Mshindi wa Vodafasta Zaituni Mohamed aliyejishindia Bajaj yenye thamani ya sh Milion 4.5 akionyesha funguo ya Bajaj yake aliyejishindia baada ya kukabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Ansi Mmasi(kulia)na kushoto ni Afisa wa vodacom Juma Komba.
Zaituni akipokea hati ya kibajaji chake


BWANA MMASI, KWA NINI UNATAKA KUGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUMWONDOA DR CHAMI BWANA. HEBU MWACHIE ALE KIDOGO TENA MMEKU.
ReplyDeleteNina uhakika kabisa kwa nafasi aliyonayo ansi hapa vodacom analipwa mshahara karibu mara 2 ya mshahara wa Ubunge, sasa huko bungeni anakotaka kukimbilia inatupa wasi wasi sana hapa,I would advise him to keep growing with vodacom who knows the directors and even ceo might land in his hand,,,,,cool down brother,,,,, leave politics with politicians,,,,,bring your minds back here,,,,,lets grow together here.
ReplyDeleteMi nafikiri meku ana moyo wa uzalendo zaidi na anahitaji apatiwe nafasi ilikuweza kuisaidia jamii kwani takwimu zinaonyesha asilimia 80% ya binaadam wanaangalia Personal interest yaaani maslahi binafsi na 20% wanaangalia public au social interest yaani maslahi ya kijamii ivyo meku Mmasi anataka apatiwe nafasi kutimiza ndoto zake za kuitumikia jamii ya watanzania wenye nia ya mabadiliko
ReplyDelete