Washindi wa Mdau wa Kili Winners wa A-Taun wakiwa na meneja wa mauzo wa TBL kanda ya Kaskazini Goodluck Kway (mwenye maiki) muda mfupi kabla ya kuwapa milioni 5 za ushindi wa kikundi na 500,000/- kwa wahudumu na zingine 500,000 kwa mwenye baa.
mhudumu akilamba 500,000/- yake ya wadau wa kili jana huko A-taun
mmiliki wa baa akpokea 500,000/- yake



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...