hekaheka za amatus liyumba mahakama ya hakimu mkazi wa kisutu leo ambapo dhamana yake imefutwa na amerudishwa lupango hadi machi 10, 2009 kesi yake itaposikilizwa tena baada ya kushindwa masharti ya dhamana.
mambo ya video ndo yameanza wadau. kaeni mkao wa kula...


Kwa kweli ni fedheha sana, mtu kama ungeridhika na unachopata bila shaka hayo yasingetokea,, sasa hiyo ni moja pili ni ngoma aliyovuna kutoka kwa vimwana mbalimbali,, Pole sana ndugu yangu
ReplyDeleteWakina Michuzi kwa kupamba bwana ah ich.Uyo ni Mwizi kama mwizi wa baiskeli Manzese,Ilitakiwa tuanze kumrushia MAWETU ah.
ReplyDeleteDaah! Bonge la aibu kwa jamaa! Pole zake kwa sana!
ReplyDeleteSINA UHAKIKA NA SWALA LA KUCHUKUWA VIDEO YA KESI YA MTU AMBAYE HAJAPATIKANA NA KOSA, HICHO KITENDO NI KINYUME NA SHERIA NA HAKI ZA MTU ZA KIMSINGI, JE AKISHINDA KESI HIZO VIDEO SI ZITAKUWA ZIMFUNJIA HAKI ZAKE ZA KIMSINGI, EBU WAULIZE WANASHERIA, NDO MAANA KWA WENZETU HUWA HAIRUHUSIWI KUPIGA PICHA NDANI YA MAHAKAMA WAKATI KESI INAENDELEA
ReplyDeleteMamnbo si ndio haya bwana...inabidi sasa order itolewe, wale wote waliopewa red cars wayarudishe mara mmoja. Also mtototo wake aliehuku USA arudishe Lexus ubalozini.. watanzania tupepigwa kikwelikweli, yaani mimi nimeliza mika 15 ndo kwanza namalizia kulipia highlinder, hawa mabinti hawaamiliza miaka miwili wamesha pay off lexus 470 and kai hawafanyi. Nimemaliza kunukuhu machungu yangu
ReplyDeleteInasikitisha, Lakini lazima adhabu kali itolewe, ili iwe fundisho kwa wengine. shillingi bilioni zote hizo bila huruma?, Liyumba kwa kweli alikua na roho mbaya saana, na adhabu yake lazima iwe mbaya.
ReplyDeleteLakini na wengine lazima watokee kwa hili, kama wakina Mahalu, etc.
WIZI MTUPU. STILL PICTURE OR MOVE PICTURE .WIZI MTUPU
ReplyDeleteUZURI WA TANZANIA NI KUWA KIWA KILA RAIA NI MSEMAJI WA SERIKALI, MWANASHERIA NA MWANDISHI WA HABARI! WATANZANIA HUPENDA KUJIPACHIKA MADARAKA YASIYO RASMI.
ReplyDeletewewe 3:19 AM, Anonymous: Nani kasema picha zimepigwa mahakamani? Mbona OJ alikuwa anaonyeshwa nje ya mahakama? Unaongea kama vile huyu jamaa ndugu yako au kama vile na wewe una gari nyekundu
ReplyDeleteYaani najiona kama niko home thanks kwa hii clip kaka michuzi
ReplyDeleteOT- bongo jua watu wamekua weusi utazania wanigeria. Hao afande kulikoni?
back to the topic. Huyu mtu ajue Payback ni hapa hapa duniani. Hebu ona anavyoingizwa kwenye karandinga nyuma billionaire mzima It is sad lakini ndio ukweli wenyewe. Mimi naona wamuachie tu. Hela kesha zila na kuzirudisha hatarudisha...si unajua bongo yetu...hapo tunazidi kuteketeza hela ya walipa kodi tu....
