Home
Unlabelled
mabohora washerehekea ujio wa kiongozi wao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nadhani nao wanajivunia UTANZANIA wao.ikiwa hivyo ndio vizuri kila mtu kujivunia pale unapoishi na kupapenda, na kudumisha upendo na mshikamano bila kujali tofauti zenu za rangi au kabira au dini,kwa kuwa wote ni binadamu na tunaishi wote kama binadamu, wenye kuweka misingi ya maelewano bila ubaguzi.
ReplyDeleteUjinga gani huo jamani?wala hawapendezi bali wanaonekana kama wacheza sinema wa bollywood...msituaibishe nyie!!!
ReplyDeleteUjinga gani huo jamani?wala hawapendezi bali wanaonekana kama wacheza sinema wa bollywood...msituaibishe nyie!!!
ReplyDeleteMabohora manake nini plz? labda kwa neno lingine au lugha nyingine...
ReplyDeleteMabohora manake nini plz? labda kwa neno lingine au lugha nyingine...
ReplyDeleteHao Mabohora wabaguzi sana. Si walikataa mtoto shombe Mbantu/Bohora azikwe kwenye makaburi yao!
ReplyDeleteNadhani kuandika comment za ki-racist huwa hazifai. Bohora ni MTZ na ni haki yake kuwa MTZ na kula matunda ya nchi yake kama mtu mwingine. Nimeona watu wengi sana wanapenda kuwaandika sana WATZ wenye asli ya kihinndi, waliozaliwa Dar na kusahau wao wako nje UK, Sweden , Italy, Uturuki nk wanawaoa wazungu wa huko ili wapate makaratsi ya hizo nchi.Na hakuna anayewasema kitu.
ReplyDelete