe lakini wapi. mweupe mweupe nimuonae kati ya wote ni dogo mwenye tishirt ya white, blue na red stripes.ngoja nivae miwani.
ReplyDeletewaislam mnakuja kwa kasi na nondozi ila huyu mwenzenu kachoka sana.kwenye huo mtanange hata biscut au juice kuwapoza watoto?najua uwezo wa kununua keki hana. hata kashata na kahawa mmeshindwa waislam kumchangia ndugu yenu?
ReplyDeleteall in all mnajitahidi sana.michuzi weka tu nondoz ni motisha.
Mdau Japan
Michuzi, please please, mimi ni mkristo ila sipendi ubaguzi wa dini wa aina yeyote ile. Huyu jamaa anayejiita ''Mdau Japan'' naona anachochea mgawanyiko wa kidini. Michuzi lengo lako ni kujenga jamii na sio kuigawanya, so comments kama hizo hazifai kuona mwanga wa jua. I have relatives and friends who are muslims so lets respect each other.
ReplyDeleteMdau,
Gothenburg,
Sweden.
jamani mweupe ni huyo mjomba alieokolea rangi ya lami yaani mweusiiiiiiii ti
ReplyDeletesina nia ya kugombanisha jamii.mdau aliyekula nondoz ni muislam na hakuna hata kashata na kahawa, maana keki imemshinda.
ReplyDeletemdau-JAPAN
Mwanangu hapo amemiss Sox na Baker walikua wapi? Maana najua wanangu wenyewe mpo pamoja.
ReplyDelete