Home
Unlabelled
watuhumiwa wa mauaji ya kikatili wafikishwa kizimbani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
dahhhh washenzi kweli hawa majamaaa......serekali ya Tanzania...ichukue hatua kali kwa hawa mijamaa maana wamesababishaa kifoo cha kikatili ambacho hakistahiki na kutupa sura mbaya kwenye jamii yetu
ReplyDeletehawa wahindi wachomwe moto kama walivyo mabanyani wenzao wanavychomana.....mee naona kama sio hawa mijamaa walomchinja but inaweza kua hawa wamewatuma mijamaa maana shughuli ilee lazma uwee na roho ya kikatili,,,,,na hawa mabayya wanaonekana wanakula dengu kwa wingi......
ReplyDeletesura zao hazioneshi kama ni wauwaji, especially the lady.
ReplyDeleteDahhh I can not belive watu wanameza ku post comments za Ubaguzi. hakuna tofauti kati makaburu wa Afrika kusini na wewe ...Na ni ukweli kabisa kwamba watu kama fikra ya ubaguzi like the ones above above mna sababisha ubaguzi duniyani...sio vizuri ku post hizo comments...you are sick man my friend
ReplyDeletejamani hawa watu niyo waliofanya ukatili ule kweli jamani hawana hata huruma kabisa mmmmmm, poleni sana askari hii ni kazi ngumu kwakweli.
ReplyDeletesweety,
Arusha,
nadhani kuna haja ya kutafautisha kati ya watuhumiwa na wauwaji. juweni kuwa hadi sasa, hao wananchi hawana kosa hadi mahakama ithibitishe kama ni wauwaji. ila wakithibitika kama ni wauwaji! hali ni mbaya sana, mana sura zao hazilingani na roho zao.
ReplyDeletePOLICE YA WAPI HIYO, WAUJI HAWANA PINGU MIKONONI, HUKU HATA WAKWEPA KODI HUTIWA PINGU WAENDAPO MAHAKAMANI, MTUHUMIWA WA KESI YOYOTE ILE HULA PINGU HUKU.
ReplyDeleteBongo kuna uhaba wa kila kitu...mpaka pingu!
ReplyDeleteYasemwe yoooote, lakini imefika wakati sasa inabidi tuwe tunapewa maendeleo ya uchunguzi kwenye kesi za namna hii.
Pingu wanafungwa waswahili tu,kwani ndiyo wenye matatizo...
ReplyDelete