Asalaam Aleykum!
Dada/ Mama yetu Khadija Riyami (Mama wa Alami), anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi ( Mzee Abdullah Riyami) kilichotokea jana tarehe 24 February, 2009 huko nyumbani Tanzania.
Msiba utakua nyumbani kwa Alamin, Address ni
2920 Bel pre Road,
Apt# 1A,
Silver Spring MD,
20906.
Kwa kutoa pole na maelezo zaidi wasiliana na Alamin,
Cel. 240-271-6615 au 301-460-4065.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi,
AMIN!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Inalillahi waina ilaihi Rajiun (Hakika yeye ametangulia na sisi huko ndo marejeo yetu)
    Poleni wafiwa na Allah awape moyo wa imani kipindi hiki kigumu na Allah ampe makazi mema inshallah.

    ReplyDelete
  2. innallilahi wainaillahi rajiun pole kwa kufiwa,yote mipango ya mungu,na kwake tutarejea kama alivyo tuleta duniani.

    ReplyDelete
  3. salim na chado poleni sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...