ASSOCIATION OF TANZANIANS IN IRELAND INAWAALIKENI WATANZANIA WAISHIO HAPA IRELAND KWENYE MKUTANO ULIOOMBWA NA BALOZI WA TANZANIA, KWA UK & IRELAND, MHESHIMIWA MAAJAR.
VENUE: MALDRON HOTEL,
PARNELL SQUARE,
DUBLIN 1
SIKU/MUNDA:IJUMAA 30/01/09
SAA KUMI NA MBILI JIONI
'NYOTE MNAKARIBISHWA'
Kwa mawasiliano zaidi tuma email kwa organiser:
makunja@hotmail.com


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...