Home
Unlabelled
pinda ziarani zenji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani haya mambo ya kuvuna mpunga kwa kisu tutakwenda nayo mpaka karne ya ngapi ? Hivi hakuna uwezekano wa hata kununua matretka mawili au matatu ya kuvuna mpunga, hata ikibidi kuwatoza cho chote hao wenye mashamba ?
ReplyDeletehiyo hela badala ya kutumika kujenga hiyo ofisi ingetumika kuboresha miradi ya maji ingekua uzuri zaidi au mheshimiwa hajui jinsi zenji kunavyo shida ya maji?..au ndo kwanza chama social services baadae!?,
ReplyDeletehuyo nahodha hajali yeye bkoz kwake maji yanatoka saa 24, tunoumia ni sisi wananchi tena wanawake kubeba madumu kila siku afu ndio mana kipindupindu hakishi kutokana na ukosefu wa maji.
hope ujumbe utafika