WATU MNAPENDA SANA KUSHABIKIA BILA KUJUA NINI KINAENDELEA. YAANI MTU NA AKILI ZAKO UNAAMINI KUWA OVER 200 BILLIONS ZIMEIBWA NA LIYUMBA NA KWEKA PEKE YAO AU KWAMBA TU HAO NI SCAPEGOATS? ACHENI USHABIKI WA KITOTO BE REASONABLE. TUNAKUWA WADAKU KAMA WANAWAKE KUMBE NI WANAUME NA AKILI ZETU. SUBIRINI BWM NAYE ATOKEE HAPO MANAKE YEYE NDO CHANZO.
ReplyDeleteKuna mtu alisema jahanamu na pepo viko hapahapa duniani. Mheshimiwa ameishi peponi sana na sasa anaonja jahanamu lakini anayo nafasi ya kurejea peponi kwake. Anyway, hayo yake...Sasa kama video na (I hope na audio) zimeanza, tafadhali tuwekee kidogo kidogo zile za Simba na Yanga za kale kama vile "...wasikilizaji...anaunawa mpira na ni maguu kumi na mbili ya mtu mzima..." - hebu weka ile ya 6-0 (sita bila)...
ReplyDeletekwa taarifa mdau hiyo sio karandinga. Siku hizi bongo kuna mabasi ya wafungwa wakati mwingine level seat kuliko hata daladala.
ReplyDeleteHizopicha hazijapigwa mahakamani, si umeona jamani alipofika mlangoni mwa mahakama tu picha ikakatwa? kwa sababu Tz hairuhusiwi kurecord proceedings (mwenendo wa kesi) lakini nje ya mahakama unarecord tu.
ReplyDeletejamani watanzania wenzangu kwa mtazamo wangu finyu ni kwamba Lyumba sio mwizi paka pale mahakama itapothibitisha hivyo na kuwe na ushahidi wa kutosha. pili watanzania jamani hamuoni kama hiki ni kiini macho, lyumba kusababishia serikarli hasara wakati yeye alikuwa na viongozi wake wa juu. kwa nini sio timu nzima ya BOT na iwe ni Kweka na Lyumba??? tujiulize watanzania. jamaa wanatolewa kafara.
ReplyDeleteDuh...nimejaribu kujiuliza huyu Liyumba ndio angekuwa Baba yangu sijui kipindi hiki ningekuwa najisikiaje..
ReplyDeletehizi kesi za ufisadi saa nyingine zinashangaza. angalia wale wafanya biashara wanaitwa waizi wakati hawa kwenda kwenye hiyo benki na kuiba bali walipewa mikopo. hata kama walikua hawatakiwi kupata hiyo mikopo hatuwezi kusema kwamba waliiba. ukienda kisheria kosa lao ni kutolipa hiyo mikopo on time. watu kama hao mara nyingi inatakiwa benki ichukue mali zao kulipa iyo mikopo na wakishindwa wawapeleke kotini. hawa mafisadi wakiwa na mawakili wataalam na koti zikawa huru wanaweza kushinda hizo kesi zao. hizi kesi zao zifanywe haraka na kuisha kabla pesa zetu za kodi hazijaishia kulipa gharama za kuendesha kesi. washindi kwa hizi kesi watakua mawakili peke yao. hawa mawakili wasipotajirika kwa hizi kesi hawata tajirika tena. THE BALL IS WITH YOU LAWYERS. LET THE GAME BEGIN.
ReplyDeleteUnauliza ungejiskiaje angekuwa baba yako? Mtenda hutendwa. Ungemfasidi - ukachukua mali yote yeye akingali lupango ukaishia...
ReplyDeletewee annon uaesema "ati bongo jua watu weusiii"
ReplyDeletewee ni rangi gani?ata ungekua na rangi ya JK wee rangi gani?
athari/stress za maisha na ubaguzi zimekusonga uko kwa wabeba boxez.
ndo nyie kina michael jackson.
nyambafu...
clip inakata-kata kaa nanihinooo
ReplyDeleteila unajitaidi kip ze gd work bro
khaaaa!!! Watam-balali tu huyo muda si mrefu!!!!
ReplyDeletendugu yetu wamemuonea tu kwa sababu za wanawake lakini twins towels si zipo au akujenga?
ReplyDelete