Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nadhani huo ndio usafiri unaotufaa bongo na sio kile kigali kinachotembea barabarani na baadae kinaruka angani. Hata yale mabasi yanayoua watu kila siku kutokana na carelessness ya madereva nayo naona bongo hayatufai. Kwa kutumia usafiri kama huu hata trafiki hawezi kupata rushwa kama inavyopigiwa kelele kila siku. Hata wale wafanyabiashara wa mafuta wanaotaka kujitajirisha kwa kutumia shida za watanzania hawataweza kutuletea za kuleta. This is the best!! Long live Anna Nkinda wa Maelezo kwa kutuhabarisha na kutukumbusha asili yetu.
ReplyDeleteMdau wa Oslo
Duh...enzi za babu Adamu hapo,at least no pollution,stress,depression,ukimwi n.k.
ReplyDeleteTuige hiyo. Sana sana cha kuupgade ni baiskel au punda. Ukifanya research hapo utakuta watoto wenye asthma ni 1% tu compare na miji yenye magari mengi watoto wao 50% wana asthma na magonjwa mengine mengi tu na huduma zenyewe za matibabu ndio hivyo tena.
ReplyDeleteMdau nashukuru sana umenikumbusha mbali sana, nilikuwa naendesha gari kama hiyo enzi za Mwaliimmmu. zinatusaidfia sana sisi watu za Pemba/ zanzibar kwa usafiri wa vijijini, zinatumika kama njia ya kujiajiri kwa mmiliki. Pia naomba kuweka Kiswahili sawa sawa, huo sio MKOKOTENI bali inaitwa GARI YA NGOMBE, ni gari kama zilivyo nyengine, engine yake ni ngombe na dereva ni watoto (kwa picha hii)
ReplyDeleteMdau zenj
Duuh!! Michu uminikumbusha hadithi ya zamani kule Pemba ya ng'ombe alikuwa akiitwa "Kipole".. Wapemba wengi wanafahamu hadithi ya Kipole.. (dRU)
ReplyDelete