Waziri Mkuu Mh. Mizengo akiwa huko Geita muda mfupi kabla ya kufungua tawi la Benki ya NMB, nyumba za makazi za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) na kuhutubia mkutano wa hadhara huko.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Mbunge wa Biharamulo Mashariki, John Magufuli akiwa na mbunge wa Kuteuliwa, Sheimaa Kwegir wakati walipowasili kwenye viwanja vya Benki ya NMB tawi la Chato mkoani Kagera lililofunguliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Da masikini magufuli wa watu, jamaa wamemzima jiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii... sisiemu noma!!

    ReplyDelete
  2. Kweli kwa maoni yangu Mh MIZENGO KAYANZA PETER PINDA huyu jamaa anatakiwa kuwa rais after JK huyu mkubwa ni mpiganaji kinoma

    ReplyDelete
  3. mh, mkuu unayesema Magufuli wamemzima hujajua anawaza nini, nadhani keshaona mchezo uliopo kwenye siasa nae kaamua kujipanga kwa maisha nje ya siasa. Alipokuwa waziri katika wizara ya nyumba, ardhi na maendeleo ya makazi pia alikuwa anasoma pale UDSM, alikuwa anafanya masters katika Kemia, na sasa hivi unaona yupo kimya ni kwamba anasoma pia, anafanya PhD ya Kemia hapo hapo UDSM, ni kwamba anajipanga kwenda kuendelea na fani yake ya ualimu baada ya siasa na sasa mpango wake ni kwenda kufundisha UDSM, mjanja huyo taratibu anajiondoa kwenye siasa za majungu na fitina.
    Big up shemeji Magufuli.

    ReplyDelete
  4. Michuzi,Shikamoo Mzee.Hiyo picha ya juu una uhakika ni Geita au Chato??Nimeangalia sana hilo jengo kwenye background sipati picha.Geita napafahamu vizuri sana,Chato 'kamji' kamechoka hakana hilo ghorofa.Ni hayo tu,haujachanganya picha?Wakazi wa Geita na Chato saisieni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...