Mahmoud Thabit Kombo akishiriki katika mchezo wa kuvuta kamba katika tamasha la michezo lililoandaliwa na galileo tanzania katika viwanja vya leaders club wikiendi ilopita
magoli 3-0 timu ya mashirika ya ndege ya bongo.
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Enzi za Mwalimu hizo gunia tungeshonea nguo! Leo mnfanya michezo nazo. Kweli halinzuri Bongo!
ReplyDeleteHebu muwe mnatafuta michezo ya maana,kama tenis, basket, kukimbia, kuruka viunzi nk,ambayo itawafisha mbali, na pia itawaongezea kipato na kulitangaza taifa letu,kama vile wenzetu WAKENYA. sio michezo ya magunia ovyooooooooooooooooo.
ReplyDelete